Thursday 28 March 2019

Diamond na Mpenzi wake wa Zamani Lyn Watukanana Mtandaoni....."Ukome Kunitumia Vipicha Vyako"

...
Msanii wa Muziki,  Diamond Platnumz amejikuta akitukanana na mpenzi wake wa zamani Lyyn mtandaoni.

Diamond anamtuhumu mrembo huyo kutaka kuwatenganisha na mpenzi wake Tanasha, Daimond amepost akimtuhumu mrembo huyo kwa kumchafua kuwa amerudiana nayena wakati sio kweli.

Sakata hili limetokea baada ya kuvuja picha ikionyesha Mrembo huyo akiwa kwenye kitanda ambacho pia amekuwa akilala mrembo Tanasha kutoka Kenya.

Mrembo huyo nae amemjibu Diamond kwa kusema ataachia video Kama ushahidi ili Diamond aache ushamba na kuwa mtu mavimavi.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger