Serikali inatarajia kuajiri Fundi Sanifu wa Maabara ya Shule
Daraja la II. Ajira hii ni kwa Fundi Sanifu wa Maabara ya Shule
waliohitimu kati ya mwaka 2013 - 2015.
Hivyo, wenye sifa stahiki na wanaotaka kuajiriwa Serikalini, wanatangaziwa kuwasilisha nakala za vyeti vyao vya:
- Elimu ya Sekondari (Kidato cha nne na / au Sita);