Wednesday, 30 January 2019

KIUNGO WA KATI WA MANCHESTER UNITED KUTIMKIA UCHINA

Kiungo wa kati wa Manchester United Marouane Fellaini ameridhia makubaliano binafsi mkataba wa kibinasi na klabu ya Shandong Luneng kwa lengo la kuhamia klabu hiyo ya China. United wamekataa kutoa tamko lolote ikiwa malipo yoyote yamefikiwa kumnunua mchezaji huyo raia wa Ubelgiji ambaye alitia saini...
Share:

GUMZO LA BUNDI KUTUA BUNGENI LASHIKA KASI..WANANCHI WADAI KUNA KIFO

Wananchi mbalimbali wametoa maoni yao kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuonekana kwa Bundi ndani ya ukumbi wa Bunge jijini Dodoma, wengi wao wakihusisha tukio hilo na imani za kishirikina. Leo Jumatano Januai 30, 2019 Mwananchi limeuliza swali katika mitandao ya kijamii ya Facebook, WhatsApp na...
Share:

MAREKANI NA CHINA WAANZA MAZUNGUMZO YA KIBIASHARA

Marekani na China wanaanza duru tete ya mazungumzo kuhusu biashara huku kukiwa na matumaini finyu ya kufanikiwa kutokana na masharti ya viongozi wa mjini Washington kulazimisha mageuzi katika mfumo wa kiuchumi wa China. Pande hizo mbili zitakutana si mbali na ikulu ya Marekani kwa mazungumzo ya ngazi...
Share:

UTEUZI ULIOFANYWA NA RAIS MAGUFULI LEO JANUARI 30,2019

...
Share:

MASHABIKI 10,000 TU KUISHUHUDIA SIMBA IKIMENYANA NA AL AHLY

Kitengo cha usalama nchini Misri, kimetoa maagizo kwamba, mashabiki wanaotakiwa kuingia uwanjani kushuhudia mchezo kati ya Al Ahly dhidi ya Simba wasizidi 10,000. Al Ahly itacheza na Simba Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Borg El Arab uliopo Alexandria nchini humo ambapo uwanja huo una uwezo wa kubeba...
Share:

WANACHAMA WA THRDC KANDA YA ZIWA WALAANI MAUAJI YA WATOTO NJOMBE

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI   KULAANI MAUAJI YA WATOTO WASIOKUWA NA HATIA MKOANI NJOMBE   1.0 Utangulizi  Sisi waanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu  (THRDC) Kanda  ya  Ziwa tumesikitishwa sana na  mauaji  ya  watoto kumi...
Share:

VIGOGO NIDA WASOMEWA HATI MPYA YA MASHTAKA 100

Vigogo sita wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) akiwamo Mkurugenzi Mkuu wa zamani, Dickson Maimu, wamefikishwa mahakamani na kusomewa hati mpya ya mashtaka 100 yakiwamo 22 ya kughushi, nyaraka za kumdanganya mwajiri 43, kujipatia fedha mawili, matumizi mabaya moja na kutakatisha fedha na kuisababishia...
Share:

AHUKUMIWA JELA SIKU 30 KWA KUMUITA MPENZI WAKE MAMA MZEE

Mwanaume mwenye umri wa makamo kutoka Maralal kaunti ya Samburu amefungwa jela kwa siku 30 baada ya mahakama kumpata na hatia ya kutumia lugha chafu kwa aliyekuwa mpenzi wake.  Mshukiwa Joseph Naroto anasemekana kumtusi mpenzi wake wa zamani Winnie Letito kuwa yeye ni kahaba na mwanamke mzee.  Naroto...
Share:

AFISA POLISI ASHIKILIWA KWA MADAI YA KUMNAJISI MTOTO KITUONI

Afisa mmoja wa polisi Kaunti ya Kisumu ametiwa mbaroni kwa madai ya kumnajisi mshukiwa aliyekuwa akizuiliwa,  Tobias Nakuwa Lobolia alikamatwa Jumanne, Januari 29, kwa madai ya kumnyanyasa kimapenzi msichana wa miaka 15 aliyekuwa akizuiliwa mahabusu. Afisa huyo wa polisi alishutumiwa kwa kumnajisi...
Share:

MAUAJI YA WATOTO YATUA BUNGENI..LUGOLA ASEMA NI USHIRIKINA

Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola amesema imebainika kuwa mauaji ya watoto mkoani Njombe ni ya imani za kishirikina. Lugola ametoa kauli hiyo leo Jumatano Januari 30, 2019 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la nyongeza lililoulizwa na mbunge wa Mufindi Kusini (CCM), Mendrad...
Share:

SERIKALI YAAPA KUWANASA WAUAJI WA WATOTO MKOANI NJOMBE

Waziri Kangi Lugola amesema tayari serikali imepata majina ya wote waliohusika katika mauaji ya watoto Njombe. Serikali imeahidi kuwachukulia hatua kali wale wote watakaobainika kuhusika katika mauaji ya watoto mkoani Njombe. Watoto sita, wakiwemo watatu wa familia moja wenye umri chini ya miaka...
Share:

HAUSIGELI KENYA WAONGEZWA MSHAHARA

Na Theopista Nsanzugwanko - Habarileo Serikali ya Kenya imetangaza kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wa ndani katika miji mikubwa kufi kia Shilingi za Kenya 13,500, ambayo ni sawa na zaidi ya 300,000 za Tanzania. Lakini, kwa upande wake, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limesema...
Share:

MUSWADA WA VYAMA VYA SIASA WAPITA WABUNGE WA CCM, UPINZANI WAKIVUTANA

Na Sharon Sauwa, Mwananchi   Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa Mwaka 2018 jana ulipitishwa bungeni, Dodoma. Kabla ya kupitishwa kwa muswada huo uliowasilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama...
Share:

Picha : WAKENYA WATUA TANZANIA KUJIFUNZA KUHUSU MIRADI MAJI TAKA

Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na masuala ya Kijamii nchini (CCI) Tim Ndezi akiwakaribisha wageni kutoka nchini Kenya waliofika Tanzania kwa ajili ya kujifunza masuala mbali mbali yanayohusu Maji Taka kupitia Shirika la CCI na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA).  Ujumbe...
Share:

WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO MAZITO KWA MAAFISA USTAWI WA JAMII

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa watekeleze majukumu yao kwa bidii, weledi, uadilifu na wasijihusishe na vitendo vya rushwa. Amesema maafisa hao wanatakiwa watumie mbinu shirikishi ambazo zinahusisha jamii...
Share:

Tuesday, 29 January 2019

RAIS MAGUFULI AFUNGUKA KUHUSU WAKUU WA WILAYA NA MIKOA KUWEKA NDANI WATU

Rais John Magufuli amewaasa wakuu wa wilaya kutotumia vibaya sheria na mamlaka walizopewa ikiwamo za kuweka watu ndani na kuwatoa wakidai wamejifunza bila kupelekwa mahakamani. Magufuli ameyasema hayo leo wakati wa kuwaapisha majaji 15 wa Mahakama Kuu na sita wa Mahakama ya Rufani. Amesema siyo...
Share:

KOMPANY KUTEMWA RASMI MAN CITY

Nahodha wa klabu ya Manchester City Vincent Kompany hatopewa kandarasi mpya kulingana na mkufunzi Pep Guardiola. Kandarasi ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 anayeichezea Ubelgiji inakamilika mwisho wa msimu huu . Ameichezea klabu hiyo mara 14 msimu huu na sasa anauguza jeraha la misuli. Ripoti...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger