Mmoja wa wananchi akimdhibiti "kibaka" asikimbie baada ya kudaiwa kuiba ndoo ya maji kwa ajili ya kunawa mikono ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona. (Picha na Suleiman Abeid, Timesmajira, Shinyanga)Wednesday, 15 April 2020
ANUSURIKA KUFA KWA KIPIGO AKITUHUMIWA KUIBA NDOO YA KUNAWA MIKONO KUJIKINGA CORONA SHINYANGA MJINI
Mmoja wa wananchi akimdhibiti "kibaka" asikimbie baada ya kudaiwa kuiba ndoo ya maji kwa ajili ya kunawa mikono ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona. (Picha na Suleiman Abeid, Timesmajira, Shinyanga)Manager, Client Coverage Job opportunity at Stanbic Bank Tanzania
Job Details Client Coverage – Corporate & Investment Banking Job Purpose Define and execute strategic client plans that will ensure the development of strong business relationships and the delivery of profitable and integrated Standard Bank products and services, with the purpose of ensuring client profitability, increased revenue, risk optimisation and consistent service delivery. Client strategic plan development &… Read More »
The post Manager, Client Coverage Job opportunity at Stanbic Bank Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
AJALI YA COASTER,LORI YAUA WATU 18,KUJERUHI 15 PWANI
Procurement Officer at International Rescue Committee Kibondo, Tanzania
Requisition ID: req8826 Job Title: Procurement Officer Sector: Supply Chain Employment Category: Fixed Term Employment Type: Full-Time Open to Expatriates: No Location: Kibondo, Tanzania Job Overview Job Description The Procurement Officer is responsible for the efficient coordination and management of procurement functions for IRC’s office. The position holder will procure Program supplies, services and equipment, whilst ensuring good practices and maintaining audit-compliant records. You will… Read More »
The post Procurement Officer at International Rescue Committee Kibondo, Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
Country Manager at Infobip Dar es Salaam, Tanzania
Company Description At Infobip we dream big. We value creativity, persistence and innovation, passionately believing that it is through teamwork that we can all reach greater heights. Since 2006, we have been innovating at the edge of technological possibilities and are now shaping global communications of the future. Through 60+ offices on six continents, Infobip’s platform is used… Read More »
The post Country Manager at Infobip Dar es Salaam, Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
Individual Consultancy at UNICEF Tanzania-Value of Neonatal Life in Mbeya and Kaskazini Pemba Regions, Tanzania
Individual Consultancy -Value of Neonatal Life in Mbeya and Kaskazini Pemba Regions, Tanzania Job no: 530571 Position type: Consultancy Location: Tanzania,Uni.Re Division/Equivalent: Nairobi Regn’l(ESARO) School/Unit: United Republic of Tanzania Department/Office: Dar Es Salaam, United Rep. of Tanzania Categories: Child Protection, Health, Monitoring and Evaluation, Planning, Social and Economic Policy, Statistics and Monitoring, Programme Management Apply now UNICEF works in some of the world’s toughest places,… Read More »
The post Individual Consultancy at UNICEF Tanzania-Value of Neonatal Life in Mbeya and Kaskazini Pemba Regions, Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
Education Officer Job at International Rescue Committee Kasulu, Tanzania
Education Officer Job at International Rescue Committee Kasulu, Tanzania Requisition ID: req8823 Job Title: Education Officer Sector: Education Employment Category: Fixed Term Employment Type: Full-Time Open to Expatriates: No Location: Kasulu, Tanzania Job Description Background The International Rescue Committee (IRC) responds to the world’s worst humanitarian crises and helps people to survive and rebuild their lives. Founded in 1933 at the request of Albert Einstein,… Read More »
The post Education Officer Job at International Rescue Committee Kasulu, Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
Project Leader / Deputy Chief of Party – Tanzania PS3+ at Abt Associates Dar es Salaam, Tanzania
Organization Overview The International Development Division focuses on improving the lives and economic well-being of people in lower and middle-income countries. We command technical expertise in health, agriculture, climate change, food security and governance—as well as in international evaluation. Our multi-layered health portfolio includes policy, health promotion and disease prevention, health finance, and health systems management. In partnership… Read More »
The post Project Leader / Deputy Chief of Party – Tanzania PS3+ at Abt Associates Dar es Salaam, Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.
SUA EMPLOYMENT OPPORTUNITIES: MIZENGO PINDA CAMPUS-KATAVI & SUA MAIN CAMPUS-MOROGORO
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES: MIZENGO PINDA CAMPUS-KATAVI & SUA MAIN CAMPUS-MOROGORO The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) invites suitable qualified Tanzanians to apply for positions of Assistant Lecturers and Tutorial Assistants. All applications should be addressed to the Deputy Vice Chancellor (Administration and Finance), P.O. Box 3000, CHUO KIKUU, MOROGORO two weeks from the date of this advertisement. The application letters should indicate… Read More »
The post SUA EMPLOYMENT OPPORTUNITIES: MIZENGO PINDA CAMPUS-KATAVI & SUA MAIN CAMPUS-MOROGORO appeared first on Udahiliportal.com.
Tuesday, 14 April 2020
SHULE ZOTE NA VYUO KUENDELEA KUFUNGWA TANZANIA...SHEREHE ZA MUUNGANO NA MEI MOSI ZAAHIRISHWA KUKABILIANA NA CORONA

NHIF TANGA WATOA HUDUMA NJE YA OFISI KUKABILIANA NA CORONA
MENEJA WA Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu kushoto akimsikiliza mmoja wa wateja wao leo wakati wakitoa huduma nje ya ofisi zao ikiwa ni sehemu ya kupunguza mkusuanyiko na kuweza kukabiliana na ugonjwa wa Virusi vya Corona ambao kwa sasa unaitikisa dunia.
MENEJA WA Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu kushoto akimsikiliza mteja wao kama alivyokutwa leo
Huduma zikiwa zinaendelea kwenye ofisi za nje kama inayoonekana huku wateja wengine wakiwa foleni
Afisa Uanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Tanga Mrisho Mponela akiendelea na kazi nje ya ofisi zao
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga imelazimika kuhamisishia ofisi nje ili kuweza kutoa huduma kwa wananchi wanaokwenda ikiwa ni sehemu ya kupunguza mkusuanyiko na kuweza kukabiliana na ugonjwa wa Virusi vya Corona ambao kwa sasa unaitikisa dunia.
Blog ya Kijamii ya Malunde 1 Blog ililishuhudia baadhi ya huduma zikitolewa nje ya ofisi na wananchi wakiendelea kupata huduma mbalimbali ambapo Meneja wa NHIF Mkoa wa Tanga Ally Mwakababu alikuwa akiongoza zoezi la kusikiliza wateja.
Akizungumza na Meneja wa NHIF Mkoa wa Tanga Ally Mwakababu alisema kwamba dhamira kubwa ni kuonyesha jamii juu ya kujali na kupambana na ugonjwa wa Corona lakini pia kuwasiliana na wateja wao kwenye eneo lenye nafasi kubwa kwenye hewa kuliko kufanya kazi kwenye ofisi ambapo wanakuwa wamejifungia.
Alisema hapo kila mtu anakaa kwenye nafasi yake kwa mita mbili na mita moja na nusu kati ya mtu na mtu na mazingira salama na wanapata hewa nzuri kutokana viti kuwa mbalimbali ili kuweza kuwafanya wateja kuwa kwenye mazingira mazuri ikiwemo eneo ambalo watu wananawa mikono kwa kutumia sanitize ambayo kila anakuja kuhudumiwa anapatiwa.
Alisema kwamba wao kama mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ni kiio kwa na kuonyesha kuitikia mwito wa serikali kupitia Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kwamba suala la ugonjwa wa Corona sio la utani tena ni lazima lichukuliwe kwa umakini mkubwa.
“Hivyo kutokana na hilo na ndio maana tumeamua kutoa ofisi nje kwa lengo la kuweza kuwasiliana na wateja wetu kwenye eneo kubwa na kila mtu anakaa kwa nafasi kwa mita mbili au moja na nusu lakini mazingira salama huku kila mtu anayekwenda kuhudumiwa lazima anaweze kunawa mikono kwa kutumia Santinze”Alisema Meneja Mwakababu.
Hata hivyo alisema kwamba pamoja na kuendelea kutoa huduma mbalimbali lakini eneo kubwa ambalo wanalihimiza ni mpango wa toto afya kadi ambao unawawezesha watoto kuweza kunufaika na matibabu pindi wanapokuwa wakiugua hivyo wameendelea kulihamasisha kwenye maeneo mbalimbali.
Meneja huyo alisema kwamba dhamira kubwa ya mfuko huo ni kuhakikisha inawafikia wananchi wote kwenye maeneo mbalimbali mkoani Tanga ili waweze kujiunga nao na hatimaye kuweza kunufaika na huduma za matibabu pindi wanapokuwa wakiugua.
Wagonjwa Wa Corona Nchini Kenya Wafika 216....Ni Baada ya Wengine 8 Kuongezeka Leo
Rais Yoweri Museveni Wa Uganda Aongeza Siku Zingine 21 Za Wananchi Kubaki Majumbani Mwao Ili Kukabiliana Na Corona
“Kwakuwa tumeongeza siku 21 za kubaki nyumbani, tutaendelea kugawa chakula kwa makundi mawili, wale ambao walikuwa wanategemea pato la siku kuendesha maisha na wale ambao hawawezi kujitafutia chakula (walemavu, Wazee nk), wenye mishahara kila mwezi hii misaada haiwahusu”- Amesema Museven

























