
Jaji Masoud amesema kuwa msajili wa vyama vya siasa ana mamlaka ya kutoa msimamo na ushauri alioutoa kuhusu uhalali wa Profesa Lipumba.
Amesema mamlaka ya msajili hayaishii tu katika kusajili vyama na kupokea mabadiliko ya viongozi na kwamba vinginevyo asingekuwa na mamlaka ya kuvifuta vyama.
0 comments:
Post a Comment