Wednesday, 24 May 2017

Taarifa ya TANESCO kuhusu katizo la umeme Mikoa ya Kinondoni Kaskazini, Ilala na Temeke.

...
Share:

TANGAZO:TUNAFANYA USAJILI WA WANAFUNZI WANAOTAKA KUJIUNGA NA VYUO VYA NACTE NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA MWAKA WA MASOMO 2017/2018

Habari zenu, Maswayetu blog tunafanya usajili kwa wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo mbalimbali katika kozi za afya,kilimo etc mwaka wa masomo 2017/2018. Pia tunatoa ushauri kabla ya kufanya application kulingana na matokeo yako uliyopata. Gharama zetu ni nafuu sana. Kama unataka ushauri unaweza ukauliza swali lako kwa kutuma na maksi zako ulizopata,kwa kutuma kwenda namba 0652740927 Karibuni...
Share:

MPYA:NAFASI ZA KILIMO NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA MWA WA MASOMO 2017/2018

APPLICATION FOR ADMISSION INTO DIPLOMA AND CERTIFICATE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2017/2018 The Permanent Secretary Ministry of Agriculture...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO MAY 24 2017

...
Share:

Tuesday, 16 May 2017

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MASOMO YA KIDATO CHA TANO-ZANZIBAR PEMBA

...
Share:

WANAFUNZI WALIOTEULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MWAKA 2017-ZANZIBAR UNGUJA

...
Share:

BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU ZANZIBAR: ANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO MWAKA WA MASOMO 2017/18

TANGAZO Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar inawatangazia wanafunzi wote wanaohitaji kujiendeleza katika fani mbalimbali za Elimu ya Juu kuwa fomu za maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2017/18 zitaanza kutolewa kwa miezi mitatu kuanzia tarehe 02/05/2017 hadi tarehe ...
Share:

NACTE:GUIDE BOOK AFYA-CHETI NA DIPLOMA 2017/2018

THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION ADMISSION REQUIREMENTS - 2017/2018 Guidebooks Tue May 16 2017 22:08:31 GMT+0300 (E. Africa Standard Time) ...
Share:

Sunday, 14 May 2017

Treni ya Abiria Yapata Ajali Morogoro

Treni ya abiria imepata ajali usiku saa 5 eneo la Stesheni ya Mazimbu Morogoro ambapo mabehewa manne yameegama na matatu yameacha reli. Ashura Mrisho aliyekuwa anakwenda Tabora amejeruhiwa kwa kuangukiwa na mizigo. Mabehewa 13 yamerejeshwa Morogoro kuwapangia usafiri mbadala  ...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MAY 14 2017

...
Share:

TCRA yawatahadharisha watumiaji wa kompyuta juu ya shambulio la Kirusi Kiitwacho WANNACRY kwenye kompyuta

Shambulizi la kihalifu mitandaoni lililotendeka kupitia vifaa vinavyoaminika kuibwa kutoka kitengo cha ujasusi nchini Marekani NSA limeathiri mashirika tofauti duniani. Kampuni ya kulinda uhalifu wa mitandao Avast, imesema kuwa imeona kesi 75,000 za programu zinazotumika kufanya uhalifu...
Share:

Wednesday, 10 May 2017

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018

  BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE) TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018 Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria ya Baraza la Taifa la Elimu...
Share:

ADMISSION OF STUDENTS FOR VARIOUS CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018

THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE) PUBLIC NOTICE ADMISSION OF STUDENTS FOR VARIOUS CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018 The National Council for Technical Education (NACTE) is a statutory body established under the National Council for Technical...
Share:

NACTE : Udahili na uchaguzi 2017/18 wa Astashahada na Stashahada kutafanyika moja kwa moja vyuoni

Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa udahili na uchaguzi wa wanafunzi kwa ajili ya masomo ya Astashahada na Stashahada mbalimbali yanayotolewa na vyuo vyote hapa nchini, utafanyika moja kwa moja vyuoni, isipokuwa kozi za afya na ualimu zinazotolewa...
Share:

Sunday, 7 May 2017

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MAY TAREHE 7.5.2017

...
Share:

Barua ya Bodi ya Ligi kuhusu sakata la alama tatu kati ya Kagera Sugar na Simba SC.

Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewajibu rasmi Simba SC juu ya sakata lao la kupokwa pointi tatu za mezani walizopewa baada ya rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar wakidai kumcheza mchezaji Mohamed Fakhi akiwa na kadi tatu za njano.   Kwa mujibu wa barua kutoka...
Share:

Saturday, 6 May 2017

Habari Mbaya: Wanafunzi 20 wahofiwa kufa katika ajali ya basi Karatu

Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi. Habari zinaarifu kuwa , basi hilo limeanguka kabla ya kuingia karatu mjini na kuua watoto wengi . Inaarifiwa kuwa Wanafunzi hao  ni wa shule inayoitwa Lucky Vicent ya Arusha ambao...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger