Saturday, 26 October 2019
WATU NANE WAFARIKI DUNIA BAADA YA GARI KUTUMBUKIA MTONI TANGA
Mvua yasababisha mafuriko wilayani Korogwe.....Mamia ya abiria wakwama
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Edward Bukombe, amesema kuwa Jeshi la Polisi mkoani humo linaendelea kuimarisha usalama kwa abiria wote, waliokwama kuendelea na safari baada ya maji kujaa juu ya daraja ili kuepusha madhara makubwa hususani wale ambao watalazimisha kuvuka.
Kauli hiyo ameitoa leo ambapo amesema kuwa abiria ni wengi kwani wanaongezeka kila muda na kwamba wameshindwa kupata idadi kamili ya watu waliokwama kwa hizo pande zote mbili.
"Bado njia haijafunguka kule Handeni tulikokuwa tunapategemea kupita daraja lilishakatika kabisa kwahiyo hakuna mawasiliano na hii ya Segera - Korogwe na yenyewe bado maji yanapita juu, kwahiyo tunasubiri maji yapungue ili tuone uimara wa daraja na gari kama zinaweza zikapita", amesema Kamanda Bukombe.
"Tunachokifanya kwa sasa ni kuimarisha ulinzi ili yasiwepo madhara ya kuibiwa na wale ambao huwa wanataka kuvuka kwa kutumia nguvu'', ameongeza.
Inakadiriwa kuwa abiria zaidi ya 5,000, kutoka mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na hata nchi jirani na wale waliokuwa wanatoka Dar es Salaam kwenda katika mikoa hiyo wamekwama siku ya jana ya Oktoba 25, 2019, wilayani Korogwe na Handeni, kufuatia mvua kubwa inayonyesha na kupelekea maji kujaa juu ya daraja na huku lingine likisombwa na maji.
Wizara ya Afya: Call for replacement Jobs-Ajira za Afya 2019
Wizara ya Afya: Call for replacement Jobs-Ajira za Afya 2019 The Office of the President – Regional Administration and Local Government (OR-GOVERNMENT) wishes to notify applicants of the various health cadres who have submitted applications from 22/07/2019 to 05/08/2019 for the process of organizing work centers completed in the second phase. This phase is for the filling of… Read More »
The post Wizara ya Afya: Call for replacement Jobs-Ajira za Afya 2019 appeared first on Udahiliportal.com.
Watatu Kizimbani kwa Kukutwa na Tausi wa Ikulu
Washtakiwa hao wanaokabiliwa na kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 116/2019 ni David Graha, Mohamed Hatibu na Mohamed Ally.
198 Ajira za mkataba taasisi ya Benjamini Mkapa Octoba 2019
Benjamin Mkapa Foundation (BMF) The Benjamin William Mkapa Foundation is trust, non-profit making organization, established and incorporated under the Trustees Incorporation Ordinance, CAP 375. We aim to supplement and complement the development efforts of the Government of the United Republic of Tanzania.The Foundation was established after the launching of its first initiative known as the “Mkapa Fellows Programme”… Read More »
The post 198 Ajira za mkataba taasisi ya Benjamini Mkapa Octoba 2019 appeared first on Udahiliportal.com.
Ndege ya pili Boeing 787-8 Dreamliner yaondoka Marekani....Kutua nchini leo mchana
Tatizo la Uhaba wa vitabu kwa wanafunzi katika shule za msingi katika Halmashauri ya Mji Kahama kuwa historia
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Ahudhuria Mkutano Wa Mawaziri Wa AU Mjini Addis Ababa
Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Magufuli Katika Mkunao Wa 18 Wa Wakuu wa nchi na Serikali wa nchi zisizofungamana na upande wowote (NAM)
Meli Mpya Ya MV Victoria Tayari Imeanza Kujengwa .....Wananchi Kagera Kunufaika Tena
MCHUNGAJI RWAKATARE 'MAMA KISULISULI' ASEMA VIJANA HAWATAKI KUOA KUKWEPA MAJUKUMU,WENGI NI MARIOO

MVUA YABOMOA NYUMBA 20 KATAVI

Jeshi la Polisi Lazuia Mkutano wa Mchungaji Peter Msigwa
Kamanda huyo amesema sababu nyingine ni dalili za kuanza kampeni mapema za kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kabla ya kalenda ya kampeni kuanza.
Kamanda huyo amebainisha kuwa sababu nyingine ni barua ya mkutano huo kutoweka wazi dhumuni la mkutano ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 43(1)(b) cha Sheria ya Polisi na Polisi wasaidizi sura 322 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.
HUKUMU YA JAMAL MALINZI NA WENZAKE WATATU KUTOLEWA MWEZI UJAO












