Monday 29 July 2019

Eisenhower Fellowships Youth Leadership Network

Eisenhower Fellowships Youth Leadership Network

Application has been opened for Eisenhower Fellowships youth Leadership Network inviting young leaders for serving and leading communities and peers forward to make the world a better place.

It Initially aims at empowering and connecting innovative leaders through a transformative fellowship experience and lifelong engagement in a global network of dynamic change agents committed to creating a world more peaceful, prosperous and just.

Eisenhower Fellows are currently expected to engage with the global EF network, including a commitment to mentoring as part of post-fellowship service to their communities.

The Eisenhower Youth Leaders Network deepens EF’s commitment to mentorship and support efforts to cultivate the next generation of leaders.

Expected Outcomes

 

  • The Eisenhower Youth Leaders benefit from exposure and access to a global network of accomplished leaders in all sectors and from every region of the world;
  • EF ensures that each young person is connected to at least one mentor who commits to working with the young man or woman for at least one year;
  • Post-initiative, the Eisenhower Youth Leaders are expected to share what they have learned through a project report.Eligibility Criteria
  • Youth aged between 18 to 25 years are invited;
  • Applicants from any nationalities are eligible to apply;How to Apply

    Applicants can apply online through the given website.

    Apply by 1st September 2019.

    For more information and application details, see;Eisenhower Fellowships Youth Leadership Network

 

The post Eisenhower Fellowships Youth Leadership Network appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

UC Innovators’ Summer Start-Up funding for International Students in New Zealand

UC Innovators’ Summer Start-Up funding for International Students in New Zealand:

UC Innovators’ Summer Start-Up Scholarship
Description
This scholarship supports students at the University of Canterbury to “fast-track” their ideas and inventions towards reality by working on their venture full time over a summer break as participants in the UCE Summer Startup Programme. Both for-profit and social ventures are supported.

The University of Canterbury is now becoming an independent university and began moving out of its original neo-gothic buildings. It is New Zealand’s second-oldest university and ranked in the world’s top 500 universities.

Why at the University of Canterbury? At this university, candidates can also get the support students at all levels in their learning journey to a fulfilling experience. It provides students professional, administrative and support to create a world-class learning environment.

 

Eligibility

Applicants must be enrolled full-time or part-time at the University of Canterbury at the time of application. Applicants who are international students must hold a New Zealand Student Visa that is valid throughout the summer break that begins in the year of application.

Amount
$5,000
Tenure
10 weeks
Closing Dates
15 Sep 2019

How to apply for this scholarship

You may apply through this webpage approximately 8 weeks before applications close. If it’s possible to apply on-line for this scholarship there will be a link above to the on-line system. If the link is not provided, please download and complete the application form located below.

However, if the scholarship is managed by Universities NZ or another department of the University an External Website link will appear below and application instructions will be available through that link.

The post UC Innovators’ Summer Start-Up funding for International Students in New Zealand appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Horowitz Foundation for Social Policy Grant Program 2019 for Emerging Scholars (Up to $7,500)

Call for applications for the Horowitz Foundation for Social Policy Grant Program 2019 are open: horowitz foundation for social policy wiki, horowitz foundation for the arts, social science research grants, social media research grants, social science research council grants, horowitz foundation grants 2019, sage foundation grants, wt grant foundation research grants

The Foundation aims to support emerging scholars through small grants, to promote scholarship with a social policy application and to encourage projects that address contemporary issues in the social sciences.

The Horowitz Foundation for Social Policy was established in 1997 by Irving Louis Horowitz and Mary E. Curtis as a not-for-profit 501(c)(3) organization. Its general purpose is to support the advancement of research and understanding in the major fields of the social sciences. Its specific purpose is to provide small grants to aspiring PhD students at the dissertation level to support the research they are undertaking for their project.

Funding

Grants are based solely on merit. Each is worth a total of $7,500; $5,000 is awarded initially and $2,500 upon completion of the project. For grant recipients to be entitled to their second installment, they must show evidence of one of the following:

  • Acceptance and approval of their dissertation;
  • Acceptance of an article based on the research by a peer-reviewed journal; or
  • Invitation to write and publish a book chapter based on the research.

Grants are non-renewable and recipients have five years from announcement of the award to complete their project and claim their final payment.

Eligibility

  • Applicants must be current PhD (or DrPH) candidates who are working on their dissertation;
  • Must not have a PhD; those who do, are ineligible;
  • Must have defended their dissertation proposal or had their topic approved by their department;
  • Applicants can be from any country and any university in the world. US citizenship or residency is not required.

Application

Complete the Application Round, including:

  • Personal Details​ – short answer questions
  • Project Overview – a brief snapshot
  • Your Project – 750 word description
  • Upload Your CV
  • 2 Letters of Recommendation – provide contact information

Click here to apply

The post Horowitz Foundation for Social Policy Grant Program 2019 for Emerging Scholars (Up to $7,500) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

World Economic Forum on Africa 2019 Startups Programme

World Economic Forum on Africa 2019 Startups Programme: world economic forum on the middle east and north africa 2019, mena world economic forum 2019, world economic forum jordan 2019, world economic forum 2019 dates, world economic forum on the middle east and north africa 2019, the 2019 men’s world economic forum was held in which of the following countries, world economic forum middle east 2019, 2019 mena world economic forum in which country

Deadline: August 5, 2019

Applications are open for the World Economic Forum on Africa 2019 Startups Programme. The 28th World Economic Forum on Africa aims to tackle issues affecting Africa by focusing on how to scale up the transformation of regional architecture related to smart institutions, investment, integration, industry and innovation.

Under the theme, Shaping Inclusive Growth and Shared Futures in the Fourth Industrial Revolution, the meeting will address the African Union’s Agenda 2063 regional strategic priorities under four programme tracks:

Innovation: Readiness for the Fourth Industrial Revolution
Cooperation: Sustainable Development & Environmental Stewardship
Growth: Digitalization & Competitive Industries
Stability: Leadership & Institutional Governance

The discussions will focus on key industries and build on the launch of the first African Affiliate Centre for the Fourth Industrial Revolution in South Africa.

Eligibility

  • Startup should be less than 10 years old;
  • Have received more than $1 million in funding;
  • Be headquartered in Africa and/or with a primary market focus on Africa;
  • Be developing a product or service that makes a substantial long-term positive impact on business and society;
  • Be considered a high-potential company in their field with a disruptive business model or significant product or service innovation;
  • Not be a subsidiary or a joint venture;
  • The chief executive officer/founder must represent the start‑up at the World Economic Forum on Africa 2019.

Application

Click here to apply

The post World Economic Forum on Africa 2019 Startups Programme appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

SCHOLARSHIPS TENABLE IN THE PEOPLE’S DEMOCRATIC REPUBLIC OF ALGERIA FOR ACADEMIC YEAR 2019/2020

SCHOLARSHIPS TENABLE IN THE PEOPLE’S DEMOCRATIC REPUBLIC OF ALGERIA FOR ACADEMIC YEAR 2019/2020

Call for Applications

The General Public is hereby informed that, the People’s Democratic Republic of Algeria has granted a Scholarship programme to eligible Tanzanian Nationals to pursue Undergraduate studies at Universities in Algeria for the academic year 2019/2020 in the following field categories:

Category A. Higher Education

  1. Medicine;
  2. Technical Sciences;
  3. Science of Matter;
  4. Mathematics and Computer;
  5. French;
  6. Science of Nature and Life; and
  7. Earth Science and the Universe.

Category B. Religious Affairs and Academic

  1. Imam preacher and/or Quran teacher;
  2. Bachelor degree (Licence) in Imamat.

Application Requirements

  1. Must have completed Advanced Secondary School or Diploma in 2017-2018;
  2. Will be not more than 25 years of age by October, 2019;
  3. Medical Examination Certificate from a Public Hospital;
  4. Have a good knowledge of the Holy Quran for Imam Preacher/or Koran teacher applicants;
  5. Have a good knowledge of the Holy Quran for Bachelor degree in Imamat applicants.

Application Package

  • Certified copies of;

–          Certificate of Secondary Education Examination (CSEE);

–          Certificate of Advanced Secondary Education Examination (ACSEE) or Diploma Certificates (Academic Certificates and Transcripts);

–          Birth Certificates;

  • Application letter (with your contacts; telephone number and email address); and
    • Medical Examination Certified by a Public Hospital;

NB:

  • Selected applicants will undergo one year for French language before commencing undergraduate degree studies.
  • There is no Loan or grant from the Goverment of Tanzania for candidates who will be offered this Scholarship.

Mode of Application

All applicants should submit their application packages to reach the undersigned not later than 1630Hrs on 10th August 2019 to:

Permanent Secretary,

Ministry of Education, Science and Technology,

University of Dodoma (UDOM)

Business School,

Block 10,

40479 DODOMA.

MORE DETAILS: SCHOLARSHIPS TENABLE IN THE PEOPLE’S DEMOCRATIC REPUBLIC OF ALGERIA FOR ACADEMIC YEAR 2019/2020

The post SCHOLARSHIPS TENABLE IN THE PEOPLE’S DEMOCRATIC REPUBLIC OF ALGERIA FOR ACADEMIC YEAR 2019/2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

PARTIAL SCHOLARSHIPS TENABLE IN MOROCCO FOR THE ACADEMIC YEAR 2019/2020

PARTIAL SCHOLARSHIPS TENABLE IN MOROCCO FOR THE ACADEMIC YEAR 2019/2020: bond university morocco scholarship, morocco scholarship 2020, morocco scholarships for international students, morocco scholarship program 2019-20, morocco scholarship program 2019-20 hec, study in morocco, morocco scholarship program hec, azerbaijan (aida) scholarship programme.

Call for Application

The General Public is hereby informed that the Kingdom of Morocco through the Moroccan Agency of International Cooperation (AMCI), has granted a scholarship programme to eligible Tanzanian Nationals to pursue Undergraduate and Postgraduate studies at Moroccan Public Institutions for the academic year 2019/2020.

A directory of Training Institution is available on the website of AMCI through www.amci.ma containing a complete list of the Moroccan Public Institutions of Higher Education as well as specific information about them, including the conditions of access, the subjects and the duration of the studies.

General Admission Requirements

  1. (i)Undergraduate Studies
  2. (a)Bachelor Degree
  3. Applicant must have completed Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSE) in 2018-2019 and pass with Division I or II / Diploma with minimum of Upper Second Class;
  4. Age not older than 23 years by August 2019;
  5. Not admitted in any Higher Learning Institution in the country; and
  6. Medical Certificate issued by public medical hospitals certifying that

your are not suffering from any contagious illness or carrying a
pandemic.

  1. Postgraduate
  2. (a)Masters:
    1. Must be holders of a first degree with a minimum of Upper Second Class;
    2. Not admitted in any Higher Learning Institution; and
    3. Medical Certificate issued by public medical hospitals certifying that

your are not suffering from any contagious illness or carrying a
pandemic.

  1. (b)PhD
  2. Must be holders of Master’s degree in the required subject/specialities
  3. of studies recognized as being equivalent to Moroccan granted
    certificate;
  4. Not admitted in any Higher Learning Institution;
  5. Medical Certificate issued by public medical hospitals certifying that

your are not suffering from any contagious illness or carrying a
pandemic.

NB:

  • Applicants with a certificate level of training in French language will have an added advantage;
  • For all programmes the language of instruction is French except for Islamic and Arabic Literature which will be conducted in Arabic Language;
  • Application forms can be downloaded at:http://www.amci.ma/fcf.pdf
  • There is no Loan or grant from the Goverment of Tanzania for candidates who will be offered this Scholarship.

List of documents to be submitted include:

Two (02) copies of

  1. Completed filled application forms;
  2. Certified true copy of academic certificates, transcripts, birth certificate;
  3. Certified true copy of passport;
  4. Medical certificate issued by public medical hospitals certified that he/she is not suffering from any contagious illness or carrying a pandemic;
  5. Two recent passport size photographs, in colour, (with the name, surname and nationality of the candidate written on the back of the photos); and
  6. Applicant for Masters and PhD must provide a copy of an Abstract of dissertation/thesis of graduation/thesis for PhD degree.

The scholarship will cover
(a) (i) Monthly allowance of 750 Dirhams (Approximate to U.S $ 75);
(ii) Tuition fees;
(b) Other costs will be covered by Applicant (Student)
(i) Accommodation;
(ii) Registration fees; and
(iii) Air ticket, go and return.

Medical coverage:

Foreign students are required to subscribe to an insurance policy during their study stay in Morocco that offers them the following services:

  • Reimbursement of medical expenses;
  • Medical care;
  • Final medical evacuation to home country in cases of serious illness that will not allow students to continue with their studies in Morocco; and
  • Repatriation of body in case of death in Moroccan territory.

For further information on the scholarships consult the websites: www.enssup.gov.ma or www.men.gov.ma or www.ma2e.com

Mode of Application

The application shall be submitted in hard copy to reach the undersigned not later than 5th August, 2019 to:

Permanent Secretary,

Ministry of Education, Science and Technology,
University of Dodoma,
College of Business and Law,
Block 10,
P.O. Box 10,
40479 DODOMA
Room 404

The post PARTIAL SCHOLARSHIPS TENABLE IN MOROCCO FOR THE ACADEMIC YEAR 2019/2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Wataalamu Wa Maabara Wapigwa Msasa Wa Usimamizi Wa Vimelea Hatarishi

Na. OWM, ARUSHA
Wataalam wa maabara nchini kwa kutumia Dhana ya  Afya moja ambao ni wataalam wa maabara kutoka sekta ya Afya ya binadamu, Afya ya wanyamapori na mifugo pamoja na mazingira wameendelea kupewa mafunzo ya Msingi ya  Usimamizi na udhibiti  wa vimelea hatarishi  vya kibailojia kwa kuimarisha ulinzi na usalama wa sampuli za vimelea hivyo.

Vimelea hatarishi  vya kibailojia vinaweza sambaza magonjwa kwa wanyama na binadamu iwapo ulinzi na usalama wake hautaimarishwa wakati wa kuvichukua  kwa wanyama, binadamu na mimea  au  wakati wa kusafirisha vimelea hivyo na  kuvipeleka maabara kwa ajili ya Uchunguzi  pia wakati kuvifanyia uchunguzi pamoja na wakati wa kuviharibu mara baada ya kuvifanyia uchunguzi.

Akiongea wakati wa kufungua mafunzo hayo, leo tarehe 29, Julai, 2019,  Mratibu wa Afya Moja Kitaifa, Ofisi ya Waziri Mkuu, Harrison Chinyuka amefafanua kuwa Mafunzo hayo ni mwendelezo wa mafunzo ya msingi ambayo wataalam hao tayari walishafundishwa mafunzo ya awali ya Usimamizi  na Usalama wa vimelea hatarishi vya kibailojia mnamo mwezi Machi, mwaka huu.

 “Lengo la mafunzo haya ni kuiwezesha nchi yetu kuwa na wataalamu wa maabara wenye uelewa kuhusu dhana za vihatarishi vya kibaiolojia, ikiwemo wakati wa kusafirisha vimelea hivyo na  kuvipeleka maabara kwa ajili ya Uchunguzi  pia wakati kuvifanyia uchunguzi pamoja na wakati wa kuviharibu mara baada ya kuvifanyia uchunguzi” amesema Chinyuka

Wakiongea kwa nyakati tofauti washiriki wa mafunzo hayo wamebainisha kuwa baada ya mfunzo hayo, mienendo na matendo yao wakiwa  maabara itazingatia usalama wa afya zao na usalama wa jamii inayowazunguka pamoja na Usalama wa watanzania, kwa kusimamia na kudhibiti vihatarishi vya  kiulinzi na usalama vitokanavyo na vimelea hatarishi amabavyo wataalamu hao wamepewa dhamana ya kuvifanyia kazi.

Mafunzo hayo ya siku tano, yameandaliwa na DTRA na Sandia National Laboratories na wawezeshaji wa hapa nchini kutoka wizara ya Afya, maendeleo ya Jamii,Jinsia , Wazee na watoto pamoja na Wizara ya Uvuvi na Mifugo, chini ya Uratibu wa Ofisi ya Waziri Mkuu.

Afya Moja ni dhana ni dhana inayojumuisha sekta ya afya ya binadamu , wanyamapori, mifugo na  mazingira katika kujiandaa , kufuatilia  na kukabili magonjwa yanayoathiri binadamu ,wanyamapori na mifugo.

MWISHO.


Share:

Mkataba Ujenzi Daraja la Kigongo Busisi Wasainiwa

Na.Mwandishi Wetu –MAELEZO.
Hatimaye historia imeandikwa nchini Tanzania kwa kusainiwa kwa mkataba wa ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi katika Ziwa Victoria mkoani Mwanza lenye urefu wa kilometa 3.2, ambao utagharimu jumla ya fedha za kitanzania Bilioni 592.   

Akizungumza Jijini Dar es Salaam katika hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa daraja hilo, Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isaac Kamwelwe, amesema mradi huo utatekelezwa kwa fedha za walipa kodi wa Tanzania bila kutegemea fedha za wafadhili. 

Waziri Kamwelwe alisema mradi wa Kigongo Busisi kama ilivyo miradi mingine ya kimkakati ulipigwa vita sana na baadhi ya watanzania na hata wahisani, amesema hata baadhi ya wanasiasa waliupinga wakidai ni mradi mkubwa sana kwa taifa na hauna tija kwa wakazi wa maeneo hayo na nchi kwa ujumla.  

“Serikali hii ikiamua jambo inalivalia njuga na inahakikisha linakamilika kwelikweli , huu ni mkonga wetu watanzania na haijawahi hata siku moja mkonga ukamshinda tembo hivyo tunafanya na tutafanikiwa kwa sababu tunatumia fedha zetu wenyewe ili hao waliotukatisha tamaa washangae ” Alisema Waziri Kamwelwe. 

Amesemakuwa ni wakati sasa kwa watanzania kutembea kifua mbele kwani sasa kodi zao zinatumika ipasavyo katika kuwaletea maendeleo, ndio maana mradi huo mkubwa unaanza kutekelezwa, sambamba na miradi mingine kama ya umeme wa mto Rufiji pamoja na kuendelea kununua ndege mpya ili  kuimarisha shirika  la ndege. 

Amesema wahisani wengi walikuwa na masharti kwamba wakikuletea fedha wanakuletea na mkandarasi wao, hivyo amesema kwa Tanzania ya sasa haitakubalika kwani kuna mgawanyo wa majukumu na wataalam wa mikataba, kuna wataalam wa manunuzi na hata washauri katika miradi mbalimbali hivyo serikali iko makini sana hasa katika masuala ya mikataba ili wasiingie mikataba ambayo itakuja kuwa kifungo kwa watanzania.  

Waziri Kamwelwe amesema wakati wa ujenzi wa daraja kutakuwa na ajira za kudumu zaidi ya elfu moja na ajira zisizo za kudumu zaidi ya elfu kumi, kwakua fedha ni za watanzania ni wajibu wa serikali kuhakikisha fedha zinawanufaisha watanzania. 

Hafla ya utiaji saini mkataba wa Ujenzi wa Daraja la Kigongo Busisi ulihudhuriwa pia na Waziri wa  nchi  Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo , wakuu wa mikoa ya Mwanza na Geita, wabunge kutoka katika mikoa hiyo pamoja na baadhi ya wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya miundombinu. 

Ujenzi wa daraja hilo unatekelezwa na kampuni ya China Civil Engineering Construction  Cooperation kwa kushirikiana na kampuni ya China Railway 15 Bureau Group , na linatarajiwa kuwa na urefu wa kilometa 3.2 pamoja na barabara zenye urefu wa kilometa 1.66. mkoa wa Mwanza. 

Utiaji saini huo ulifanywa na Mhandisi Patrick Mfugale Mtendaji Mkuu wa Tanroads kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na Bw.Zhan Jang kwa niaba ya makampuni ya  China Civil Engineering Cooperation na China Railway 15 Bureau Group. 

Mwisho.


Share:

Ngoma Mpya : BHUDAGALA NG'WANA MALONJA - HARUSI

Nimekusogezea hapa wimbo mpya kabisa wa Gwiji wa Nyimbo za Asili Bhudagala Ng'wana Malonja inaitwa Harusi...Ngoma hii iliyotengenezwa katika Studio za Bfaster iliyopo Simiyu ni zawadi kwa mashabiki wake...Isikilize hapa chini Mtu wangu
Share:

WAGANGA WA TIBA ASILI IRINGA WAPINGANA NA 'WAZEE WA GAMBOSHI' KUPOTEZA WATAKAOMPINGA MAGUFULI


Mwenyekiti wa shirikisho la tiba asili mkoa wa Iringa ,Abdu Kisige amesema hawaunga mkono tamko la waganga wa jadi kutoka kijiji cha Gamboshi na wilaya ya Bariadi mkoani Simiyukutoa onyo kali kuwa watampoteza mwanachama yeyote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), atakayethubutu kuchukua fomu ya kugombea urais mwaka 2020 na kumpinga Rais John Magufuli.

Hivi karibuni Mwenyekiti wa Waganga wa Jadi mkoani Simiyu,Bwimila Shala alisema waganga wa jadi mkoani humo watahakikisha kuwa mwaka huu na mwaka unaokuja kwenye uchaguzi wanamlinda na yeyote yule atakayechukua fomu bila utaratibu wa waganga wa tiba asili watampoteza kwa njia yoyote ile.
Hata hivyo,Mwenyekiti wa shirikisho la tiba asili mkoa wa Iringa ,Abdu Kisige (pichani) leo amesema tamko hilo la waganga wa jadi kutoka Simiyu ni kinyume cha demokrasia.

"Waganga wa jadi Simiyu ni mashabiki wasiokuwa na demokrasia,wao wanatafuta tu wapendezwe,wanataka tu wapate sifa kwa rais,lakini ukweli hiyo siyo demokrasia na wala rais hawezi hayo kupendezwa nayo wala sisi watu wa Iringa hatukubaliani na hilo,sisi tunasema demokrasia ifanyike,anayetaka urais agombee,tatizo watu wengi wanashindwa kujua maana ya demokrasia,maana ya demokrasia siyo kulazimisha kila mtu atoe wazo lake", - Kisige
MTAZAME HAPA AKIZUNGUMZA

Share:

MWANAHABARI AGNES KABIGI KUZIKWA KESHO MAKABURI YA BAHARI BEACH DAR



Mwili wa aliyekuwa Meneja Mawasiliano wa Shirika la Kutokomeza Ugonjwa wa Ukimwi kwa Watoto na Familia (Agpahi), Agnes Kabigi, aliyefariki dunia akiwa kazini wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga utazikwa kesho Jumanne Julai 30,2019 katika makaburi ya Bahari Beach kwa Kondo Goba, Dar es Salaam.


Agnes ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari mwandamizi alifariki dunia Ijumaa wiki iliyopita mchana baada kuanguka ghafla wakati akitekeleza majukumu yake akiwa katika hospitali ya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.

Mwili wake uliagwa juzi mkoani humo na kusafirishwa hadi jijini Dar es salaam kwa ajili ya maziko.

Katika uhai wake Agnes aliwahi kufanya kazi katika magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Nipashe na wakati mauti yanamkuta alikuwa anafanya kazi katika shirika la Agpahi ambalo linafanya shughuli zake katika mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.

Akizungumza kwa niaba ya mkurugenzi wa shirika la Agpahi wakati wa kuaga mwili wa marehemu, mfanyakazi wa shirika hilo mkoa wa Shinyanga, Kasablankhahr Herman, alisema wakati wa uhai wake, Agnes alikuwa mfanyakazi mbunifu na mwenye uwezo wa hali ya juu hasa katika kutekeleza majukumu yake.

“Alikuwa ni mfanyakazi ambaye hakuna mtu aliyechoka kufanya naye kazi, alikuwa na uwezo wa kazi na aliipenda kazi yake, hakika ni pigo kubwa kwenye shirika na pia nitoe pole kwa tasnia ya wanahabari,” alisema.

Akizungumza na gazeti la Habarileo, mwanahabari, Beatrice Bandawe aliyewahi kufanya kazi na marehemu katika gazeti la Nipashe alisema Agnes alikuwa mchapakazi aliyeipenda kazi yake huku akiongozwa na misimamo dhabiti hasa katika kusimamia maadili ya kazi.

“Ninakumbuka mwaka 1996 ninajiunga na Nipashe, Agnes ndio alinipokea na alikuwa akinifundisha na kuniongoza katika kazi, hakika ni pigo kwa tasnia kwa kuondokewa na mkongwe mahiri katika fani kama huyu,” alisema.

Chanzo - Habarileo
Share:

Kimenuka!! MADIWANI WAMKATAA MKURUGENZI WA MANISPAA YA SHINYANGA..WAVUA MAJOHO...KIKAO CHAVUNJIKA


Na Marco Maduhu na Suleiman Abeid - Malunde1 blog

MADIWANI katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga wamemkataa mkurugenzi wa manispaa hiyo, Geofrey Mwangulubi kwa madai ya kushindwa kutekeleza maagizo mbalimbali yanayotolewa kila mara na madiwani hao.

Madiwani hao wamedai tabia ya mkurugenzi kushindwa kutekeleza maagizo wanayoyatoa katika vikao huenda ikawachonganisha na wapiga kura wao kutokana na kutokuwepo kwa miradi yoyote ya maendeleo inayotekelezwa katika kata zao.

Hali hiyo imejitokeza leo Julai 29, 2019 katika kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wakati madiwani hao wakithibitisha agenda zilizopangwa kujadiliwa ambapo diwani wa kata ya Ndembezi (CCM) David Nkulila alisimama na kuzikataa agenda hizo na kisha kutoa hoja yake ya kutokuwa na imani na mkurugenzi Mwangulumbi.

Hoja ya diwani Nkulila iliungwa mkono na baadhi ya madiwani ambapo hata hivyo, Katibu Tawala Msaidizi wa mkoa wa Shinyanga (Serikali za mitaa),Alphonce Kasanyi , na mwanasheria wa manispaa hiyo, Doris Dario walisimama na kuwataka madiwani kusitisha maamuzi yao kwa vile yanapingana na utaratibu.

Katibu Tawala Msaidizi wa mkoa wa Shinyanga (Serikali za mitaa),Alphonce Kasanyi alisema madiwani walipaswa waitishe kikao maalumu cha kutokuwa na imani na  mkurugenzi pamoja na kumwandikia barua mkuu wa mkoa kuhusu kumkataa mkurugenzi huyo.

Hata hivyo, ushauri wa mwakilishi wa RAS na mwanasheria haukusikilizwa na madiwani na badala yake baadhi yao walisimama na kuchambua kwa kina baadhi ya maagizo yaliyowahi kutolewa na baraza la madiwani na mkurugenzi kushindwa kuyatekeleza kitendo ambacho walidai ni dharau na hawatakuwa tayari kuendelea kufanya naye kazi.

Diwani wa viti maalumu, Shella Mshendate alisema hawako tayari kuendelea kufanya kazi na mkurugenzi anayeitwa Geoffrey Mwangulumbi na kitendo chao hakimaanishi kuvunja baraza bali hawamtaki mtu, na siyo mkurugenzi ambapo alimuomba Naibu Meya atafute mtaalamu mwingine akae kwenye kiti cha mkurugenzi na kikao kiendelee.

Naye diwani wa kata Kambarage ,Hassan Mwendapole (CCM) naye aliunga hoja ya kutokuwa na imani na mkurugenzi huyo kutokana na kushindwa kutekeleza maazimio yao hali inayofanya madiwani kutokuwa na miradi ya maendeleo kwenye kata zao hivyo kuonekana kutoa ahadi kwa wananchi ambao ni wapiga kura wao.

Diwani wa kata ya Kizumbi Ruben Kitinya (CCM) alisema hawezi kuendelea kufanya kazi na mkurugenzi huyo kwani yale wanayojadili kwenye baraza na kamati mbalimbali hayatekelezwi hivyo hana imani na mkurugenzi huyo.

Pamoja na vitisho vya kuvunjwa baraza na kufanyika kwa uchaguzi mpya vilivyotolewa na mwakilishi wa RAS, kwamba kitendo chao cha kumkataa mkurugenzi kinamaanisha kuvunjwa kwa baraza, bado madiwani walisimama na msimamo wao wa kumkataa mkurugenzi ambapo walivua majoho na kutoka nje ya kikao.

Kwa upande mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Geofrey Mwangulumbi amesema hivi sasa hawezi kuzungumza chochote kuhusu maamuzi hayo ya madiwani hao ya kutokuwa na imani naye hivyo anasubiri maamuzi kutoka ngazi za juu.
 Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Geofrey Mwangulubi akisoma ajenda za kikao cha baraza la madiwani,kabla baraza la madiwani halijavunjika - Picha zote na Marco Maduhu - Malunde1 blog
Madiwani wakipitia ajenda za kikao kabla ya kuvunjika kwa kikao cha baraza la madiwani.
Watendaji wa halmashauri ya manispaa ya Shinyanga wakiwa kwenye kikao kabla hakijavunjika
 Diwani wa kata ya Ndembezi (CCM) David Nkulila akizungumza kwenye kikao hicho ambapo alizikataa agendaza kikao na kisha kutoa hoja yake ya kutokuwa na imani na mkurugenzi Mwangulumbi.
 Diwani wa kata ya Ndembezi (CCM) David Nkulila akivua joho kutoka nje kutokana na kutokukubaliana na ajenda za kikao.
Diwani wa Viti Maalumu,Maria Nyangaka akiwa amevua joho kuunga mkono hoja ya madiwani kutokuwa na imani na mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa ya Shinyanga,Geofrey Mwangulumbi.
Diwani wa kata Kambarage ,Hassan Mwendapole (CCM) akiunga hoja ya kutokuwa na imani na mkurugenzi huyo kutokana na kushindwa kutekeleza maazimio yao hali inayofanya madiwani kutokuwa na miradi ya maendeleo kwenye kata zao hivyo kuonekana kutoa ahadi kwa wananchi ambao ni wapiga kura wao.
Diwani wa kata ya Kizumbi Ruben Kitinya (CCM) akiunga hoja. Alisema hawezi kuendelea kufanya kazi na mkurugenzi huyo kwani yale wanayojadili kwenye baraza na kamati mbalimbali hayatekelezwi hivyo hana imani na mkurugenzi huyo.
Katibu Tawala Msaidizi wa mkoa wa Shinyanga (Serikali za mitaa),Alphonce Kasanyi akizungumza ambapo alisema madiwani walipaswa waitishe kikao maalumu cha kutokuwa na imani na  mkurugenzi pamoja na kumwandikia barua mkuu wa mkoa kuhusu kumkataa mkurugenzi huyo.
Mwanasheria wa manispaa ya Shinyanga Doris Dario akiwataka madiwani kusitisha maamuzi yao kwa vile yanapingana na utaratibu.
Mdiwani wakiwa 
Madiwani wakitoka ukumbini baada ya kikao cha baraza la madiwani kuvunjika.
Madiwani wakitoka ukumbini.
Madiwani wakitoka ukumbini
Madiwani wakitoka ukumbini
Picha zote na Marco Maduhu - Malunde1 blog
Share:

Akamatwa Kwa Kumhonga Rushwa Mkuu Wa Wilaya

TAKUKURU Mkoa wa Dodoma leo inatarajia kuwafikisha mahakamani watu saba (7) ambao tunawashikilia kwa kujihusisha na vitendo vya kuomba na kupokea rushwa kinyume na kifungu cha 15(1)a na kuahidi na kutoa rushwa kinyume na kifungu cha 15(1)b vyote vya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya mwaka 2007.

Kwanza tunawashikilia wanaume wawili ambao ni Bw. Bahadur Abdalah Hirji (68), Mfanyabiashara na mkazi wa Mtaa wa Tembo Kata ya Madukani Jijini Dodoma na mwanaye Bw. Nahid Bahadur Hirji (33) ambaye ni Mhasibu wa kampuni ya Victory Bookshop Ltd ya Jijini Dodoma kwa kosa la kuahidi na kutoa hongo ya shilingi milioni moja na laki mbili (1,200,000/=) kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Petrobas Paschal Katambi ili asifuatilie mapungufu katika utekelezaji wa amri ya Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Dodoma ya kukazia hukumu lililowasilishwa kwake na dada wa Bahadur Hirji.

Baada ya kupata taarifa ya watuhumiwa kuahidi kutoa fedha hiyo kama kishawishi kwa Mkuu wa Wilaya, tulianza kuwafuatilia na kufanikiwa kuwakamata tarehe 27 Julai, 2019 majira ya saa kumi na moja jioni katika Hoteli ya Royal Village, Area D Jijini Dodoma mara baada ya mtuhumiwa Nahid kumkabidhi Mkuu wa Wilaya rushwa hiyo.

Pia tunamshikilia Bw. Omary Said Mtauka ambaye ni Msaidizi wa Mtendaji wa Kata ya Makutupora iliyopo Jijini Dodoma ambaye aliomba na kupokea hongo ya Shilingi laki moja na elfu kumi (110,000/=) kutoka kwa Mzee mwenye umri wa miaka sabini na nane (78) aitwaye Paulo Mawope, mkazi wa Chilungule Kata ya Makutupora ili amalize tuhuma dhidi yake za kugombana na jirani zilizowasilishwa kwa Mtendaji wa Mtaa na baadaye ofisi ya Kata.

Awali, tulipokea taarifa kutoka kwa Mjukuu wa Mzee huyo kwamba alipigiwa simu na ‘Mtendaji wa Kata ya Makutupora’ akitakiwa kutoa fedha hizo ili babu yake aliyekuwa ameshtakiwa katika ofisi ya Kata aachiwe.

Uchunguzi wetu uliweza kuthibitisha uwepo wa suala la Mzee huyo kushtakiwa na jirani yake, kushikiliwa na kutakiwa kutoa fedha ili suala hilo limalizwe na tulifanikiwa kumnasa mtuhumiwa baada ya kupokea hongo hiyo majira ya saa mbili usiku wa tarehe 25 Julai, 2019 katika Bar ya Mama Lili iliyopo Makutupora Jijini Dodoma.

Baada ya kumkamata tulibaini Mtuhumiwa ni Msaidizi wa Mtendaji wa Kata ya Makutupora na alikamilisha uhalifu wake kwa kujifanya ni Mtendaji wa Kata.

Aidha, tunamshikilia Bw. Stanley John Motambi (34) ambaye ni Mtendaji wa Kijiji cha Matumbulu kilichopo Kata ya Matumbulu Jijini Dodoma kwa kosa la kuomba na kupokea hongo ya shilingi elfu sitini na tano (65,000/=), kinyume na taratibu za utendaji, kutoka kwa ndugu za Bw. Wilfred Mnyambwa Mtundu ambaye alikuwa na shauri la mgogoro wa ardhi mbele ya Mtendaji wa Kijiji, kama kishawishi ili asikilize shauri hilo baada ya kutembelea eneo lenye mgogoro.

Baada ya kupata taarifa tulifanya uchunguzi na kuthibitisha kwamba Mtuhumiwa alitenda kosa hilo tarehe 3 Juni, 2019.

Watuhumiwa wengine ni Bw. Venance Msafiri Mayo (34) na Bw. Sulaith Abdul Rusheke (33) ambao ni walimu wa Shule ya Sekondari Viwandani iliyopo Kata ya Viwandani Jijini Dodoma ambao waliomba na kupokea hongo ya shilingi elfu ishirini (20,000/=) ili wampatie cheti cha utambulisho wa kusoma shule (leaving certificate) mtoa taarifa aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo.

Awali, wakati mwanafunzi huyo alipotaka kuomba nafasi ya kozi fupi katika Taasisi fulani alitakiwa awasilishe cheti hicho hivyo akaenda shuleni hapo na ndipo watuhumiwa wakamtaka, kinyume na utaratibu, atoe rushwa ili wampatie cheti hicho na ndipo akatoa taarifa kwetu.

TAKUKURU ilifuatilia taarifa hiyo na majira ya saa nne na nusu asubuhi tarehe 26 Julai, 2019 kufanikiwa kumkamata Mtuhumiwa Mayo akiwa kwenye Bajaj yenye namba ya usajili MC686BHK iliyoegeshwa nje ya uzio wa shule baada ya kupokea hongo hiyo na kumkabidhi mhusika cheti.

Mtuhumiwa alienda katika eneo hilo akiwa na mhuri wa Mkuu wa Shule na cheti husika na alikigonga mhuri na kumpatia mtoa taarifa wetu baada ya kupokea fedha hiyo. Baada ya hapo tulimkamata pia Mtuhumiwa Rusheke kwani alishiriki katika kushawishi hongo hiyo.  Kiutaratibu vyeti hivyo vinatolewa bila gharama yoyote.

Mwingine ni Bw. Abdulhakim Abbas Kabunga (26) ambaye ni mtumishi wa muda wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Dodoma ambaye tulimkamata mchana wa tarehe 27 Julai, 2019 baada ya kupata taarifa kwamba amepokea hongo ya shilingi elfu thelathini (30,000/=) kutoka kwa mtu mmoja aliyekuwa na uhitaji wa Kitambulisho cha Taifa ili amsaidie kukipata haraka.

Baada ya kuhojiwa mtuhumiwa amekiri kuhusika na kitendo hicho na atafikishwa mahakamani leo.

Nawakumbusha wote wanaofuatilia vitambulisho vyao NIDA kwamba huduma hiyo ni bure na iwapo watatakiwa kutoa rushwa ili wahudumiwe mapema basi watupe taarifa mara moja.

Pia tunaendelea kuwakumbusha watumishi wote wa umma na wakazi wa Dodoma kwa ujumla kuzingatia maadili ya utumishi na kujiepusha na vitendo vya rushwa kwani sio tu kwamba vinaminya haki za wananchi bali pia havina nafasi kwenye mkoa wetu.

Aidha, tunawashukuru wananchi kwa kuendelea kutupa taarifa na kuwasihi waendelee kuwa washiriki wa dhati katika vita dhidi ya rushwa ikiwa ni pamoja na kushiriki kutoa ushahidi mahakamani.

Imetolewa na:

SOSTHENES KIBWENGO
MKUU WA TAKUKURU (M) DODOMA


Share:

THRDC Yawataka Watu Ambao Sauti Zao Zimedukuliwa na Kusambazwa Mitandaoni Wafungue Kesi Mahakamani

Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) umewataka watu ambao sauti zao zimedukuliwa na kusambazwa mitandaoni kufungua kesi mahakamani.

Umesema kesi hizo zikifunguliwa, wahusika wanaweza kuwashtaki watu au taasisi wanazodhani kuhusika kwa maelezo kuwa kitendo hicho ni kinyume na katiba ya Tanzania.

Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ushauri wa hali ya faragha na usalama wa mawasiliano.

"Suala la mawasiliano binafsi limelindwa kikatiba na kisheria kama haki ya faragha, zipo mamlaka ambazo zimeruhusiwa na sheria kuweza kuchukua taarifa binafsi za mtu kwa matumizi maalamu  lakini hazipaswi kubadilika kuwa za umma," alisema Olengurumwa.

Kauli hiyo ya THRDC imekuja zikiwa siku chache baada ya Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saeed Kubenea, kutaka TCRA kuwachukulia hatua wanaohusika na vitendo hivyo vya udukuzi.

Kubenea alisema hayo baada ya kudaiwa kuwa mawasiliano Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye na makatibu wakuu wastaafu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Yusuph Makamba, yamedukuliwa na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

Jambo hilo lilibuka baada ya Kinana na Makamba kumwandikia barua Katibu wa Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu Wastaafu wa CCM, Pius Msekwa, wakilalamikia kile walichodai kuwa wamedhalilishwa na mwanaharakati Cyprian Musiba.

Olengurumwa alisema serikali inapaswa kutunga sheria hiyo ili kuepusha ukiukwaji wa haki ya faragha itakayoendana na Katiba ya Tanzania na mikataba mingine ya kimataifa kuhusu haki ya faragha na mawasiliano.

Alisema kifungu cha 16 (1) cha Katiba ya Tanzania kinaeleza kuwa: "Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na mawasiliano yake ya binafsi."

Pia alisema THRDC inawataka watoa huduma za mawasiliano kuhakikisha wanalinda heshima ya biashara zao kwa kulinda taarifa za faragha za wateja wao na kwamba wananchi ambao haki zao za faragha zimevunjwa wanapaswa kwenda kufungua kesi mahakamani.

"Watu wote ambao haki yao ya faragha imevunjwa, wanahimizwa kufungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda yoyote nchini, kuwashtaki watoa huduma au watu binafsi walioingilia kwa namna yoyote kudukua na kutumia mawasiliano hayo bila hati ya ruhusa ya mahakama," alisema Olengurumwa.

Alisema watu hao wanaweza kwenda kufungua kesi na kushtaki watoa huduma za mawasiliano kwa kuwa ni kosa kuvujisha mawasiliano ya mtu bila ya lidhaa.


Share:

Vijana Mkoani Kagera Wahimizwa Kujitokeza Kugombea Nafasi Mbalimbali Za Uongozi

NA AVITUS BENEDICTO KYARUZI, KAGERA
Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi ccm taifa Kheri James amewataka vijana wenye sifa mkoani Kagera kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbali mbali kuanzia serikali za mitaa  ili waweze kuwatumikia wananchi katika maeneo yao.

Bwana Kheri James ametoa kauli hiyo july 27 mwaka huu katika uzinduzi wa Kagera ya kijani  uliofanyika katika uwanja wa Hamgembe uliopo katika manispaa ya Bukoba mkoani hapa.
 
Mwenyekiti huyo  amesema vijana ni nguzo kubwa katika ujenzi wa taifa hivyo wajitokeze ili kuwatumikia wananchi wao .
 
Ameongeza kuwa muda  wa kukaa vijiweni kwa vijana umeisha ambapo ametumia muda huo kuwahimiza viongozi waliopitia siasa kuwafundisha vijana wanaowania nafasi mbali mbali katika chama hicho kuwa na maadili mema ndani na nje ya chama hicho.
 
Ameongeza kuwa vijana watumie fulsa mbali mbali zitakazo wawezesha kupata mikopo kwani serikali ipo bega kwa bega na makundi muhimu likiwemo la vijana katika uzinduzi huo 

Bwana James amechangisha shilingi milioni kumi  zitakazotumika kuboresha  jengo la mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Elisha Marco Gaguti huku akipongeza juhudi za mkuu huyo wa mkoa katika maendeleo ya Kagera.


Share:

Utomvu Ni Dhahabu Nyingine Inayopatikana Katika Shamba La Sao Hill.

NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Watanzania kuanza kunufaika na zao la miti kutokana na uvunaji wa utomvu kutoka kwenye miti ya kupandwa iliyopo kwenye Shamba la Sao Hill lililopo Mufindi mkoani Iringa kwa kuiliingizia taifa zaidi ya shilingi bilioni mbili kwa kupindi cha miaka miwili ya majaribio.

Hiyo imebainika wakati wa ziara ya baadhi ya viongozi wa wilaya ya Chato,Mkoa wa Geita na viongozi wa vijiji vinavyolizunguka Shamba la Miti la Biharamulo lililopo mkoani Geita baada ya kutembelea Shamba la Miti Sao Hill linalosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa lengo la kujifunza shughuli mbalimbali za uendeshaji katika shamba hilo.

Akitoa ufafanuzi mkurugenzi wa Rasilimali Misitu na Nyuki TFS, Zawadi Mbwambo alisema kuwa Shamba la Miti Sao Hill wameanziasha mradi mpya wa kuvuna utomvu ambao umekuwa unatengenezewa gundi kwa ajili ya kutumika kwenye bidhaa mbalimbali kulinga na mahitaji ya wahusika.

“Tumeanza kugema utomvu kwenye miti mikubwa kwa kuwa tupo kwenye majaribia lakini wataalamu wamesema kuwa ukianza kugema utomvu mti ukiwa na umri mdogo basi utagemwa kwa muda mrefu na kuleta faida kwa wananchi na taifa kwa ujumla, na kumbukeni kuwa hapa mti haukatwe unaendelea kustawi tu” alisema Mbwambo

Mbwambo alisema kuwa takwimu za dunia zinaonyesha kuwa inawezekana utomvu ukawa unalipa zaidi ya zao la miti hivyo utafiti ukimalizika yawezekana wakulima wa miti wakahamia kwenye uvumaji wa utomvu.

“Kwa takwimu hizo sio muda faida kubwa itakuja kwa wananchi na serikali kwa ujumla maana inaonyesha dhahili kuwa utomvu unalipa sana kuliko mbao hiyo watafiti waliopo hapa katika shamba la Sao Hill ukizaa matunda basi utahamia kwa wakulima wa miti” alisema Mbwambo

Mbwambo alisema kuwa miti milioni tatu kila mwaka ndio inatumika katika uvunaji wa utomvu na hakuna eneo maalum ambao limetengwa kwa ajili ya kuvuna bali wametoa maeneo ambayo yanamiti ambayo inatarajiwa kuvunwa baada ya miaka miwili ijayo

“Shamba hili la Sao Hill ni kubwa sana linakaribia kuwa na hekta laki moja na elfu hamsini na nne hivyo sio rahisi kufanya majaribio shamba lote hiyo tumetoa eneo ambalo miti yake inatarajiwa kuvunwa baada ya miaka miwili” alisema Mbwambo

Mbwambo alisema kuwa soko la utomvu duniani kwa sasa linategemee kutoka nchi China hivyo soko lipo huko na kampuni ya AATY Limited ya kichini inavyovuna hapa katika shamba la Sao Hill na ni kampuni kubwa kuliko zote dunia za uvunaji wa utomvu duniani.

Akizungumza kwenye eneo la tukio mkuu wa msafara huo Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Eng. Mtemi Msafiri alisema kuwa wamejifunza kitu kipya ambacho hawakuwahi kukifikiria katika maisha yao kuwa uvunaji au ugemaji wa utomvu unalipa kwa namna hiyo.

“Navyo sema kuwa sasa tumegundua dhahabu ya kijani namaanisha hivi,utomvu unaigiza fedha nyingi tumeana hapa mkurugenzi katueleza hivyo ni lazima tuchukue swala hili kwa umuhimu stahili ili hata kweli kwetu Chato tutalifanya kwa umakini mno” alisema Msafiri

Shamba la Sao Hill lililopo hapa Mufindi lilianzishwa kwa majaribio mnamo mwaka 1939 hadi mwaka 1951 na upandaji kwa kiasi kikubwa ulianza rasmi mwaka 1960 hadi 1980 na shamba hilo linaukubwa wa hekta 135,903 ambazo zimehifadhiwa kwa ajili ya upandaji wa miti na uhifadhi wa mazingira na shamba hilo ni miongoni mwa mashamba 23 ya miti ya kupandwa ya serikali ambayo yanasimamiwa na wizara ya maliasili na utalii kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS).


Share:

Waziri Hasunga: Vijana Wakishiriki Ipasavyo Kwenye Kilimo Uchumi Utaimarika

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Songwe
Mbunge wa Jimbo la Vwawa Mkoani Songwe ambaye ni Waziri wa Kilimo anakusudia kuwakutanisha vijana kwa ajili ya kongamano la kujadili fursa zilizopo katika sekta ya Kilimo.

Waziri Hasunga ameyasema hayo tarehe 28 Julai 2019 wakati akizungumza na vijana wa Jimbo la Vwawa katika kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Chama Cha Mapinduzi makao makuu ya Chama hicho Wilayani Mbozi.

Alisema kuwa zaidi ya asilimia 70 ya watanzania wanajihusisha na Kilimo lakini miongoni mwao vijana ni wachache hivyo mkakati huo wa kuwakutanisha vijana ni sehemu ya kueleza kwa viajan fursa zilizopo kwenye sekta ya Kilimo na kuziendeleza.

Alisema kuwa vijana ndio nguvu kazi ya Taifa hivyo kuhusishwa kwenye sekta ya Kilimo ni miongoni mwa mambo msingi yatakayoinua uchumi wa vijana nchini kadhalika kuimarisha uchumi wa Taifa.

Mhe Hasunga amesema kuwa vijana wengi wamekuwa wakijihusisha na mambo yasiyokuwa na tija katika Jamii kama vile kushinda vijiweni badala yake wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuimarisha kipato chao kitakachopelekea vijana kutojihusisha na uovu wa aina yoyote.

Kuhusu kuimarisha masoko ya mazao mbalimbali ikiwemo zao la kahawa, Mhe Hasunga amesema kuwa tayari wizara ya kilimo imeanzisha mkakati kabambe wa kuongeza minada ya kahawa ambapo kwa upande wa Kanda ya ziwa mnada utafanyika mkoani Kagera, Kanda ya Kaskazini utafanyika Manispaa ya Moshi, Kanda ya kusini utafanyika wilayani Mbinga na Kanda ya nyanda za juu kusini mnada wa kahawa utafanyika Wilayani Mbozi.

Ameongeza kuwa kuongeza minada ya uuzaji wa zao la kahawa utatoa fursa kwa wakulima kunufaika na mazao yao kwa kuuza kwa bei nzuri na kulipwa kwa wakati.

Mhe Hasunga amewasihi wakulima mkoani Songwe na Taifa kwa ujumla wake kujishughulisha zaidi na Kilimo kwani ndio sehemu pekee yenye uwezo wa kuwaongezea kipato chao.

Kuhusu kadhia ya mbegu feki kwa wakulima Mhe Hasunga amesema kuwa serikali imejipanga kuimarisha upatikanaji wa viuatilifu kwa wakati na kwa bei nafuu ili wakulima waweze kuvimudu.

"Kumekuwa na mbegu nyingi mtaani ambazo sio sahihi kwa maana hiyo sasa serikali inachukua hatua kali kwa wafanyabiashara wanaojihusisha na biashara hiyo punde watakapobainika" Alikaririwa Mhe Hasunga

MWISHO.


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger