Monday 14 March 2022

BASI LA KILIMANJARO LAPATA AJALI

...


Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya Kilimanjaro linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Tunduma, kupata ajali asubuhi ya leo Jumatatu Machi 14, 2022.

Ajali hiyo imetokea katika eneo la Senjele ya Pili mkoani Songwe ambapo chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger