Wednesday, 11 September 2019

Mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani John Bolton ajiuzulu

...
Rais Donald Trump wa Marekani amesema mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani John Bolton amejiuzulu baada ya kumuomba afanye hivyo. 

Trump alimtaka Bolton ajiuzulu Jumatatu jioni na kupokea barua ya kujiuzulu Jumanne asubuhi. 

Amesema kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa yeye na viongozi wengine hawakukubali mapendekezo yake mengi. 

Msemaji wa Ikulu ya Marekani Hogan Gidley aliwaambia wanahabari kuwa Trump na Bolton hawaelewani katika masuala mengi.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger