Hapa ni katika viwanja vya Mahakama ya Mwanzo Nguzo Nane
mjini Shinyanga ambapo leo mbunge wa jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema pamoja
na |
Sunday 26 April 2015
MPYA:"CHADEMA(Ukawa) NOMA SANA!! WAFANYA MAAJABU SHINYANGA MJINI,MGOMBEA WA UBUNGE APATIKANA!!"
VIDEO: DOWNLOAD VIDEO YA JOH MAKINI NUSU NUSU" HAPA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Pia msanii huyo kaachia video ya wimbo huo ambao unaweza kuupata kwa kudownload hapa chini
Pia msanii huyo kaachia video ya wimbo huo ambao unaweza kuupata kwa kudownload hapa chini
Saturday 25 April 2015
MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WALIOTAJWA KUWANIA TUZO ZA WATU 2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Majina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa ambapo mapendekezoyaliyokuwa yakitumwa na watu kwa wiki tatu tangu kuzinduliwa kwa tuzo hizo.
Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora:
Mtangazaji wa redio anayependwa
TZW1
Dida – Times FM
NEWS:WATU 560 WAFARIKI KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Majengo yaliyoporomoshwa kwa tetemeko la ardhi nchini Nepal.