Friday 23 May 2014
MCHUMBA WA KUAMBIANA AIBUKA!
MAMBO yameanza! Siku mbili tu baada ya mazishi ya mwigizaji na mwongoza filamu mahiri Bongo, marehemu Adam Kuambiana, mrembo mmoja ameibuka na kusema alikuwa mchumba wa marehemu, Ijumaa linakujuza.
Kwa mujibu wa mrembo huyo, Lulu Jumanne ‘Selina’, alifahamiana na marehemu Kuambiana mwaka 2006 akamwambia ndoa yake haipo sawasawa.
Alisema walianzisha uhusiano lakini haukuwa wazi katika jamii. Alisema…
BIBI ANASWA UWANJA WA NDEGE DAR AKIWA NA MADAWA YA KULEVYA
Bibi
mmoja raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (65) amevunja rekodi ya umri
wa watu wanaokamatwa wakiwa na dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Cole
alikamatwa Jumatatu akiwa amemeza kete 82 aina ya heroini zilizokuwa
zimefungwa kwenye karatasi zinazofanana na ganda la sigara, ambazo si
rahisi kuonekana katika mitambo.
MASKINI MTOTO HUYU AFICHWA KWENYE BOKSI KWA MIKA MINNE
Mwanamke aliyetambuliwa kuwa ni Mariamu Said mkazi wa Kiwanja cha Ndege, Morogoro juzi alishushiwa kipigo na wananchi kutokana na kumficha mtoto wa marehemu mdogo wake kwenye boksi kwa miaka minne.
Tukio hilo lilitokea juzi saa nne asubuhi baada ya majirani zake kutoa taarifa kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Kiwanja cha Ndege, Dia Zongo kuhusu mtoto huyo, Nasra Rashid, kufichwa ndani ya boksi tangu akiwa na umri wa miezi tisa.
MAHUSIANO: JIFUNZE HAPA NJIA NYEPESI YA KUMLAINISHA MWANAMKE
WAKUBWA TU 18+!!..OKOA NDOA KWA KUSOMA HAPA...MAENEO YENYE ASHKI ZAIDI KWA MWANAUME
Zifuatazo ni sehemu kuu mbili (2) zenye msisimko katika mwili wa mwanaume:
1. SEHEMU YA KWANZA: Kwenye KIFUA
AMA KWELI UZEE MWISHO CHALINZE!! BABU AFUMWA GESTI AKIMLA URODA BINTI
Amakweli dunia imekwisha! Watu wa Dar es
Salaam wanasema uzee mwisho Chalinze, Dar es Salaam kila mtu baby,
kauli hiyo ilitimia usiku wa kuamkia Jumanne iliyopita baada ya mmiliki
wa Gesti ya GLP ya Mabibo Mwisho jijini Dar es Salaam, Amos Makelle
kunaswa kitandani usiku wa manane na mfanyakazi wake aitwae Tina.
AJIFUNGUA WATOTO WANNE AOMBA MSAADA"AOMBA MSAADA"
Mkaazi
wa kunduchi Beachi katika manispaa ya kinondoni jijini Dar es salaa
Riziki Daudi amejifungua watoto alipojifungua kwa njia ya upasuaji wiki
iliyopita katika hospitali ya Taifa muhimbili kutopkana kuwa maisha
magumu anaomba wasamaria wema kumsaidia kwa hali na mali kutoka hali
yake hususani nguo za watoto apamoja na misaada mingine watoto hao
wanatunzwa katika chumba maalum katika jengo la wazazi
alikuwa anaomba kwa wale watakao gusa na tatizo hilo kuwasiliana na namba za simu 0783717648 ya Hadija Abeid na 0717 365040 ya Thuwaiba mohamed au 088711458 Daudi Haji wadau naomba tumsaidie kwa kusambaza vyombo vyenu
alikuwa anaomba kwa wale watakao gusa na tatizo hilo kuwasiliana na namba za simu 0783717648 ya Hadija Abeid na 0717 365040 ya Thuwaiba mohamed au 088711458 Daudi Haji wadau naomba tumsaidie kwa kusambaza vyombo vyenu
Thursday 22 May 2014
MPYA:WANAFUNZI COLLEGE YA ENGINEERING SUA-WASISITIZA MSIMAMO WAO KWA KUTOKUINGIA DARASANI
WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA SOKOINE KILICHPO MKOANI MOROGORO WAMESMA KUWA WATAENDELEA NA MSIMAMO WAO WA KUTOKUINGIA DARASANI HADI WATAKAPO PATIWA FEDHA ZAO ZA CHAKULA NA MALADHI.
HAYO YAMESEMWA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA CHUO HICHO(mjina tumehifadhi) KUWAHAWAKO TAYARI KUINGIA DARASANI HADI WATAKAPO HAKIKISHA WAMEPATIWA FEDHA YAO.
BREAKING NEWZ:CHUO KIKUU CHA SUA- COLLEGE YA ENGINEERING WAGOMA KUINGIA MADARASANI
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA WANAFUNZI WA COLLEGE YA ENGINEERING AMBAYO INAHUSISHA IRRIGATION,AGRICULTURE AND BIOPROCESSING WAMEGOMA KUINGIA DARASANI KWA SABABU YA KUTOKUWA NA FEDHA YA KULA.
HATA HIVYO TULIPOMTAFUTA AFISA MIKOPO WA CHUO HICHO KASEMA KUWA HADI SASA FEDHA HAZIJAFIKA KUTOKA HADHINA HIVYO CHO HAKINA FEDHA YA KUWALIPA WANAFUNZI HAWA AMBAPO MAISHA YAMEZIDI KUWA MAGUMU KUTOKANA KWAMBA WATU WANASHINDIA MKATE NA MAJI.
PIA TULIFANIKIWA KUMTAFUTA MWALIMU MMOJA WA ENGINEERIONG KWA JINA LA PROF MLENGELA MABAE AMESEMA KUWA DEPARTIMENT IMEWARUHUSU KUANDAMANA KUDAI HAKI YAO,KWANI HATA WAKIFUNDISHA WANAFUNZI WAMEKUWA WAKISINZIA DARASANI.
MAJINA YA WALIOITWA KAZINI KILIMO NA MIFUGO (Awamu ya Pili 17 Mei, 2014)
KUITWA KAZINI 17 Mei, 2014
Sekretarieti ya
Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa
nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 04 hadi 30 Machi,
2014 ambao baadhi ya wasailiwa waliofaulu usaili husika mchakato wa
kuwapangiwa vituo vya kazi ulikuwa unakamilishwa. Orodha ya majina yao
ni kama yanavyoonekana katika Tangazo hili.
Aidha, wanatakiwa
kuripoti katika vituo vya kazi walivyopangiwa katika muda ambao
umeainishwa kwenye barua zao za kupangiwa vituo vya kazi wakiwa na vyeti
halisi (Originals Certificates) vya masomo kuanzia kidato cha nne na
kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya ajira.
Barua za
kuwapangia vituo vya kazi zimetumwa kupitia anuani zao. Aidha, wale
ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa
hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba mara
nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa tena.
Kufungua majina na sehemu uliyopangwa BOFYA HAPA(pdf)
WAKUBWA TU+18 : MDADA ARUSHA MTANDAONI PICHA ZA UCHI ZA RAFIKI YAKE BAADA YA KUGUNGUA ANATEMBEA NA MCHUMBA WAKE,,,,ZICHEK HAPA
Hii ni zaidi ya laana pepo la picha za
uchi linazidi kushika kasi katika mitandao kila kukicha,cheki huyu
msichana picha zake za uchi katika mtandaoni
KUANGILIA PICHA SHARITI UWE MTU MZIMA 81+
+18..MREMBO AVULIWA NGUO ZOTE NA KUBAKI MTUPU BAADA YA KUMKATA MWENZAKE NA VIWEMBE USONI..JIONEE HAPA PICHA ZA TUKIO TUNAOMBA RADHI KWA PICHA ZIFUATAZO KWAKUWA ZIPO NJEE YA MAADILI ......18+
Wanasema kuwa hii imetokea katika jimbo la Benue ambapo wasichana wawili walikuwa wanapigana kwa ajili ya sugar daddy.
Lakini
chanzo kingine kinadai kuwa, siyo kweli kwamba wasichana hao walipigana
kwa ajili ya mapenzi bali kwa sababu mmoja wao alimuita mama wa
mwenzake kuwa ni kahaba.
Kwa
kuonesha kukerwa kwake na kauli hiyo, msichana mmoja aliamua kumkata
mwenzake usoni kwa kutumia wembe mkali. Inaelezwa kuwa watu waliokuwa
wanapita eneo la tukio na kushuhudia namna msichana huyo alivyokatwa na
mwenzake, walimuamuru msichana mkataji kuvua nguo zake ili aadhibiwe kwa
kosa lake.Lakini msichana huyo alipinga, ndipo wanaume hao wakamvua
nguo kwa nguvu na kumuacha uchi wa mnyama.
Inasikitisha
sana na huwezi kuamini. Ni kweli alichokifanya siyo kizuri kumkata
mwenzie kwa wembe. Lakini wanaume wanatajwa kuwanyanyasa wanawake kwa
wakati huu huku wengi wakihoji kuwa hii ni namna mpya ya adhabu? Kila
msichana anapofanya makosa; wizi, kupigana au anapokosa adabu, badala ya
kuwapeleka katika vyombo husika vya kisheria, huchukuliwa hatua
mikononi.
BOFYA HAPO CHINI KUONA ALIVYO WACHWA UCHI WA MNYAMA
YULE POLISI ALIYEVAA KIMINI NA KUZUA GUMZO KENYA, AACHIA PICHA ZA MITEGO...MMH NI HATAREEE
WAKUBWA TU 18+!!..SHANGA NA CHENI ZA KIUNONI NI NOMA KIASI HIKI LOO.
Uvaaji wa cheni au shanga kiononi kwa wanawake ni aina ya utamaduni ambao umekuwa
ukipendwa sana na wanawake hasa wa pwani tangu miongo mingi iliyopita
na kutokana na mabadiliko ya ya kiutamaduni na kuenea kwa utandawazi
wanawake wengi wamekuwa wakivaa shanga au cheni kiunoni kama fasheni tu
au urembo pasipo kujua matumizi, Loo!
Zifuatazo
ni baadhi tu ya namna ambavyo shanga au cheni za kiunoni huweza kuleta
kizaa zaa kwa mwanaume na hata mwanamke mwenyewe na kumfanya asisimke
kimahaba jambo linalotia ashki sana pale mnapojiandaa kula lile tunda
taam ambalo hata chokleti haifikii.
*Kitendo
cha mkaka kuona cheni/shanga kadhaa zimetokeza tu kiunoni mwa mdada
mrembo ambaye anavutia na kujitunza basi ni mistake tosha mkaka huyo
amefanya kwa kuchungulia chungulia kwenye viuno vya watu wenye taaluma
zao.
Cheni/shanga
hizi huleta muonekano mzuri sana pale zinapokuwa zimefanya mizunguko
kadhaa kiunoni mwa mdada ambaye anajithamini na kujijali hivyo mwanamume
aliyetimia lazima asisimke na kujawa na hisia za matamanio ya hali ya
juu kwa kuona shanga/cheni hizo na kama kwa bahati nzuri mdada ukamfuma
mkaka huyo akiangalia kiunoni hapo utamuana jinsi alivyozuzuka na macho
ya uchu yamemtoka kwa kuona vifaa nyeti vya kumkolezea mwanaume
chumbani.
*Cheni/shanga
hizi hutumika kuchezewa kwa ustadi na wanaume waliobobea katika haya
majamboz hasa pale wanapotumia ndimi zao kuzungusha kiunoni mwa wapenzi
wao huku shanga/cheni hiyo ikiwa mdomoni na ulimi ukitumika ipasavyo
katika kugusa na kutekenya ngozi ya mpenzwake na mazingira yote ya
jirani ilipopita shanga hizo kama vile kwenye kinena,na hata kumani.
Mtekenyo huu ukifanywa kwa ustadi hakika mwanamke hujihisi burudani sana
kifaa chake hicho cha kiunoni kilivyopata mtumiaji.
*Shanga/cheni hutumika katika kuamsha uume pale unapoonekana kuanza kulala. Kwa kutumia cheni wanawake wataalam huchukua uume wa mpenz wake na kuupenyeza au kuuviringisha juu ya shanga/cheni hiyo mithili ya mtu anayesukuma chapatti hivyo hufanya uume wa mtu wake kupata nguvu na amsha amsha ndani ya muda mfupi na hivyo iwapo tayari imesimama huingizwa taratibu kumani tayari kufanya shughuli yake ya kukuna sehemu husika mpaka pale mwanamke anapokiri kweli hakuna raha kama kutiwa pale unapompata mtiaji