Mtu 1 amefariki na wengine kujeruhiwa baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa bomu, kurushwa karibu na msikiti, darajani Zanzibar.
Saturday, 14 June 2014
MLIPUKO WA BOMU ZANZIBAR: KITU KIDHANIWACHO KUWA NI BOMU KIMELIPUKA HUKO ZANZIBAR USIKU HUU NA KUUA MMOJA
Mtu 1 amefariki na wengine kujeruhiwa baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa bomu, kurushwa karibu na msikiti, darajani Zanzibar.
FROLA MABASHA:MZIMU WAZIDI KUMATAWA,AVAMIWA NYUMBANI KWAKE
SIKU
chache baada ya tuhuma za ubakaji na mzozo wa familia ya mwimba Injili
mahiri nchini, Flora Mbasha na mumewe, Emanuel Mbasha, mambo mengine
yameibuka.
'MWANA FA' ASAKWA AUAWE
Friday, 13 June 2014
SOMA:BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/2015
HOTUBA YA MHESHIMIWA WAZIRI WA FEDHA, SAADA MKUYA SALUM (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA KWA MWAKA 2014/15
UTANGULIZI:
1. Mheshimiwa Spika, kufuatia
taarifa iliyowasilishwa hapaBungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu
ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, naomba kutoa hoja kwamba Bunge
lako Tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Makadirio ya Mapato
na Matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2014/15.
2. Mheshimiwa Spika, awali
ya yote napenda kumshukuruMwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa
kuniwezesha kuwasilisha hotuba ya bajeti ya Wizara ya mwaka 2014/15.
Aidha, natoa shukrani zangu za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuniteua kuwa Waziri wa
Fedha. Ninaahidi kwamba nitatekeleza jukumu hili kwa weledi na uadilifu.
Vile vile, nawapongeza Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) na Mhe. Adam
Kighoma Ali Malima (Mb) kwa kuteuliwa kuwa Naibu Mawaziri wa Wizara ya
Fedha. Kadhalika, namshukuru pia aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha Mhe.
Janeth Zebedayo Mbene (Mb) kwa utendaji kazi wake mahiri na tunamuombea Mwenyezi
Mungu ampe nguvu na afya njema katika kazi zake mpya Wizara ya Viwanda
na Biashara. Nichukue pia fursa hii kumpongeza Bw. Rished M. Bade kwa
kuteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania.
MAHUSIANO:TAMU WA KUNYONYWA, UMPATE MNYONYAJI ANAYEJUA KUNYONYA...!
Thursday, 12 June 2014
MATOKEO KOMBE LA DUNIA DK YA 75 :BRAZIL 2 CROTIA 1
HATIMAE,
Fainali za Kombe la Dunia zinaanza Leo hii huko Sao Paulo, Brazil
wakati Wenyeji Brazil wataivaa Croatia katika Mechi ya Kwanza ya Kundi A
itakayochezwa Arena Corinthians, au kwa Jina jingine Arena de Sao
Paulo.






