
BODI
ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema kuanzia mwanzoni
mwa Januari mwakani, itaanza kuchapisha majina na picha za wadaiwa sugu
kwenye vyombo vya habari waliohitimu katika vyuo mbalimbali vya elimu
ya juu kuanzia wale wa miaka 10 iliyopita.
Bodi
hiyo...