
Na Mwandishi Wetu,MBEYA
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira(NEMC) limeanzisha mfumo wa kielektroniki wa usajili wa miradi ili kuwarahisishia wawekezaji kufanyiwa tathmini ya athari ya mazingira(TAM).
Kutokana na hatua hiyo, limewataka wawekezaji wa miradi kutekeleza sheria ya mazingira...