Saturday 28 September 2019
RAIS WA AFRIKA KUSINI CYRIL RAMAPHOSA AMTEUA ALIYEKUWA GAVANA WA BENKI KUU TANZANIA PROF. BENNO NDULU KUWA MSHAURI WAKE WA MASUALA YA KIUCHUMI
KAMPUNI BINAFSI YA ULINZI SGA YATOA MAFUNZO YA USALAMA BURE
Watumishi wa SGA wakishiriki kwenye Siku ya Usafi Duniani kama sehemu ya kuadhimisha miaka 35 ya kuwepo nchini Tanzania |
KANISA KATOLIKI LATOA TAHADHARI JUU YA MATAPELI WANAOTUMIA JINA LA ASKOFU MKUU RUWA'ICHI
TCRA YASHUSHA RUNGU KWA TV ZA MTANDAONI...MILLARD AYO,WATETEZI TV NA KWANZA TV
Mfanyakazi CRDB Afikishwa Mahakamani kwa kumuibia mteja zaidi ya milioni 100
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon aliwasomea mashtaka yao Alhamisi Septemba 26, 2019 mbele ya Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Agustina Mbando.
Hakimu Mmbando ameahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 10, 2019 itakapotajwa tena.
Washtakiwa wote walirudishwa rumande kutokana na shtaka la utakatishaji fedha kutokuwa na dhamana.
Tutahakikisha Malighafi Zinazohitajika Viwandani Zinapatikana
Wadau Maonesho Ya Geita Watembelea Mgodi Wa GGM
Serikali Yatoa Onyo Kali Kwa Watendaji Kata
Ameyasema hayo jana jioni (Ijumaa, Septemba 27, 2019) wakati akihutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Ilula Sokoni, kata ya Nyalumbu wilayani Kilolo akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Iringa.
“Wanafunzi bado wanaendelea kupewa ujauzito na kukatishwa masomo yao huku watu waliohusika na vitendo hivyo wakishindwa kuchukuliwa hatua stahiki kwa sababu baadhi ya watendaji na askari wamezikalia kesi zao na kushindwa kuwafikisha polisi.”
“Watoto wa kike lazima walindwe ili wamalize masomo yao waje kulitumikia Taifa lao. Serikaliimeweka sheria kali ya kumlinda mtoto wa kike lengo ni kumuwezesha amalize masomo yake ili aweze kujikwamua kiuchumi na aondokane na utegemezi.”
Waziri Mkuu alisema watoto wa kike wanatakiwa kuheshimiwa katika jamii na adhabu iliyowekwa na Serikali ni kifungo cha miaka 30 jela kwa mtu atakayemuoa, kumpa ujauzo na hata ukikutwa naye nyumbani kwako, katika nyumba ya wageni.
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka wananchi hususan waishio vijijini wasikubali kurubuniwa na kugawa ardhi yao kwa watu mbalimbali wanaofika kwenye maeneo yao na kutaka wauziwe ardhi bila ya kuzihusisha mamlaka husika.
“Eneo lenu hili la Ilula ni zuri hivyo msikubali kurubuniwa kuuza ardhi yenu kwa sababau inathamani kubwa. Viongozi wa Kata na Vijiji hakikisheni mnaratibu vizuri na muandae mpango wa matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro.”
Waziri Mkuu alisema wananchi hao wanatakiwa wawe makini na ardhi na mamlaka zinazohusika na ardhi lazima zihusishwe katika ugawaji wa ardhi kwa sababu wakigawa hovyo watasababisha vijana wao hapo baadaye wakose maeneo ya kilimo.
Akizungumzia kuhusu uboreshwaji wa huduma za afya, Waziri Mkuu ameahidi ujenzi wa kituo cha afya katika kata ya Ilula ili kuwapunguzia wananchi kutembea umbali mrefu hadi Iringa mjini kwa ajili ya kufuata huduma hizo.
Alisema kituo kitakachojengwa kitakuwa na chumba cha kujifungulia, chumba cha maabara kwa ajili ya vipimo mbalimbali, huduma za mama na mtoto, mapasuaji, wodi ya wanaume na wanawake, aliwataka wananchi waendelee kuwa na imani na Serikali yao.
Waziri Mkuu alisema suala la kuboresha na kusogeza huduma mbalimbali za kijamii kwa wananchi zikiwemo za afya limepewa kipaumbele na Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli ambaye anataka kuona wananchi wakiwa na afya nzuri ili waweze kushiriki ipasavyo katika shughuli zao za kimaendeleo.
Kabla ya kuhutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara, Waziri Mkuu alikagua ujenzi wa mradi wa maji Ilula na kuweka jiwe la msingi. Pia, Waziri Mkuu alikagua shughuli za ukarabati wa chuo cha Maendeleo ya Wananchi Ilula.
Awali, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Josephat Kandege aliwahimiza wananchi hao wajiunge katika Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili wawe na uhakika wa kupata huduma za matibabu ya bure wao na familia zao.
Naye, Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Happi alisema kuwa awali eneo la Ilula lilikuwa linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yam ogogoro ya ardhi ambayo kwa kushirikiana na watendaji wenzake walifanikiwa kuitatua.
(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
Friday 27 September 2019
Amo training centre tanga Joining instruction 2019/2020
This article contains information on Fomu za kujiunga Chuo cha Afya Amo training centre tanga – Joining instruction Amo training centre tanga Pdf Joining instructions and Admission Letter for Amo training centre tanga Amo training centre tanga Joining instructions and Admission Letter describing the campus and detailing the services and facilities that the College provides for students. Details… Read More »
The post Amo training centre tanga Joining instruction 2019/2020 appeared first on Udahiliportal.com.
Marekani Kutoa Dola Za Marekani Milioni 120 Kupambana Na Ugonjwa Wa Seli Mundu (Sickle Cell)
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya wa Marekani Admiral Brett Giroir wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi jijini New York Nchini Marekani.
Admiral Brett ameutaja mkutano wake na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi kama mwanzo mpya wa ushirikiano baina ya Tanzania na Marekani na kuongeza kuwa Nchi yake ina nyenzo zote ikiwemo teknolojia ya kupambana na maradhi ya seli mundu ili kuboresha Maisha ya watoto wanaozaliwa na ugonjwa huo.
Ameongeza kuwa katika siku za hivi karibuni Tanzania imekuwa ikipiga hatua chanya katika kuimarisha masuala mbalimbali ya afya za wananchi wake na kwamba ni azma ya Marekani kuona kuwa ugonjwa wa seli mundo unapata tiba.
Kwa upande wake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi amesema utafiti na hatimae tiba ya maradhi hayo ya seli mundu kwa kiasi kikubwa itainufaisha Tanzania kutokana na kushika nafasi ya tatu katika Bara la Afrika na ya nne duniani kwa kuwa na wagonjwa wengi wa seli Mundu.
Ameongeza kuwa Tanzania na Marekani zitashirikiana katika kufundisha na kujengeana uwezo wa namna ya kupambana na maradhi ya seli mundu lakini pia kutafuta fedha zitakazowezesha upatikanaji wa dawa ya seli mundu kutokana na ukweli kuwa dawa za ugonjwa huo kwa Tanzania ni miongoni mwa dawa muhimu yaani essential drugs ili iweze kuwafikia wananchi wengi na kwa bei nafuu.
Amezitaja Nchi zilizo na idadi ya watoto wengi wanaozaliwa na ugonjwa wa seli mundu ambapo kwa Afrika Tanzania ni ya tatu baada ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Nigeria nay a nne duniani baada ya India.
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
New York,Marekani
Ufahamu Ugonjwa Wa Ngiri Na Tiba Yake
51 minutes ago
Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo.
Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni).
Dalili za Ngiri
Tumbo kuunguruma, kiuno kuuma, kupata choo kama cha mbuzi, kushindwa kufanya tendo la ndoa, mishipa ya uume kulegea, kutokuwa na hamu ya kulundia tendo la ndoa, korondani moja kuvimba, mgongo kuuma.
Dalili zingine za ugojwa wa ngiri ni pamoja na;
Uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani unaojulikana kitaalamu kama Direct Scoratal inguinal Hernia.
Uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani, uvimbe huu hauumi na unaweza kurudishwa kwa urahisi iwapo mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole, uvimbe huu.
Na pindi ukikubali kurudi ndani ndipo unapoitwa Reduible direct scrotal inguinal hernia.
Na pia endapo utashindikana kurudi tumboni ndipo unapoitwa Irreduible direct scrotal inguinal hernia.
Ugojwa huu wa ngiri unaweza kutibika
Mpate mpenzi wako unayempenda na kumfunga mume,mke mpenzi asitoke kwa mwingine .
Kwa Ushauri na Msaada wa Wasaliana na 0747100745
Marekani kupeleka wanajeshi 200 na mifumo ya ulinzi eneo la Ghuba
Job Opportunity at AAN Associates, Senior Evaluation/Child protection Expert
Job Opportunity at AAN Associates, Senior Evaluation/Child protection Expert Senior Evaluation/Child protection Expert AAN Associates is looking for Tanzania based senior Child Protection Expert for a consulting/evaluation opportunity. Evaluation criteria and questions The evaluation criteria are mainly for five areas recommended by the OECD-DAC. Scope 13 regions of Tanzania Time period: from December 2012 to August 2019 Requirement… Read More »
The post Job Opportunity at AAN Associates, Senior Evaluation/Child protection Expert appeared first on Udahiliportal.com.
Job Opportunity at UN/UNHCR, Protection Associate
Protection Associate The Protection Associate reports to the Protection Officer. He/she monitors protection standards, operational procedures and practices in protection delivery in line with international standards and provides functional protection support to information management and programme staff. The Protection Associate is expected to coordinate quality, timely and effective protection responses to the needs of populations of concern and… Read More »
The post Job Opportunity at UN/UNHCR, Protection Associate appeared first on Udahiliportal.com.
Aga Khan University Jobs, Assistant Professors/Lecturers
Assistant Professors/Lecturers in Assessment, Measurement and Evaluation in Education Chartered in 1983, Aga Khan University (AKU) is a private, autonomous and self-governing international university, with 13 teaching sites in 6 countries over three continents (www.aku.edu). An integral part of the Aga Khan Development Network (www.akdn.org), AKU provides higher education in several disciplines, carries out research pertinent to the countries… Read More »
The post Aga Khan University Jobs, Assistant Professors/Lecturers appeared first on Udahiliportal.com.
CRM Project Coordinator – Jumia (Full Time) – Tanzania
CRM Project Coordinator – Jumia (Full Time) – Tanzania Jumia Group Intro Jumia is Africa’s leading internet group, with already over 3,000 employees in more than 14 African countries and huge successes such as Jumia, Jumia Travel, Jumia Food, Jumia Deals, Jumia House, Jumia Jobs and Jumia Services. It is led by top talented leaders offering a great… Read More »
The post CRM Project Coordinator – Jumia (Full Time) – Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.