TAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI
...
Saturday, 29 March 2014
RODGERS:NO PRESSURE ON US
The Anfield outfit have won their last seven games on the bounce, putting them in contention for the title
Liverpool
head into Sunday's game on the back of Wednesday's 2-1 success over
Sunderland, a result that left Rodgers' side just one point behind
Premier...
NO PRESSURE ON US-RODGERS
The Anfield outfit have won their last seven games on the bounce, putting them in contention for the title
Betare feeling the pressure in the title race.
Liverpool
head into Sunday's game on the back of Wednesday's 2-1 success over
Sunderland, a result that left Rodgers' side just one point...
Kura mchanganyiko Bunge la Katiba
Kura mchanganyiko Bunge la Katiba
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Abdul Shariff (kulia) akipiga
kura ya siri wakati Bunge hilo jana lilipokuwa likipitisha utaratibu wa
kupiga kura za aina mbili (siri na wazi). .
Kwa ufupi
...
DUDE APATA AJALI LOLIONDO
DUDE APATA AJALI LOLIONDO
STAA
wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amepata ajali ya gari wakati
akielekea Loliondo, Arusha kupata dawa ya kikombe inayotolewa na
mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwaisapila.
Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’
Dude ameiambia Bongowood kuwa, hivi...
Friday, 28 March 2014
Siri ya CCM kung’ang’ania Serikali mbili kikatiba
Siri ya CCM kung’ang’ania Serikali mbili kikatiba
Msimamo huo ni kinyume na mapendekezo
au matakwa ya wengi kama ilivyoainishwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba
iliyoandaliwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba
Katika maisha ya kawaida, binadamu ana msimamo...
Seif: Hatuko tayari kujadili serikali mbili
Zanzibar. Makamu wa Kwanza wa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema chama
chake cha CUF hakiko tayari kujadili mfumo wa Muungano wa serikali mbili
kama inavyotetewa na wabunge wa CCM na Rais Jakaya Kikwete.
Amesema tayari amewaandikia...
ROSE NDAUKA ADAIWA KUMTIBULIA DILI BATULI
ROSE NDAUKA ADAIWA KUMTIBULIA DILI BATULI
Akizungumza na Ijumaa kwa sharti la kutotajwa jina lake, chanzo
kilisema, wazo la project ile alikuwa nalo Batuli lakini Rose akaingilia
kati, hali iliyosababisha Batuli amnunie mwenzake.…
Mastaa wawili, Yobnesh Yusuph...
HIVI NDIVYO MVUA ILIVYOHARIBU MAZINGIRA JIJINI DAR
HIVI NDIVYO MVUA ILIVYOHARIBU MAZINGIRA JIJINI DAR
Mwavuli unaotumiwa na wafanyabiashara wadogowadogo ukiwa umechukuliwa
na maji na kutumbukia kwenye shimo eneo la stendi ya mabasi Ubungo.
Maji yakiwa yametuhama…
...