
Jana Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Atashasta Nditiye alipiga marufuku magari yote ya abiria kusafirisha vifurushi vya aina yoyote ile, pasi na kuwa kibali kutoka Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA).
Katika kudhibiti vitendo hivyo, waziri huyo ameagiza SUMATRA kuendesha operesheni kubaini wanaokaidi.
0 comments:
Post a Comment