Thursday, 31 March 2022

Breaking : HII HAPA ORODHA YA MAJINA YA MAKATIBU WA WAZAZI CCM NA BAADHI YA WATUMISHI WANAOKWENDA MAKAO MAKUU

KIKAO Maalum cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichokutana Dodoma tarehe 30, Machi, 2022 pamoja na mambo mengine ikifanya uteuzi wa watendaji wa Jumuiya ya Wazazi ngazi ya wilaya.Sambamba na kufanya uhamisho kwa baadhi ya watendaji wa wilaya na makao makuu...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA APRILI 1, 2022

Magazetini leo Ijumaa April 1 2022 ...
Share:

FREEMAN MBOWE AKUTANA NA RAILA ODINGA

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Aikaeli Mbowe jana amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi wa Chama cha NARC Kenya Jijini Nairobi. Kupitia kwao, Mheshimiwa Mbowe amewataka Wakenya wote kushikamana kuhakikisha kuwa...
Share:

Wednesday, 30 March 2022

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI MACHI 31,2022

Makali ya Rais Samia... ...
Share:

WIZARA YA ARDHI YASHIRIKIANA NA KOREA KUBADILISHA MIFUMO YAKE KUWA YA KIDIGITALI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (Kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mtendaji Mkuu na Rais wa Kampuni ya Hojung Solutions Co Ltd ya Korea Kusini baada yeye na ujumbe wake kumtembelea ofisini kwake eneo la Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma tarehe 30 Machi 2022....
Share:

RAIS SAMIA AAGIZA TOZO YA SH. 100 KWENYE MAFUTA IREJESHWE

Rais Samia Suluhu ameagiza tozo ya TZS 100 iliyokuwa imetolewa kwenye mafuta irejeshwe kwa sababu hesabu zake tayari zilikuwa zimepigiwa kwenye bajeti. Aidha, amesema kwa mwenendo wa upandaji wa bei ya mafuta duniani, kuondoa TZS 100 hakutasaidia, ila kutainyima serikali mapato. Rais Samia amesema...
Share:

KARIBU JM BUTCHER SHINYANGA MJINI UJIPATIE NYAMA YA NG'OMBE ,SAMAKI NA MAYAI BORA

Habari Njema kwa Wakazi wa Shinyanga na maeneo ya jirani!! JM Butcher inapenda kukutarifu kuwa  tunatoa huduma ya kuuza Nyama ya Ng'ombe, Kuku, Samaki na Mayai bora kwa afya yako! JM Butcher ipo Nyuma ya Jengo la Benki ya CRDB Mjini Shinyanga..Wasiliana nasi 0753717360 au 062769221...
Share:

AFISA WA AFYA SHIRIKISHO LA SOKA AFRIKA CAF AFARIKI DUNIA

Dr Joseph Kabungo enzi za uhai wake ** Afisa wa afya wa shirikisho la soka Afrika CAF, Dr Joseph Kabungo amefariki dunia baada ya kupatwa na shambulio la moyo baada ya kumalizika kwa mchezo baina ya Ghana dhidi ya Nigeria na mashabiki kuingia uwanjani kwenye dimba la Abuja International Stadium Dr...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO MACHI 30,2022

Binti aliyekiri kutumwa kuiba watoto afungwa... ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger