Friday, 1 February 2019

MCHUNGAJI KKKT ATUHUMIWA KUFANYA MAPENZI NA MTOTO WA MCHUNGAJI MWENZAKE

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela amelishauri Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT Dayosisi ya Iringa kumuondoa na kutomfumbia macho aliyekuwa Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi hiyo mchungaji Yusto Kinyori kwa tuhuma za kufanya mapenzi na mtoto wa mchungaji mwenzake kwenye gari. Kasesela amesema hayo kwenye Mkutano Mkuu wa kumchagua Msaidizi wa Askofu wa kanisa hilo uliofanyika...
Share:

Ministry of Education, Science and Technology: China Scholarships 2019

Ministry of Education, Science and Technology:: Scholarship tenable in people’s republic of china for the academic year 2019/2020  Call for Application The General Public is hereby informed that, the Chinese Government has opened new scholarships for Undergraduate, scholars and Post-graduates to Tanzanians for the academic year 2019/2020. The online application and the corresponding application...
Share:

BILIONI 50.4 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO BUKOBA KWA MWAKA 2019/2020

Na Allawi Kaboyo Bukoba. Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya Bukoba mkoani Kagera, limepitisha bajeti ya zaidi ya shilling bilioni 50.4 kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2019-2020. Akisoma rasimu ya bajeti hiyo katika baraza la madiwani lililofanyika Januari 31 mwaka huu katika ukumbi wa halmashauri hiyo, afisa mipango wa halmashauri...
Share:

WATENDAJI WAPEWA ONYO KALI UGAWAJI VITAMBULISHO AWAMU YA PILI KAGERA

Na mwandishi wetu Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti amegawa vitambulisho 35,000 awamu ya pili kwa Wafanyabiashara Wadogo katika Mkoa wa Kagera na kuwaagiza Watendaji wa Serikali chini ya usimamizi wa Wakuu wa Wilaya kuendelea na zoezi la ugawaji wa vitambulisho hivyo na kuhakikisha ifikapo Februari 28, 2019 vitambulisho vyote viwe vimegawiwa kwa Wafanyabiashara Wadogo....
Share:

MWANANCHI YEYOTE ATAKAYEUWAWA NINAANZA KUSHUGHULIKA NA MWENYEKITI WA MTAA HUO-OLESENDEKA

Na Amiri kilagalila Mkuu wa mkoa wa Njombe CHRISTOPHER OLESENDEKA amewaagiza viongozi wa serikali za mitaa wakiwemo wenyeviti wa vijiji kuhakikisha wanashiriki katika zoezi la kutoa taarifa za wahusika wa mauaji mkoani Njombe huku akiapa kuanza kushughulika na viongozi hao wa vijiji endapo yatatokea mauaji yanayofanana na yaliyotokea mkoani humo. OLESENDEKA alitoa maagizo hayo hii leo katika viwanja...
Share:

SERIKALI YAONGEZA USALAMA WA TAARIFA ZAKE

Naibu waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dokta Marry Mwanjelwa amezitaka taasisi za umma kuhakikisha suala la usalama wa taarifa za serikali linakuwa la lazima wakati wa kubuni,kusanifu,kujenga,kusimika na kuendesha mifumo ya TEHAMA. Dokta Mwanjelwa alitoa agizo hilo jiji Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha pili cha serikali mtandao. Amesema njia moja wapo ya kujihakikishia...
Share:

MSAIDIZI WA ASKOFU KKKT AREKODIWA VIDEO AKIFANYA MAPENZI NA MTOTO WA MCHUNGAJI MWENZAKE KWENYE GARI

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela amelishauri Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT Dayosisi ya Iringa kumuondoa /kutomfumbia macho aliyekuwa Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi hiyo mchungaji Yusto Kinyori kwa tuhuma ya kufanya mapenzi...
Share:

ALIYEMLA MWENZAKE AKAMATWA AKIJIFANYA DAKTARI

Raia mmoja nchini Urusi, Boris Kondrashin mwenye umri wa miaka 35, amekamatwa na polisi akijifanya daktari, baada ya kubainika kufanya tukio la mauji miaka 20 iliyopita, na kunywa damu ya mtu aliyemuua. Boris alikamatwa baada ya kupata taarifa kutoka kwa wakazi wa mji wa Chelyabinsk nchini humo,...
Share:

AKAMATWA AKISAFIRISHA MAITI YA MTOTO

Mwanaume mmoja anashikiliwa na vyombo vya usalama nchini Malawi baada ya kukutwa akisafiri na maiti ya mtoto kwenye treni. Akithibitisha kukamatwa kwa mtu huyo, Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini humo, Joseph Sauka, amesema kwamba mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina la James Majawa, 28, wa kijiji...
Share:

MWANAMUZIKI BOBI WINE ATANGAZA KUGOMBEA URAIS UGANDA KUMNG'OA MUSEVENI

Mwanamuziki Bobi Wine ambaye ni mbunge amesema atawania urais nchini Uganda katika uchaguzi mkuu ujao akidhamiria kumwondosha madarakani, Rais Yoweri Museveni. Bobi Wine ambaye jina lake halisi ni Robert Kyagulanyi, amekiambia kituo cha televisheni cha Marekani cha CNN kuwa amejiandaa kumkabili Rais...
Share:

SERIKALI KUONGEZA NGUVU YA SEKTA BINAFSI KUWAINUA WAJASIRIAMALI ILALA

Na Heri Shaban Serikali imesema itashirikiana na Kampuni ya Guru Planet kuwainua Wajasiriamali wa Wilaya ya Ilala. Hayo yalisemwa na Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto wakati wa ufunguzi wa tamasha la Wajasiriamali lililoandaliwa na Kampuni ya Guru Planet kwa kushirikiana na Manispaa ya Ilala Dar es Salam jana ambapo zaidi ya vikundi 300 vimeshiriki. Akizunguza katika tamasha hilo...
Share:

Uchawi Bariadi : BINTI AKUTWA CHINI YA UVUNGU WA KITANDA CHA BIBI YAKE HAJITAMBUI

Tukio la Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Ikinabushu (jina limehifadhiwa) kukutwa chini ya uvungu wa kitanda cha bibi yake, limetikisa viunga vya mji wa Bariadi, Simiyu.  Taarifa zaidi zinaripoti kwamba, mwanafunzi huo alitoweka katika mazingira ya kutatanisha tangu tarehe 25 Januari mwaka...
Share:

MASHETANI WEKUNDU WAMPATIA MKATABA MNONO ANTHONY MARTIAL

Mshambuliaji machachari wa Manchester United Anthony Martial amesaini kandarasi mpya na Manchester United itakayombakisha katika uga wa Old Trafford mpaka Juni 2024. Anthony Martial amefunga magoli 46  katika mechi 162 alizoichezea Manchester United. Martial mwenye miaka 23, alijiunga na United...
Share:

MAMA AVUA NGUO MAHAKAMANI ... ASHINDA KESI

Jepkosgei alikuwa akitarajia uamuzi wa kesi iliyojikokota kortini kwa muda wa miaka 10, Mama huyo aliamua kuvua nguo zote mahakamani baada ya jaji kuahirisha uamuzi wa kese hio tena kwa kudai alihitaji muda zaidi kupitia ushahidi. Alikasirishwa na jaji na kuanza kupiga kelele kortini huku akivua...
Share:

MKENYA CLIFTON MIHESO ATUA ULAYA

Aliyekuwa winga wa Afc Leopards Mkenya Clifton Miheso amejiunga na klabu ya Ureno Clube Olimpico de Montijo. Klabu hiyo ya Ureno imethibitisha kwamba imesajili mchezaji huyo wa Harambee stars ambaye alikuwa akiipigia Buildcon ya Zambia. Klabu hiyo inasema Miheso ataongeza nguvu kwenye kikosi chao. Ikumbukwe...
Share:

AFARIKI TENA BAADA YA KUFUFUKA

Hirpha Negero aliamka katika jeneza lake mwezi Novemba muda mfupi kabla ya kuzikwa. Mawanamume wa Ethiopia aliyefufuka wakati wa mazishi yake miezi mwili iliyopita amefariki dunia. Hirpha Negero alithibitishwa kufa mwezi Novemba ambapo aliwekwa ndani ya jeneza kwa saa tano, lakini wakati wa mazishi...
Share:

NANI HUDANGANYA ZAIDI KATI YA WANAUME NA WANAWAKE?

Ndiyo, wanaume huongopa zaidi ya wanawake, hayo ni matokeo ya utafiti mkubwa uliofanyika kuhusu udanganyifu. Taarifa za tafiti  565 zikihusisha watu 44,000 zilichakatwa na taasisi ya Max Planck na Technion za Ujerumani na Israel. Lakini,wanawake si wakweli kihivyo. 42% ya wanaume waligundulika...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger