Baraza linaomba ifahamike kuwa vyuo na
kozi zilizojaa hazitaonekana tena wakati wa maombi bali kozi
zitakazoonekana ni zile zenye nafasi tu pia baraza linashauri waombaji
wajipime na kuangali ushindani wa kozi ili kufanikisha kuchaguliwa kwao.
Vyuo na kozi zilizo na nafasi <<<zimeainishwa...
Baraza
linapenda kuwaarifu wote walioomba kudahiliwa katika kozi za cheti na
diploma na umma kwa ujumla kuwa muda wa nyongeza wa kutuma maombi kwa
mwaka 2016/2017 umeongezwa hadi tarehe 13 Agosti 2016...
Public Announcement
Employment Opportunities: Tutorial Assistant & Assistant Lecturer - School of Pharmacy
Financial Information for Academic Year 2016-2017
New selected candidates MPH Morning session for 2016-2017
New selected candidates MPH Evening session for 2016-2017
New...
Viongozi wa Tume ya Utumishi wa Walimu waripoti Tamisemi
Viongozi wakuu wa Tume ya Utumishi wa Walimu ambao waliteuliwa hivi
karibuni na kuapishwa leo na Rais Dkt John Pombe Magufuli
wamekwisharipoti katika...