Saturday, 11 September 2021

MFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB ANUSURIKA KUFA KWA KUPIGWA,KUKATWA MKONO SHINYANGA

Picha haihusiani na habari hapa chini

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mfanyakazi wa Benki ya CRDB Debora Rwekwama (34) mkazi wa Bushushu Mjini Shinyanga amenusurika kufa baada kushambuliwa kwa kupigwa sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kukatwa mkono wa kushoto kwa kisu na mme wake aitwaye Jacobo Mwajenga (35) kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP George Kyando amesema tukio hilo limetokea Septemba 9,2021 usiku katika mtaa wa Bushushu, Manispaa ya Shinyanga.

“Debora Rwekwama (34) Banker - CRDB, mkazi wa Bushushu Manispaa ya Shinyanga alishambuliwa kwa kupigwa sehemu mbalimbali za mwili wake na baada ya kupoteza fahamu alikatwa mkono wa kushoto kwa kisu na mme wake aitwaye Jacobo Mwajenga (35)mkazi wa Bushushu”,amesema Kamanda Kyando.

Ameeleza kuwa hali ya majeruhi ni mbaya na amelazwa katika hospitali ya wilaya Kahama.

Amesema chanzo cha tukio ni wivu wa mapenzi na kwamba tayari Jeshi la Polisi linamshikilia mtuhumiwa wa tukio hilo.
Share:

DKT. MAHERA ASISITIZA WELEDI KATIKA USIMAMIZI WA UCHAGUZI MDOGO WA OKTOBA 9,2021


Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt.Wilson Mahera akizungumza na washiriki wa Mafunzo ya siku tatu kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata yanayoendelea Mjini Morogoro. Tume ya Uchaguzi inataraji kufanya Uchaguzi mdogo katika Jimbo la Konde (Zanzibar) na Ushetu (Shinyanga) pamoja na Kata 10 za Tanzania Bara Oktoba 9,2021.

Dkt. Mahera amewataka watendaji hao wa Uchaguzi katika Ngazi ya Jimbo la Ushetu na Kata 10 za udiwani kufanya kazi kwa weledi na kuepusha migogoro isiyo na tija.

Pia amewasisitiza kuteua watendaji wa uchaguzi ngazi ya vituo weledi wa kufanbya kazi hiyo kwa ufanisi na si kuteua watu kwa urafiki au undugu.

Kata zitakazo fanya uchaguzi na Halmashauri zake katika mabano ni Kileo (Mwanga DC), Neruma(Bunda)Kagera–Nkanda(Kasulu DC) Luduga(Wanging’ombe), Vumilia (Urambo),Lyowa (Kalambo),Buyuni(Ilala), Dongo(Kiteto, )Lighwa(Ikungi) na Ndembezi (Shinyanga).
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt.Wilson Mahera akizungumza na washiriki wa Mafunzo ya siku tatu kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata yanayoendelea Mjini Morogoro. Tume ya Uchaguzi inataraji kufanya Uchaguzi mdogo katika Jimbo la Konde (Zanzibar) na Ushetu (Shinyanga) pamoja na Kata 10 za Tanzania Bara Oktoba 9,2021.
Washiriki ambao ni Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata wakimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi.
Washiriki ambao ni Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata wakimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi.
Washiriki ambao ni Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata wakimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi.
Wakurugenzi wa Tume wakiwa ukumbini.
Mjumbe wa Tume, Jaji (Mst) Mary Longway akimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi.
Washiriki wakimsikiliza Mkurugrenzi wa Uchaguzi kwa umakini
Washiriki wakimsikiliza Mkurugrenzi wa Uchaguzi kwa umakini
Maofisa kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Share:

MMOJA AFARIKI, 50 WANUSURIKA KIFO KWA KULA CHAKULA KINACHODAIWA KUWA NA SUMU KWENYE SHEREHE SINGIDA



Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge  akiwasalimia  na kuwapa pole manusura wa chakula  kinachosadikika kuwa na sumu.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge  akiwasalimia  na kuwapa pole manusura wa chakula  kinachosadikika kuwa na sumu.


Na Edina Malekela,Singida
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge amewatembelea wananchi waliolazwa katika Hospitali ya Mkoa huo baada kula chakula kinachosadikika kuwa na sumu ambapo katika tukio mtoto mmoja  mwenye umri wa miaka 7 amefariki dunia huku watu wengine 50 wakinusurika kifo.

Wakazi hao wa Kata ya Unyambwa kijiji cha Kisasida katika Manispaa ya Singida mkoani Singida walifikishwa hospitalini hapo jana baada ya hali zao kuwa mbaya kutokana na kula chakula kilichoandaliwa katika shughuli za ufunguzi wa Madrasa kijijini hapo.

Dkt. Mahenge amewapongeza madaktari wa Hospitali hiyo kwa jitihada za kuhakikisha wananusuru maisha ya wananchi hao ambapo kwa sasa hali zao zinaendelea vizuri na kuipongeza Serikali kwa kuweka miundombinu mizuri ya huduma katika sekta ya afya.

Ametoa wito kwa Viongozi wa Serikali na Dini kuwajibika kikamilifu katika kutoa elimu ya namna ya kuandaa chakula pamoja na kusimamia inapotokea sherehe mbalimbali kwenye maeneo yao ili kuepuka madhara ya namna hiyo.

Kwa mujibu wa Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa Banuba Deogratius amesema walipokea jumla ya wagonjwa 50,kati yao Wanawake 34 na Wanaume 16 ambapo hali zao zinaendelea vizuri na wanaanza kuwaruhusu baadhi yao kurudi nyumbani kuendelea na majukumu yao.

Aidha Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida Stella Mutabihirwa amesema wanawashikilia washukiwa 7 walioshiriki kuandaa chakula hicho kwa ajili ya uchunguzi na tayari wamechukua chakula hicho kwa uchunguzi zaidi.

Katika tukio hilo Kamanda amesema mtoto mmoja mwenye umri wa miaka (7) ambaye amefahamika kwa jina la Fahad Masudi amefariki dunia kabla ya kufikishwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

Share:

MWANAMKE AUAWA AKITUHUMIWA KUWA MCHAWI SHILABELA USHETU



Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga George Kyando

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Mwalu Charles (45) mkazi wa kijiji cha Shilabela kata ya Ulewe wilayani Kahama mkoani Shinyanga amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye makali sehemu za mgongoni, kichwani na mkono wa kulia na watu au mtu wanaotafutwa akituhumiwa kuwa mchawi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP George Kyando amesema tukio hilo limetokea Septemba 9,2021 majira ya saa mbili usiku katika kijiji cha Shilabela, kata ya Ulewe, tarafa ya Mweli ,wilaya ya kipolisi Ushetu, wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga.

“Mwalu Charles (45) mkazi wa kijiji cha Shilabela, alikufa kwa kukatwa na kitu chenye makali sehemu za mgongoni, kichwani na mkono wa kulia na watu au mtu wanaotafutwa”,amesema.

Amesema kiini cha tukio ni mgogoro wa kifamilia unaochochewa na imani za kishirikina ambapo marehemu alikuwa akituhumiwa kuwa mchawi.

Amesema tayari watuhumiwa watatu wamekamatwa.
Share:

7 Job Opportunities at Kilindi District Council and AMREF (TANGA)

Tanga is a port city in northeast Tanzania. Covering large swaths of coastline, Tanga Coelacanth Marine Park shelters prehistoric coelacanth fish and manatee-like dugongs. Within the park, Tanga Bay is home to Toten Island, with its ruined mosques and German colonial buildings. Tongoni village has centuries-old, ruined tombs. Northwest of Tanga, the limestone Amboni Caves […]

This post 7 Job Opportunities at Kilindi District Council and AMREF (TANGA) has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Human Resource Officer – Kasulu at Church World Service

Job Description   Job Title: Human Resources Officer Grade: 7 (N) Department: Administration Level: Function Manager Location: Kasulu, Tanzania Primary Purpose This position is responsible for the administration and management of staff welfare and supports recruitment including conducting (QC) quality control of HR documents and procedures. The HR Officer operates as a generalist and carries out responsibilities in the following […]

This post Human Resource Officer – Kasulu at Church World Service has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Janitor at Church World Service

Posting Number:15303 Open Date:09/09/2021 Close Date:09/24/2021 Position: Janitor – Dares Salaam This position is primarily responsible for office maintenance. CLICK HERE TO APPLY

This post Janitor at Church World Service has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

KAHAMA OPEN HIGH SCHOOL INATANGAZA NAFASI ZA MASOMO YA PRE - FORM ONE 2021

 

The Institute of Adult Education.

KAHAMA OPEN HIGH SCHOOL inatangaza programme ya PRE-FORM ONE Kuanzia Tarehe 13/09/2021 hadi Tarehe 17/12/2021.

Ada ni Tshs.45,000/= kwa kutwa

Na Tshs.180,000/= kwa hostel kwa miezi yote mitatu.

Shule ipo Kahama Mjini, Kata ya Nyasubi, jirani kabisa na Nyasubi Shule ya Msingi.

Wasiliana nasi kwa simu No.0742367817 / 0710367817

Au WhatsApp No.0653618060.

Wahi sasa nafasi za hostel ni chache.

Share:

TUMIA MAJIKO HAYA BORA NA IMARA YANAYOTUMIA MKAA MCHACHE KABISA...PIGA 0745613461

 
Share:

Janitor – Kasulu at Church World Service

Job Opportunity at Church World Service, Janitor – Kasulu Posting Number:15304   Open Date:09/09/2021 Close Date:09/24/2021 Position: Janitor – Kasulu This position is primarily responsible for office maintenance. CLICK HERE TO APPLY

This post Janitor – Kasulu at Church World Service has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

ICT Officer at Hope Holding Company Limited

JOB POSITION: ICT OFFICER.   INDUSTRY: RETAIL BUSINESS. LOCATION: DAR ES SALAAM Urgently Needed. Duties and Responsibilities:   Maintaining and troubleshoot all network and computer related issues. Conducting electrical safety checks on computer equipment. Monitoring and maintaining computer systems and networks; Testing and evaluating all new technology including M&E systems e.g. database systems, websites etc. Enhancing office IT […]

This post ICT Officer at Hope Holding Company Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Procurement Officer and Tender Specialist at Caliber First Group Limited

JOB TITLE: JOB ADVERT- Procurement Officer and Tender Specialist (Immediately)   JOB LOCATION: Dar Es Salaam Tanzania Company Name: Caliber First Group Limited (CFGL) Caliber First Group Limited (CFGL) seeks a detail-oriented, thorough, and organized tender specialist to oversee and ensure contract compliance for procurement and supplier contracts. Responsibilities include: Monitoring the tender submission process for formatting, […]

This post Procurement Officer and Tender Specialist at Caliber First Group Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

National Consultant at UNICEF

Job no: 544431   Contract type: Consultancy Level: Consultancy Location: United Republic of Tanzania Categories: HIV/AIDS UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend their rights. To help them fulfill their potential. Across 190 countries and territories, we work for every child, everywhere, every day, to […]

This post National Consultant at UNICEF has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Consultant Paediatrician at Aga Khan Health Service

The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, completed a major phase II expansion of the Aga Khan Hospital, Dar es Salaam in 2018.   This expansion aimed at improving the Hospital’s quality of facilities and infrastructure to become an ultramodern 170 bed facility in order to increase […]

This post Consultant Paediatrician at Aga Khan Health Service has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

General Affair at Gas Entec Co Ltd

JOB OPPORTUNITY AT GAS ENTEC CO LTD   PROJECT TITLE: CONSTRUCTION OF 1200 PASSENGER FERRY SHIP DESIGNATION: General Affair (1 POST) PLACE OF WORK: MWANZA JOB SUMMARY: Responsible to Oversees day-to-day activities of General Affairs. He/she should be able to speak, read and write Korean language. DUTIES & RESPONSIBILITIES   Responsible for the day-to-day organizational tasks Provide assistance […]

This post General Affair at Gas Entec Co Ltd has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Head of Procurement and Supplies at Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited

The Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited (KLICL) previously known as Karanga Leather Industries Company Limited is established as a Joint Venture company between PSSSF and Tanzania Prisons Service through its Company known as Prisons Corporation Sole. The Company was established on 17th May 2017 to undertake development and operate leather industries in Karanga area, […]

This post Head of Procurement and Supplies at Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Receptionist at Crown Dry Cleaner

Receptionist Application deadline: 17.09.2021 @crown_drycleaner_official Description: This is a full-time job. Applicant must be young Tanzanian lady, have a friendly and outgoing personality, and have the ability to work well with people, trustworthy and hardworking Her job will be Attending customers, Taking incoming orders, Releasing outgoing orders, Marking the clothes, Tagging the clothes, Assembling and […]

This post Receptionist at Crown Dry Cleaner has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger