HIVI NDIVYO MVUA ILIVYOHARIBU MAZINGIRA JIJINI DAR
Maji yakiwa yametuhama…
Maji yakiwa yametuhama kwenye shimo stendi ya mabasi Ubungo.
Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia jana na
leo imesababisha maafa kwenye baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam
ambapo katika mizunguko ya kamera yetu imenasa eneo la nje ya stendi
ya Mkoa, Ubungo maji yakiwa yamejaa kila pande huku wafanyabiashara
wadogo wanaofanyia kazi eneo hilo, miavuli yao na vitendea kazi
vikisombwa na maji huku mashimo yaliyokuwa yamechibwa katika
utengenezaji wa barabara yakizidi kuporomoka.
0 comments:
Post a Comment