Monday 23 June 2014
Sunday 22 June 2014
KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU PROFESA MCHOME AZINDUA OFISI ZA NACTE MIKOANI
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome
(kulia) akimkabidhi Edward Mneda nyaraka za utendaji kazi kufuatia
kuteuliwa kuwa Mkuu wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Kanda
ya Kati. Kushoto ni Mkuu wa Kanda Msaidizi wa Kanda ya Ziwa Beatrice
Mpanda. Baraza hilo limefungua ofisi katika kanda tano Dodoma, Arusha,
Zanzibar, Mbeya na Mwanza kurahisisha utekelezaji wa majukumu yake.
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YAJA NA MBINU YA KUDHIBITI MITANDAO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mamlaka
ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inajipanga kuja na mfumo wa kompyuta
utakaoratibu taarifa zote zinazopakiwa mtandaoni ili kukabiliana na
vitendo vya udhalilishaji vinavyofanywa na watu wasio na maadili ya
uandishi wa habari.
LOWASSA ATANGAZA"UAMUZI MGUMU"
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Monduli. Waziri Mkuu wa zamani
na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa ametangaza kuanza kwa
hatua za kuyarejesha kwenye Mamlaka za Serikali za Vijiji mashamba 21 ya
wawekezaji yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 10,000, ambayo
hayajaendelezwa.
Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yanayodhoofisha Muungano – 2
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Makala haya ni mwendelezo wa makala yaliyoanza
wiki iliyopita. Madhumuni ya makala hizi ni kupitia kamati zote za Bunge
Maalumu kiuchambuzi ili kubaini mapendekezo ambayo yanadhoofisha
Muungano. Aidha, uchambuzi huu utawawezesha wadau wote katika mchakato
wa kuandika Katiba Mpya ya Tanzania ikiwamo wajumbe wa Bunge Maalumu la
Katiba kuwa na utambuzi wa kina kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya.
Kamati namba 1 katika ukurasa wake wa 8 inasema
“kiutawala na kimamlaka” Serikali ya Muungano kama ilivyopendekezwa
katika Rasimu inatenganishwa na wananchi kwa sababu haihusiki na mambo
yanayowagusa wananchi moja kwa moja. Hoja hii ya Kamati haina mashiko na
haiakisi uhalisia sasa wa namna Serikali inaevyoenenda kiutawala na
kimamlaka, lakini pia huu sio uhalisia wa yaliyomo katika Rasimu ya
Katiba Mpya Toleo la Pili.
VYAMA VYA SIASA TANZANIA VYAIPINGA NEC
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Hatua ya
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuandika upya daftari la kudumu la
wapiga kura, imeendelea kupingwa kwamba haijavishirikisha vyama vya
siasa nchini kama wadau muhimu.Katika mahojiano na Tanzania Daima
Jumapili, Katibu Mkuu wa NCCR – Mageuzi, Mosena Nyambabe, alisema NEC
itegemee changamoto nyingi kujitokeza katika mchakato ambao wameupanga
na Serikali ya CCM.
JAHAZI MODERN TAARAB: YAZINDUA ALBAMU MPYA IITWAYO 'CHOZI LA MAMA'
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Meneja
wa Jahazi Modern Taarab, Mohammed Rashid Mauji 'Father Mauji' pamoja na
shabiki wa Jahazi wakizindua albamu mpya iitwayo Chozi la Mama
Saturday 21 June 2014
WIZARA YA AFYA YATANGAZA:MAOMBI YA NAFASI ZA MAFUNZO 2014/2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WIZARA YA AFYA INATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO MWAKA WA MASOMO
WIZARA YA AFYA INATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO MWAKA WA MASOMO
ASKARI MAGEREZA WAPO FITI:ANGALIA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAGEREZA NCHINI CHUO CHA UKONGA DAR!
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
DALADALA YAUA DAR
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kushoto ni gari ndogo aina ya Range Rover ambayo iligongwa na Daladala (kulia) iliyosababisha ajali hiyo
"MOTO MKUBWA WATOKEA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)", WANAFUNZI WAKOSA AMANI ONA MTUKIO YOTE HAPA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Moto uhuu umezuka karibu na hostel za
mabinti katika skuli ya sanaa na lugha (humanities), chanzo cha moto huo
hakijajulikana mpaka sasa..... tutakujuza kadri taarifa zitavyozidi
kutolewa.
VICKY KAMATA AFUNGUKA,AFANYIWA SHEREHE KUBWA SOMA HAPA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
BAADA ya kimya kirefu tangu ndoa iliyopagwa kufungwa kati yake na Charles Pai kuyeyuka, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) anayewakilisha vijana Mkoa wa Geita, Vicky Kamata ameibuka na kufunguka mambo mengi lakini kubwa ni kwamba, amefanyiwa sherehe.
MCHUNGAJI AFUNGUKA NI KUHUSU FLORA MBASHA NA MUMEWE
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mbasha akiwa na Pingu.
WAKATI mume
wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akiachiwa huru
kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, Mchungaji wa
Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es Salaam, Josephat Gwajima
ameibuka na kunena mazito kuhusiana na sakata hilo, Risasi Jumamosi
limesheheni mkobani.Friday 20 June 2014
BREAKING NEWZ:ST.JOSEPH UNIVERSITY TAWI LA ARUSHA WAGOMA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA WANAFUNZI WA GHO KIKUU ARUSHA WAMEGOMA KUINGIA DARASANI KWA SABABU YA KUTOKUWA NA FEDHA YA KULA.
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA WANAFUNZI WA GHO KIKUU ARUSHA WAMEGOMA KUINGIA DARASANI KWA SABABU YA KUTOKUWA NA FEDHA YA KULA.