Thursday 26 June 2014
DAKTARI AKUTWA AKITAKA KUMTOA MIMBA MWANAFUNZI-DAR ES SALAAM
WATOTO WAWILI WALIPULIWA BAGAMOYO-WAZIKWA
JACK PATRICK AFYA YAKE SI NZURI GEREZANI
BABY MADAHA:VIFO VYANIPA SOMO
Wednesday 25 June 2014
RATIBA YA MTIHANI CSEE 2014,MITIHANI KUANZA 03/11/2014
(06th – 23rd October, 2014 – 051/2 FOOD AND NUTRITION PRACTICAL)
Monday 03/11/2014
011
Civics (SC & PC)
8:00 – 10:30
022
English Language (SC & PC)
2:00 – 5:00
Tuesday 04/11/2014
041
NIGERIA YATINGA 16 BORA KUTOKA AFRIKA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Ahmed Musa (kulia) akishangilia na wenzake wa Nigeria baada ya kuifungia timu yake bao la pili dhidi ya Argentina.
MTOTO AKOTWA KAMBI YA JESHI-MOROGORO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kambi ya Pangawe mkoani Morogoro wamemuokota mtoto mwenye umri wa miaka sita, Mwajuma Athuman aliyedai kukimbia mateso kutoka kwa mama yake mkubwa Juni 17, mwaka huu.
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kambi ya Pangawe mkoani Morogoro wamemuokota mtoto mwenye umri wa miaka sita, Mwajuma Athuman aliyedai kukimbia mateso kutoka kwa mama yake mkubwa Juni 17, mwaka huu.
WEMA SEPETU AZIMIA GHAFLA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
CHUKI tu! Katika jambo ambalo limeuumiza moyo wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ tangu awe staa, ni ishu iliyotokea wikiendi iliyopita baada ya mtu asiyejulikana kutengeneza picha chafu ya mama mzazi wa mrembo huyo, Mariam Sepetu na kisha kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii kitu ambacho kilimshtusha na kujikuta akipoteza fahamu.
CHUKI tu! Katika jambo ambalo limeuumiza moyo wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ tangu awe staa, ni ishu iliyotokea wikiendi iliyopita baada ya mtu asiyejulikana kutengeneza picha chafu ya mama mzazi wa mrembo huyo, Mariam Sepetu na kisha kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii kitu ambacho kilimshtusha na kujikuta akipoteza fahamu.
MWANAFUNZI WA RUAHA UNIVERSITY -IRINGA ACHOMWA MAFUTA YA TAA BAADA YA KUTOKA USIKU KUANGALIA KOMBE LA DUNIA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Polisi mkoani iringa wanawashikilia walinzi 4 amabo wanatuhumiwa kumchoma moto mwanafunzi wa chuo kikuu cha ruaha (25) anaesomea masomo ya sheria.
SUAREZ ANG'ATA MTU MENO-KOMBE LA DUNIA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Jana
tumeona mcheza wa soka umevamiwa na wasiopaswa kuwa uwanjani. Nimetania
kwenye KwanzaJamii sports extra leo asubuhi kuwa Suarez unapoanza mpira
alipaswa akamatwe na apelekwe kufungiwa kwenye matyndu ya wanyama wakali
wafugwao!
MAMBO YA VIGODORO HAYA TAZAMA HAPA
Mi sitii neno hapa leo, jionee mwenyewe balaa la wazee hawa....Kweli ujana mwisho Chalinze niaje..!