Wednesday, 6 March 2019

TAARIFA YA TCRA KUHUSU GHARAMA ZA LESENI KWA WASAFIRISHAJI WA VIFURUSHI, VIPETO NA NYARAKA

...
Taarifa ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuhusu gharama za leseni kwa wasafirishaji wa vifurushi, vipeto na nyaraka.

Jana Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Atashasta Nditiye alipiga marufuku magari yote ya abiria kusafirisha vifurushi vya aina yoyote ile, pasi na kuwa kibali kutoka Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA). 

Katika kudhibiti vitendo hivyo, waziri huyo ameagiza SUMATRA kuendesha operesheni kubaini wanaokaidi.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger