Saturday 17 January 2015

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI TAREHE 17 JANUARY 2015-KUBWA ZAIDI WATU WATATU WASHIKILIWA KUHISIANA NA SAKATA LA ESCROW

..
Share:

SALUNI YA NGONO YAFUMULIWA! -PICHAZ+STORI KAMILI VIPO HAPA!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
HALI ni mbaya! Wakati suala la ajira likiwa bado ni kitendawili kikubwa kwa serikali, Jiji la Dar hivi sasa linatisha, baada ya watu kubuni mtindo mpya wa kujipatia fedha kwa kujihusisha na biashara haramu ya ngono katika maeneo yanayotambulika kufanya shughuli nyingine halali, mkanda mzima huu hapa.
Share:

Friday 16 January 2015

ORODHA YA MAJINA YA WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI KWA KADA YA AFYA 2014/2015-AJIRA ZA NURSING ZAONGEZWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari yenu wadau wa blog hii ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT yafuatayo ni majina ya watu waliopangiwa ajira mwaka huu 2015.
Endapo utataka kuangaliziwa jina lako tafadhali fanya yafuatayo;
1.tuma jina kwenda namba 0653791475 mfano JOHN PAUL(AJIRA AFYA)
2.Huduma hii itatozwa tshs.800 tu ambayo utaituma kwa mpesa kwenda namba 0768260834 au Tigo pesa kwenda namba 0653791475.
3.tutakujibu ndani ya mda mfupi,thanks. 
TANGAZO MUHIMU KWA WAAJIRIWA WAPYA WOTE
View Results

Share:

VIDEO MPYA:DOWNLOAD VIDEO MPYA YA VICE-P IITWAYO NATAMANI HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
DOWNLOAD HAPA;
Share:

EXCLUSIVEE.......DOWNLOAD na SIKILIZA WIMBO MPYA WA BEN POL - SOPHIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Wednesday 14 January 2015

BREAKING NEWZ:MGOMO WATOKEA CHUO KIKUU CHA DODOMA,WANAFUNZI 84 WASHIKILIWA NA POILIS,MWANAFUNZI MMOJA APOTEZA MAISHA HADI MDA HUU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY








UDOM wagoma

 WANAFUNZI 84 WA PROGRAMU MAALUMU YA DIPLOMA YA UALIMU UDOM MBARONI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO MKOANI DODOMA


Baadhi ya Wanafunzi 84 wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakiwa chini ya ulinzi kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni hapo na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo mjini Dodoma leo.

Dodoma.

 Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Share:

Tuesday 13 January 2015

BREAKING NEEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WALIOPATA AJIRA WIZARA YA AFYA 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari yenu wadau wa blog hii ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT yafuatayo ni majina ya watu waliopangiwa ajira mwaka huu 2015.
Endapo utataka kuangaliziwa jina lako tafadhali fanya yafuatayo;
1.tuma jina kwenda namba 0653791475 mfano JOHN PAUL(AJIRA AFYA)
2.Huduma hii itatozwa tshs.800 tu ambayo utaituma kwa mpesa kwenda namba 0768260834 au Tigo pesa kwenda namba 0653791475.
3.tutakujibu ndani ya mda mfupi,thanks.
Share:

Tuesday 6 January 2015

BREAKING NEEWZ:SEKRETARIETI YA AJIRA YATANGAZA NAFASI ZA KAZI ,KILIMO,ENGINNERS,WALIMU MWISHO WA KUOMBA NI JANUARY 18 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/H/24 3 Januari, 2014
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa
mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa
na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki,
pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea
katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
Share:

TAKWIMU:VYUO VINAVYOONGOZA KWA MATUMIZI YA SIMU ZA SMARTPHONE ,WAKATI WATUMIAJI WAKE WAKITOKA KATIKA FAMILIA DUNI-KIUCHUMI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
slide2
Habari yenu wadau pendwa wa blog hii ya MASWAYETU ,leo tunawaletea takwimu mpya za matumizi ya simu aina ya smartphone kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ukilinganisha na maisha ya nyumbani kwao jinsi yalivyo.
Kutokana na simu hizi kuwa gharama huku wanafunzi wa chuo wakilalamika kuongezewa pesa ya matumizi na serikali yao,ndipo tulipoamua kufanya takwimu hizi na kugundua kuwa kati ya wanafunzi 7 wenye smartphone 5 kati yao maisha ya nyumbani kwao ni duni.
Vyuo vifuatavyo ndivyo hadi mda huu vinaongoza kwa Matumizi ya smartphone Tanzania.

1.DODOMA UNIVESRITY(UDOM) - 68%
2.UNIVESRITY OF DAR ES SALAAM(UDSM)-64%
3.SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE(SUA)-61.29%
4.INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT(IFM)-60%
5.ST.AGUSTINE UNIVERSITY(SAUT-MWANZA)-56%
6.COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION(CBE)-55%
7.MUHIMBILI UNIVERSITY(MUHAS)-53%
8.TUMAINI UNIVERSITY-51%
9.JODARN UNIVESITY-51%
Share:

TAARIFA YA IKULU KUHUSU HABARI ILIYOCHAPISHWA NA TANZANIA DAIMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Rais hajadharau Bunge
Gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa Chama cha Upinzani cha CHADEMA
la leo, Jumapili, Januari 4, 2015, limeandika habari kwenye ukusara wake wa mbele chini ya kichwa cha habari: ”Wabunge: Ikulu imetudhalilisha” hata kama wabunge wanaokaririwa katika habari hiyo ni wawili tu, Mheshimiwa Freeman Mbowe na Mheshimiwa David Kafulila.

Habari hiyo inadai kuwa Ikulu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuteua Mwenyekiti wa Bodi Mpya
Share:

Wednesday 31 December 2014

BREAKING NEWZ:MAFURIKO YATOKEA KATIKATI YA MJI MOROGORO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mvua zinazoendelea mjini morogoro zimeleata maafa makubwa ambapo hadi mda huu ni kwamba baadhi ya barabara hazipitiki baada ya maji kujaa barabarani.
Maeneo yalio pata mafuriko ni pamoja na KIGURUNYEMBE,MASIKA kuja HADI STAND YA DALADALA
MASWAYETU BLOG tunaendelea kukuletea habari zaidi endelea kuwa nasi;
Share:

BREAKING NEEEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA UALIMU AWAMU YA PILI 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                
kama kawaida yetu Maswayetu exclusive blogspot tunawaletea majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu awamu ya pili.
Enadapo utahitaji kuangaliziwa jina lako tafadhali fanya yafuatayo;
1.Tuma jina lako kwenda namba 0768260834
2.Mfano paul paul(ualimu )
3.Huduma hii utatozwa tshs.800 tu ambayo utaituma kwa mpesa au
   salio kwenda namba  0768260834,0653791475

4.Tutakujibu ndani ya muda mfupi.
Share:

BREAKING NEWS:UKWELI KUHUSU KUBADILIKA KWA RATIBA YA MTIHANI KIDATO CHA SITA 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                    
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2015
HAIJABADILIKA
Baadhi ya watu wamekuwa wakitumiana ujumbe kwenye mitandao ya
kijamii wenye kupotosha kwamba Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Share:

Saturday 27 December 2014

DOWNLOAD WIMBO MPYA-MKUBWA NA WANAWE UITWAO 'TULIA'

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari yenu wapendwa wasomaji wa na watembeleaji wa blog yetu hii pendwa ya maswayetu blog,yafuatayo ni majina ya wanafunzi waliojiunga na kidato cha kwanza 2015 shule mbalimbali tanzania.

Share:

TANGAZO KUHUSU MAFUNZO YA VIJANA WA JKT (KUJITOLEA).

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                         

MAFUNZO YA VIJANA WA JKT (KUJITOLEA).
TANGAZO LA MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA VIJANA WOTE WANAOTAKA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA MWAKA 2015.
UTARATIBU UTAKUWA KAMA IFUATAVYO:
BARUA ZA MAELEKEZO ZITATUMWA MIKOANI FEBRUARI 2015
Share:

TANGAZO KUHUSU MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU JANUARY 2015

TANGAZO LA MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA VIJANA WOTE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA TATU (JANUARI HADI MACHI 2015). MPANGO HUO UMESITISHWA HADI UTARATIBU UTAKAPOTOLEWA KWA VIJANA WATAKAOMALIZA KIDATO CHA SITA MEI 2015. HIVYO KUANZIA JANUARI HADI MEI 2015 VIKOSI VYA MAFUNZO HAVITAPOKEA VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA. KILA MMOJA ANAYEHUSIKA AZINGATIE TANGAZO HILI.

TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MAKAO MAKUU

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger