Tuesday 24 February 2015

MAZISHI YA MEZ B:TASWIRA ZA MAZISHI YA MAREHEMU MEZ B SIKU YA JANA DODOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Wananchi wakiwa wamebeba mwili wa marehemu Marehemu Mez B baada ya kuagwa na mashabiki wa mziki pamoja na ndugu jamaa na marafiki mwili wake ulielekea kupumzishwa katika makaburi ya Wahanga Maili mbili jana.
Share:

VIDEO:DOWNLOAD HAPA VIDEO YA WIMBO WA BARNABA NA VANESSA MDEE UITWAO SIRI-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                    Tokeo la picha la BARNABA NA VANESSA
Download hapa video mpya ya wimbo wa barnaba,maswayetu inakupenda sana na karibu sana.
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD VIDEO HIYO 

Share:

JAMAA ANUSURIKA KIFO, BAADA YA WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

amaa mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akinusa kifo baada ya kula kipigo ‘hevi’ wakati akifanya jaribio la wizi wa fedha kiasi cha shilingi laki 450,000 kupitia huduma za fedha kwa mitandao ya simu.

Akiomba kuachiwa baada ya kupewa kichapo kikali.
Share:

SOMA HAPA HISTORIA YA MWIGIZAJI ROSE NDAUKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Anafahamika zaidi kama Rose Ndauka ni mmoja warembo wenye mvuto wa pekee ndani ya tasnia ya bongo movies kwa vipaji vyake vingi sana.

Licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuigiza pia rose ni mwandishi na mwongozaji wa Filamu.

Akiwa ameshaigiza kwenye zaidi ya Filamu kumi na saba (17) na kupata tuzo mbalimbali ikiwemo ya best actress in mini ziff 2011; Rose Pia ni mfanyabishara na anamiliki kampuni yake binafsi iitwayo Ndauka Entertainment inayojihusha na mambo ya Filamu na burudani.

Share:

TAARIFA KWA UMMA : KUHUSU TOZO KWENYE KATIKA MITANADAO YA SIMU ZA MIKONONI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU TOZO KWENYE SEKTA YA TEHAMA
Katika wiki ya pili ya Februari 2015, baadhi ya watoa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi walianzisha vifurushi vya mawasiliano na bei na kusabababisha malalamiko kutoka kwa watumiaji na umma kwa ujumla. TCRA, kwa kuzingatia upeo wa shughuli zake, imechambua hali hiyo na inapenda kutoa maelezo na maagizo ambayo yatawezesha kuondoa sintofahamu iliyopo na kujenga mustakabali kwa siku zijazo.
Share:

Monday 23 February 2015

HUU NDI MSIMAMO WA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Sunday 22 February 2015

Read:How kindergarten boarding school can spoil your child

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

The Anglican Bishop Valentino Mokiwa .
Leonida Monera, a resident of Dar es Salaam is aware of the negative impacts of sending very young children to boarding
Share:

CHADEMA:SUPPLIERS DOUBTS BVR Kits

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Chadema Deputy Secretary General John Mnyika.
Share:

SERVICEMEN WANT FREE PROBE ON LEADER KIDNAP AND DRUG USED-KOVA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Dar es Salaam Special Zone Commander Suleiman Kova.
Share:

MINISTER MAGUFULI CONSOLES ALBINO CHILD'S MOTHER-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Minister for Works Dr John Magufuli.
Minister for Works Dr John Magufuli who is also a Member of Parliament for Chato (CCM) has sent a message of condolence to the mother of Yohana Bahati, an albino child who was  abducted recently and brutally killed in his constituency in Geita Region and donated Sh1 million to the bereaved family.
Share:

PRESIDENT JK:ELIMINATE NON TARRIF BARRIERS-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Tanzania President Jakaya Kikwete
Non-tariff barriers deny the EAC opportunity to unlock the immense promise of integration and starves businesses of innumerable opportunities, Tanzania President Jakaya Kikwete said Friday.
Share:

MRITHI WA MAMA SALMA KIKWETE VITA NZITO!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mwandishi wetu

TAYARI imebainika kwamba, baadhi ya viongozi walioonesha nia ya kugombea urais mwaka huu wameanza kupigiwa debe na wake zao ndani ya mitandao ya kijamii ili waume hao watakapoibuka na ushindi wapate nafasi ya ‘u–First Lady’, Risasi Jumamosi linakupa zaidi!
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 22 FEBRUARY 2015-MASWAYETU BLOG,KUBWA ZAIDI MWANAJESHI ALIETEKWA ATESEKA MUHIMBILI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
.
Share:

Friday 20 February 2015

MPYA:NACTE YAFUTIA USAJILI BAADHI YA VYUO VINAVYOTOA FANI MBALIMBALI HAPA TANZANIA,ANGALIA VYUO HIVYO VILIVYOFUTIWA USAJILI NA AMBAVYO VIMEPEWA SIKU 30

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
1 BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE) NOTISI YA SIKU 30 YA KUSUDIO LA KUFUTA USAJILI NA KUSHUSHA HADHI YA USAJILI KWA VYUO/TAASISI ZA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Utangulizi Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi ni chombo kilichoanzishwa kwa Sheria ya
Share:

MPYA:SERIKALI KUAJIRI WALIMU 35,000 MWAKA 2015/2016 – WAZIRI MKUU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.

Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Februari 19, 2015) wakati akizungumza na mamia ya wakazi wa kata ya Kiwere, mara baada ya kukagua ujenzi wa maabara na kuzindua nyumba nne za walimu kwenye shule ya sekondari ya Kiwere, tarafa ya Kalenga, wilayani Iringa.

Waziri Mkuu alisema walimu hao watagawanywa kwenye shule kulingana na mahitaji yaliyokwishawasilishwa na kwamba watakapopata mgao wao
Share:

HIZI HAPA SCHORALSHIP ZA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI NCHINI CHINA,GERMANY NA RUSSIA KWA WANAFUNZI WA DIGRII YA KWANZA,MASTER NA PHD-ANGALIA HAPA MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                     
Tafadhali changamkia fasta kuomba mwisho wa maombi kwa schoraliship nyingi ni tarehe 3,thanks.
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WAKUU WA WILAYA WAPYA NA VITUO VYAO-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                       
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya ili kuboresha utendaji kazi. Mabadiliko hayo yamezingatia kuwepo kwa nafasi wazi ishirini na saba (27) zilizotokana na:
  1. Kufariki dunia Wakuu wa Wilaya 3
  2. Kupandishwa cheo Wakuu wa Wilaya 5 kuwa Wakuu wa Mikoa
  3. Kupangiwa majukumu mengine Wakuu wa Wilaya 7; na
  4. Kutengua uteuzi wa Wakuu wa Wilaya 12
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger