Wednesday 31 December 2014

BREAKING NEWZ:MAFURIKO YATOKEA KATIKATI YA MJI MOROGORO

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mvua zinazoendelea mjini morogoro zimeleata maafa makubwa ambapo hadi mda huu ni kwamba baadhi ya barabara hazipitiki baada ya maji kujaa barabarani.
Maeneo yalio pata mafuriko ni pamoja na KIGURUNYEMBE,MASIKA kuja HADI STAND YA DALADALA
MASWAYETU BLOG tunaendelea kukuletea habari zaidi endelea kuwa nasi;




baadhi ya maeneo ya moro hali ikiwa ni mbaya



baadhi ya magari yakishindwa kupita vizuri(picha na uongozi mzima)


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger