Tuesday 7 July 2020

4 Job Opportunities at Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (NZEGA DC)

DescriptionNzega District is one of the seven districts of the Tabora Region of Tanzania. It is bordered to the north by Shinyanga Region, to the south and southwest by the Uyui District and to the east by the Igunga District. Its administrative seat is the town of Nzega POST DETAILS POST MSAIDIZI WA HESABU DARAJA […]

The post 4 Job Opportunities at Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (NZEGA DC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

PERSONAL SECRETARY GRADE II – 3 POST Jobs at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI)

PERSONAL SECRETARY GRADE II – 3 POST Jobs at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI) POST DETAILS POST PERSONAL SECRETARY GRADE II – 3 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION EMPLOYER Tanzania Forestry Research Institute TAFORI APPLICATION TIMELINE: 2020-07-06 2020-07-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Typing open and confidential reports, letters and memoranda and documents; […]

The post PERSONAL SECRETARY GRADE II – 3 POST Jobs at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

LABORATORY TECHNICIAN GRADE II – 2 POST Jobs at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI)

LABORATORY TECHNICIAN GRADE II – 2 POST Jobs at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI) POST DETAILS POST LABORATORY TECHNICIAN GRADE II – 2 POST POST CATEGORY(S) FARMING AND AGRIBUSINESS EMPLOYER Tanzania Forestry Research Institute TAFORI APPLICATION TIMELINE: 2020-07-06 2020-07-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Assist researchers in carrying out research/technical programmes by conducting laboratory/field […]

The post LABORATORY TECHNICIAN GRADE II – 2 POST Jobs at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

LABORATORY ASSISTANT GRADE II Job Opportunity at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI)

LABORATORY ASSISTANT GRADE II Job Opportunity at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI) POST DETAILS POST LABORATORY ASSISTANT GRADE II – 1 POST POST CATEGORY(S) FARMING AND AGRIBUSINESS EMPLOYER Tanzania Forestry Research Institute TAFORI APPLICATION TIMELINE: 2020-07-06 2020-07-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Assist in simple routine Laboratory work; ii.Operate simple laboratory equipment; iii.Maintain routine […]

The post LABORATORY ASSISTANT GRADE II Job Opportunity at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

FORESTRY ASSISTANT II Job Opportunity at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI)

FORESTRY ASSISTANT II Job Opportunity at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI)   POST FORESTRY ASSISTANT II – 1 POST POST CATEGORY(S) FARMING AND AGRIBUSINESS EMPLOYER Tanzania Forestry Research Institute TAFORI APPLICATION TIMELINE: 2020-07-06 2020-07-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Undertake sanitary cleaning of experimental plots, arboreta, graveyards, office premises, etc; ii.Involvement in layout of […]

The post FORESTRY ASSISTANT II Job Opportunity at Tanzania Forestry Research Institute (TAFORI) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

METEOROLOGIST II Job opportunities- 2 POST at Tanzania Meteorological Agency (TMA)

METEOROLOGIST II Job opportunities- 2 POST at Tanzania Meteorological Agency (TMA) POST DETAILS POST METEOROLOGIST II – 2 POST POST CATEGORY(S) EDUCATION AND TRAINING ENVIRONMENTAL SCIENCES AND GEOGRAPHY FARMING AND AGRIBUSINESS WATER, MINING AND NATURAL RESOURCES EMPLOYER Tanzania Meteorological Agency (TMA) APPLICATION TIMELINE: 2020-07-06 2020-07-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Perform Meteorological, Agrometeorological, Hydro […]

The post METEOROLOGIST II Job opportunities- 2 POST at Tanzania Meteorological Agency (TMA) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

TRAINING ASSISTANT II (LEATHER PRODUCTS) RE-ADVERTISED) – 1 POST at SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANIZATION (SIDO)

TRAINING ASSISTANT II (LEATHER PRODUCTS) RE-ADVERTISED) – 1 POST at SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANIZATION (SIDO)   POST TRAINING ASSISTANT II (LEATHER PRODUCTS) RE-ADVERTISED) – 1 POST POST CATEGORY(S) EDUCATION AND TRAINING EMPLOYER SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANIZATION (SIDO) APPLICATION TIMELINE: 2020-07-06 2020-07-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Conduct on-the-job training, classes, or training sessions to […]

The post TRAINING ASSISTANT II (LEATHER PRODUCTS) RE-ADVERTISED) – 1 POST at SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANIZATION (SIDO) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

DRIVER III Job Opportunity- 1 POST at Institute of Accountancy Arusha (IAA)

DRIVER III Job Opportunity- 1 POST at Institute of Accountancy Arusha (IAA)   POST: DRIVER III – 1 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION EMPLOYER Institute of Accountancy Arusha (IAA) APPLICATION TIMELINE: 2020-07-06 2020-07-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Holder of the position is responsible for all assigned duties in ensuring timely execution of […]

The post DRIVER III Job Opportunity- 1 POST at Institute of Accountancy Arusha (IAA) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

DRIVER II Job vacancies- 2 POST at Institute of Accountancy Arusha (IAA)

DRIVER II Job vacancies- 2 POST at Institute of Accountancy Arusha (IAA)   POST: DRIVER II – 2 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION EMPLOYER Institute of Accountancy Arusha (IAA) APPLICATION TIMELINE: 2020-07-06 2020-07-20 JOB SUMMARY DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Holder of the position is responsible for all assigned duties in ensuring timely execution of driving […]

The post DRIVER II Job vacancies- 2 POST at Institute of Accountancy Arusha (IAA) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Nurses Covid-19 (Tanzania) at Global Human Capital Group Dodoma Tanzania

Job Information División GHCG Salud y Bienestar Industry Atención sanitaria y hospitalaria Work Experience 1-3 años Pais. Tanzania Subtitulo puesto We do not wish to take nurses from current posts especially where they are required to work on Coronavirus care in their current hospitals. This vacancy is open to any specialised nurses who are looking […]

The post Nurses Covid-19 (Tanzania) at Global Human Capital Group Dodoma Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Bodi ya Mkonge Kuanzisha Vitalu vya Miche, Kuwawezesha wananchi kupata fursa ya zao hilo.

Na. Mwandishi Wetu-MAELEZO
Serikali kupitia Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), kwa kushirikiana na halmashauri mbalimbali nchini ambako zao la mkonge linalimwa imesema itaanzisha vitalu vya zao hilo ili kuwawezesha wananchi kupata mbegu baada ya kuwepo na mwamko wa wananchi kutaka kulima zao hilo.

Akizungumza katika Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA), Afisa Maendeleo ya Masoko wa Bodi ya Mkonge Tanzania, David Maghali alisema kuwa mwamko wa wakulima kulima zao hilo sasa ni mkubwa ndiyo maana Serikali imefikia uamuzi wa kuzalisha miche mingi ili kuwawezesha wananchi kupata fursa katika kilimo cha zao hilo.

“Mwamko wa kuongezeka kwa wakulima wa zao la Mkonge kumekuja baada ya kuongezeka kwa matumizi ya zao hilo hasa kwenye sekta ya ujenzi, kwani mkonge hutumika kutengeneza gypsam na vifaa vya Magari kwa hiyo mahitaji yake yamekuwa yakiongezeka siku hadi siku”, Alisema Maghali.

Alisema kuwa Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam(SABASABA), yameleta mwamko mkubwa wa wananchi wengi kujua na kujifunza fursa zilizoko kwenye zao la mkonge, ikiwemo kupata elimu juu ya kulima zao hilo, uvunaji wa zao hilo, ajira zinazoweza kutengenezwa katika zao hilo na matumizi ya zao hilo ambayo kwa sasa ni makubwa duniani, lakini pia wameweza kujifunza bidhaa mpya, matumizi mapya na fursa za uwekezaji viwanda katika eneo hilo.

Aidha Maghali aliongeza kuwa Bodi ya Mkonge Tanzania iko tayari kuwahudumia wananchi katika maeneo mbalimbali ambako zao la mkonge linalimwa, kwa kushirikiana na Halmashauri TSB inaendesha zoezi ya kutengeneza vitalu ili kurahisisha upatikanaji wa miche kwa  wananchi wenye uhitaji kupata miche hiyo kwa urahisi.

Kwa Upande wake Afisa Mipango wa TSB, Fredrick Sospeter alisema kuwa zao la Mkonge lina fursa nyingi na linadumu kwa muda mrefu ambapo linamuwezesha mkulima kuvuna kwa miaka 12 mara mbili kwa mwaka baada ya kupanda na kuanza mavuno baada ya miaka mitatu.

“Ulimaji mkonge ni mzuri kwa sababu zao hili linakomaa kwa muda wa miaka mitatu na baada ya hapo mavuno yake yanachukua hadi muda wa miaka 12 kwa mkulima akiwa anavuna mara mbili kwa mwaka, maana yake akiwa anavuna baada ya miezi sita”, 

Alieleza kuwa zao hilo lina faida nyingi sana ikiwemo  mizizi yake ambayo hutumika kutengenezea madawa ya binadamu, mifugo na mimea, shina ambalo hutumika kutenegeneza juisi yenye sukari (asali) ambayo hutumiwa kwa wingi na wagonjwa wenye matatizo ya kisukari.

Vilevile majani ya mkonge hutumika kutengenezea nyuzi, Kamba, mazulia, magunia, Gypsam, karatasi za kutengenezea fedha(noti), gesi, mbolea pamoja na chakula cha wanyama.

“Zao la Mkonge lina fursa nyingi kwa hiyo wawekezaji kutoka nje na ndani ya nchi karibuni muwekeze katika viwanda vya kutengeneza madawa ya binadamu, mifugo, mimea, juisi yenye sukari (asali), nyuzi, Kamba, mazulia, magunia, Gypsam, karatasi za kutengenezea fedha(noti), gesi, mbolea pamoja na chakula cha wanyama ili kujenga uchumi mzuri kwa wananchi kupata ajira na wengine kulima zao hili”, Alisema Sospeter.

Mwisho.


Share:

Serikali Kufuta Ada Ya Usajili Kwa Watoa Huduma Ya Msaada Wa Kisheria Ili Kusogeza Huduma Kwa Wayonge

NA TIGANYA  VINCEN
SERIKALI inafanyia kazi wazo la kufuta ada ya usajili kwa watoa huduma ya watoa  msaada wa kisheria na Wasaidizi wa Msaada wa kisheria ili kuhakikisha huduma hiyo inawafikia  wananchi wanyonge kwa wingi mahali walipo.

Hatua hiyo inalenga kuhakikisha huduma ya msaada wa kisheria inawafikia wananchi wanyonge walipo na wanapata haki zao kwa wakati.

Kauli hiyo imetolewa  jana Mkoani Tabora na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Sheria na Katiba Amon  Mpanju wakati akizindua Kamati ya Uratibu wa Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa ngazi ya Mkoa.

Alisema pamoja na wazo hilo ni  lazima watoa huduma hao  wakaendelea kuzingatia taratibu nyingine zilizoanishwa katika Sheria na kanuni ili waweze kuwafikia wananchi wanyonge.

Mpanju alisema ni vema watoa huduma hizo zikasaidia kutatua kwa haraka migogoro ya wananchi wanyonge ili watumie muda mwingi katika uzalishaji badala ya kuwa Mahakamani.

Alisisitiza kuwa Watoa huduma za Msaada wa Kisheria na wasaidizi wa msaada wa Kisheria ni sawa na viongozi wa dini ambao wanatakiwa kutoa huduma kwa wananchi wanyonge ambao hawawezi kulipa gharama za Mawakili bila malipo.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Tabora (Utumishi na Utawala) Hamis Mkunga alisema kuzinduliwa kwa Kamati hiyo kutasaidia kutatua migogoro ambayo wakazi wa Mkoa huo wamekuwa wakikabiliana nayo ambao kipato chao ni kidogo.

Aliongeza kuwa wapo wengi walikuwa wakipoteza haki zao na kudhulumiwa mali zao kama vile mashamba kwa sababu ya ukosefu wa fedha na kulipa Wakili na wengine kwa sababu ya kuishi mbali na vyombo vya utoaji haki.

Msajiri Msaidizi (LAPS) Mkoa wa Tabora Panin Kerika alisema katika wiki ya Sheria ya Mwaka 2018/19 , Mkoa ulikuwa na jumla ya mashauri 358 ambayo yaliweza kusikilizwa.

Alisema kati ya hayo 181 yalihusu migogoro ya ardhi, 62 matunzo ya watoto, 58 masuala ya mirathi, ukatili wa kijinsia matatu, migogoro katika ndoa yalikuwa 21, madai 15, migogoro katika masuala ya kazi 8 na jinai 10.

Mwisho


Share:

Hakuna Kuhuisha Hati Za Miaka 33 Kwa Wamiliki Wa Ardhi Wasioendeleza Viwanja- Waziri Lukuvi

Na Munir Shemweta, WANMM GEITA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Makamishna Wasaidizi wa Ardhi katika ofisi za ardhi za mikoa nchini kuhakikisha wamiliki wote wa ardhi wasioendeleza viwanja vyao tangu kumilikishwa hawahuishi miliki zao za miaka 33 ili kupatiwa za miaka 99.

Lukuvi ametoa kauli hiyo jana mkoani Geita wakati akizindua ofisi ya ardhi mkoa wa Geita ikiwa ni mfululizo wa uzinduzi wa ofisi hizo nchini. Uzinduzi wa ofisi ya ardhi Geita umeenda sambamba na ule wa mkoani Kagera uliofanywa na Naibu Waziri wa Ardhi Dkt Angeline Mabula.

Alisema, kuna wamiliki wa ardhi katika maeneo mbalimbali katika mikoa wameshindwa kuchukua hati za viwanja na wengi viwanja vyao ni vya miaka 33 na kutolea mfano wa mkoa wa Geita wenye zaidi ya wamiliki 30,000 huku baadhi yake wakishindwa maendelezo yoyote jambo alilolieleza limeikosesha  serikali mapato yatokanayo na kodi ya ardhi.

" Nawaagiza Makamishna Wasaidizi wa ardhi wa mikoa kuhakikisha  wamiliki woteb wa ardhi wasioendeleza maeneo yao wasihuishwe hati zao, kama kwa muda wa miaka 33 umeshindwa kuweka hata tofali huwezi kujenga tena, hatukutoa ardhi kwa mtu kama land bank" alisema Lukuvi.

Kwa mujibu wa Waziri Lukuvi,  wananchi walioendeleza viwanja vyao Makamishna wa mikoa  wanatakiwa kuhakikisha hati zao za miaka 33 zinahuishwa na kupatiwa zile za miaka 99 ili waweze kuzitumia kwa shughuli za kiuchumi kama kuchukua mikopo ya muda mrefu benki.

Sambamba na hatua hiyo, Waziri Lukuvi aliwataka Makamishna Wasaidizi wa ardhi katika ofisi za ardhi za mikoa kumpatia gharama halisi za upimaji kufuatia usambazaji vifaa vya upimaji uliofanywa na wizara yake kwenye ofisi hizo.

Alisema, kwa sasa gharama za upimaji katika halmashauri mbalimbali za wilaya hazina uhakika kutokana na kila eneo unapofanyika upimaji kuwa na kiwango chake alichokieleza kuwa kinawaumiza sana wananchi hasa wale wanyonge.

" haiwezekani serikali inunue vifaa vya zaidi ya bilioni 3 halafu mwananchi anaumizwa, yaani vifaa vya upimaji vinakodishwa na halmashauri kwa makampuni kwa gharama ya shilingi laki mbili na nusu   kwa siku na gharama hizo anazibeba mwananchi ni lazima gharama zishuke sasa" alisema Lukuvi

Aidha, Waziri wa ardhi alisema, kuanzia mwakani wizara yake itaanza mradi mkubwa wa kupima kila kipande cha ardhi na hati kutolewa kwa mfumo wa kidijitali unaowezesha mwananchi  kumilikishwa hati ya kielektroniki ya kurasa moja.

Akizungumzia suala la urasimishaji makazi katika maeneo mbalimbali nchini,  Waziri Lukuvi aliagiza wananchi wote waliojenga maeneo hatarishi kama vile mabondeni wasirasimishiwe na badala yake maafisa mipango miji waangalie upya ramani zake ili wazirekebishe.

" aliyejenga eneo hatarishi asipewe hati na wapanga miji mrudi kutoa ramani, mvua zimeshusha hadhi yenu na kuonesha mafuriko, futeni katika mpango wenu maeneo yaliyoathirika msiyapange na walio mabondeni wasirasimishiwe" alisema Lukuvi.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Geita Josephat Maganga aliyemwakilisha Mkuu wa mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel alisema kupitia uzinduzi wa ofisi ya ardhi, mkoa huo sasa utafaidi kwa kusogezewa  huduma za sekta ya ardhi karibu ambapo awali zilikuwa zilikuwa zikipatikana ofisi ya kanda uliyokuwemo mkoa wa Mwanza na kutolea mfano upatikanaji hati ulilazimu mwananchi kusafiri hadi Mwanza na kumuingizia gharama.

Mkuu huyo wa wilaya ya Geita alibainisha kuwa, kupatikana kwa huduma zote za sekta ya ardhi katika mkoa wa Geita sasa miji katika mkoa huo itapangika vizuri na maeneo yaliyoiva kimji itapangiliwa vizuri.

Naye Mbunge wa Bukombe ambaye ni Waziri wa Madini Doto Biteko aliishukuru Wizara ya ardhi kwa uamuzi wa kufungua ofisi za ardhi za mikoa pamoja na kutatua migogoro ya ardhi na kubainisha kuwa uzinduzi wa ofisi hiyo ni furaha kwa wana Geita kwa kuwa hatakuwa wakisafiri tena umbali mrefu kufuata huduma ya ardhi Mwanza.



Share:

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mpya Wa Mkuu wa Wilaya na Wakurugenzi Watano








Share:

Habari Zilizopo Latika Magazeti ya Leo Jumanne July 7





















Share:

Monday 6 July 2020

Taarifa Kwa Umma: Uteuzi Mpya wa Makatibu Tawala 06 wa Wilaya

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika kwa mamlaka aliyokasimiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria, amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa wilaya Sita hapa nchini.


Katika uteuzi huo Hassan Ngoma ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa wilaya ya Singida kuchukua nafasi ya Wilson Shimo ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Nyang’wale mkoani Geita.

 
Kamana Simba ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa wilaya ya Longido mkoani Arusha kuchukua nafasi ya Toba Nguvila ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga.

Naye Faraja Msigwa ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa wilaya ya Karatu mkoani Arusha kuchukua nafasi ya Abbas Kayanda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Karatu.


Bahati Joram ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa wilaya ya Malinyi, mkoani Morogoro kuchukua nafasi ya Lameck Lusesa, huku Salum Mtelela  akiteuliwa kuwa Katibu Tawala wa wilaya ya Bunda mkoani Mara kuchuku nafasi ya Jonas Nyehoja aliyestaafu.


Uteuzi mwingine ni wa Augustino Chazua ambaye anakuwa Katibu Tawala wa wilaya ya Gairo mkoani Morogoro  na anachukua nafasi ya Robert Selasela.

Wateule wote wanatakiwa kuripoti Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dodoma Jumatano keshokutwa saa Nne asubuhi.



Share:

Nafasi ya kampuni za simu katika kukuza teknolojia Tanzania

Na Mayala Francis, DIT
Katika miaka ya hivi karibuni, dunia imeshuhudia maendeleo makubwa kwenye sekta ya teknolojia hasa linapokuja suala la matumizi ya simu.

Hakuna ubishi wowote kwamba intaneti kwa njia ya simu imeleta tija kubwa katika shughuli zetu. Katika ulimwengu wa biashara imesaidia watu kuwasiliana na kufanya kazi pamoja hata kama wako maeneo tofauti. 

Vivyo hivyo intaneti kwa njia ya simu pia imezesha kuwasiliana na wapendwa wetu kwa namna mbalimbali na kwa urahisi, jambo ambalo halikuwezekana miaka michache iliyopita. Ni jambo lisiloshangaza kwamba katika baadhi ya maeneo duniani, watu sasa wanatumia muda mwingi mtandaoni kuliko miaka ya nyuma. 

Nchini Tanzania, idadi ya wananchi wanaopata mtandao wa mtandao wa intaneti imeongezeka mara dufu kati ya mwaka 2013 na 2019 na kufikia asilimia 46. Sehemu mafanikio haya imewezeshwa na kampuni za mawasiliano ya simu za mkononi kama Tigo Tanzania. 

Kampuni kama Tigo zimekuwa bunifu na kutumia maendeleo yaliyopo kuwapa wateja wake huduma za uhakika katika dunia ya kidijitali. Tigo inataja huduma bunifu kama Tigo Rusha inayowapa wateja wake uwezo wa kununua muda wa maongezi na vifurushi toka kwa mawakala na vituo vya mauzo. Wakati huo huo Tigo hutoa huduma kwa mteja masaa 24 kupitia simu na mtandao wa WhatsApp. 

Sekta ya mawasiliano ya simu ni muhimu katika kupanua wigo wa Watanzania wengi zaidi kufurahia huduma za kiteknolojia. Tuendelee kuiunga mkono sekta hii na kuipa nafasi kukua zaidi.


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger