Tuesday, 19 March 2019

NASSARI AMPONZA MBUNGE MWINGINE WA CHADEMA

...
Spika wa Bunge anafikiria hatua za kinidhamu za kumchukulia Mbunge wa Kilombero Mhe. Peter Lijualikali kufuatia kauli za kejeli dhidi ya Bunge.

Taarifa hiyo imeeleza kwamba kauli hizo zimetolewa na Mbunge huyo siku ya jana, Machi 17, wakati akizungumza na wanahabari katika mkutano wa Joshua Nassari ambaye amevuliwa Ubunge wiki iliyopita.

Katika mkutano huo, Lijualikali alishangazwa na kitendo cha Spika kumvua ubunge Nassari wakati Mbunge huyo alipodai kuwa alitimiza wajibu wake wa kulitaarifu bunge juu ya matatizo anayopitia.

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger