Monday, 31 July 2023

NEMC YAPIGA KAMBI MBEYA KUWAWAPA SOMO WANANCHI

Na Mwandishi Wetu,MBEYA BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira(NEMC) limeanzisha mfumo wa kielektroniki wa usajili wa miradi ili kuwarahisishia wawekezaji kufanyiwa tathmini ya athari ya mazingira(TAM). Kutokana na hatua hiyo, limewataka wawekezaji wa miradi kutekeleza sheria ya mazingira...
Share:

COSTECH YAAGIZWA KUWEKA MFUMO KURATIBU TAFITI

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo,akizungumza wakati wa Kikao kazi cha kujadili usimamizi ya utafiti na maendeleo nchini kilichofanyika leo Julai 31,2023 Mjini Morogoro. Na.Mwandishi Wetu-MOROGORO Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne...
Share:

AUAWA KWA KUKATWA KICHWA AKICHUMA MBOGA

MKAZI wa Kijiji cha Mgongola A Kata ya Kwamgwe wilayani Handeni mkoani Tanga, ameuawa kwa kukatwa kichwa na watu wasiojulikana wakati akichuma mboga shambani. Akizungumzia tukio hilo lililotokea juzi Julai 29, 2023 kijijini hapo Diwani wa Kwamgwe, Sharifa Abebe amesema mwanamke huyo wa kabila la...
Share:

13 WAHOFIWA KUFARIKI BAADA YA MITUMBWI MIWILI KUZAMA ZIWA VIKTORIA

Watu 13 wanahofiwa kufariki dunia huku wengine 14 wakiokolewa baada ya mitumbwi miwili kuzama ndani ya Ziwa Victoria wakati wakitoka kusali ibada ya Jumapili Kijiji cha Ichigondo Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Akizungumza kwa simu na Mwananchi leo Jumatatu Julai 31, 2023, Mkuu wa Wilaya ya Bunda,...
Share:

AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA KWA KUMUUA MWANAFUNZI UDOM

MAHAKAMA kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemhukumu Idris Mwakabola kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumnyonga Happiness Mbonde, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Mwakabola alifikia uamuzi wa kumuua mpenzi wake huyo kwa kuhisi ana uhusiano...
Share:

WAZAZI NA WALEZI WAHIMIZWA KUTOWAFICHA WATOTO WENYE ULEMAVU

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga (wa pili kushoto) akishiriki chakula cha pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwanga Viziwi Mkoani Kilimanjaro. Mkuu wa wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro Mhe. Abdallah Mwaipaya (aliyesimama) akifafanua...
Share:

MKE WANGU KABADILIKA SANA BAADA YA KUJIFUNGUA

Ndoa yeyote bila ya kuwa na mapenzi ya kweli hukumbwa na misukusuko ya kila aina wakati wowote ule, ni jukumu la kila muhusika katika ndoa kuhakikisha kwamba mapenzi yanazidi kudumu. Tuliishi na mke wangu kwa amani na upendo, kwa hakika tuliaminiana sana hadi mke wangu alipopata mtoto wa pili katika...
Share:

Sunday, 30 July 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JULAI 31,2023

...
Share:

GGML YATOA MSAADA WA MADAWATI 8,823 MKOANI GEITA

Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong (kulia) akimkabidhi Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela baadhi ya madawati hayo. Kushoto kwa mkuu huyo wa mkoa ni Mkuu wa wilaya ya Geita, Cornel Maghembe. Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong, Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela baadhi ya viongozi...
Share:

ORYX GAS YATOA MITUNGI 500, MAJIKO YAKE KWA MAMA LISHE ILEMELA

Meneja Masoko wa Kampuni ya Oryx Gas Tanzania Peter Ndomba akitoa elimu ya matumizi salama ya mtungi wa gesi ya Oryx kabla ya mitungi hiyo kukabidhiwa kwa wanawake wajasiriamali wilayani Ilemela mkoani Mwanza. *************** Na Mwandishi Wetu, Mwanza MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Oryx Gas...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULAI 30,2023

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger