Wednesday, 21 July 2021

Health Programming and Training Specialist at Peace Corps

Health Programming and Training Specialist     About the United States Peace Corps: The Peace Corps is an independent United States federal agency that has been working in Tanzania since 1961. Peace Corps Volunteers work with governments, schools, and communities in the areas of education, health, HIV/AIDS, information technology, agriculture, and the environment. About the Programming […]

This post Health Programming and Training Specialist at Peace Corps has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Office Attendant at Roads Fund Board

Office Attendant     The Roads Fund Board (RFB) is a Government Institution under the Ministry of Works, Transport and Communication established by the Road and Fuel Tolls Act, CAP 220. The Board invites applications from suitably qualified Tanzanians to fill the following vacancies: Duties and Responsibilities   To dean and tide offices and surroundings; To […]

This post Office Attendant at Roads Fund Board has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

WANAUME WENGI WALINIACHA BILA KUJUA SHIDA,HIVI NDIYO NIMEWEZA KUJIKWAMUA

Share:

Accountant at Roads Fund Board

 Accountant     The Roads Fund Board (RFB) is a Government Institution under the Ministry of Works, Transport and Communication established by the Road and Fuel Tolls Act, CAP 220. The Board invites applications from suitably qualified Tanzanians to fill the following vacancy: Duties and Responsibilities   To file all accounting documents properly; To properly record […]

This post Accountant at Roads Fund Board has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Physician (Part Time) at U.S. Embassy Dar es Salaam

The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the position below: Position Title: Physician (Part Time) Vacancy Number: Dar es Salaam-2021-030 Duties Medical Practice 70%   Provides outpatient medical services for eligible children and adult patients : Provides timely appointments; Obtains history of medical complaint; Reviews past medical history bearing […]

This post Physician (Part Time) at U.S. Embassy Dar es Salaam has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Creation and System Management Specialist at TIGO Tanzania

Tanzania, United Republic of | req9922 Position: Creation and System Management Specialist Job Country: Tanzania JOB PURPOSE The Creation and System Management Specialist is responsible for approving the initiated agents for system creation purposes. The role is accountable to ensure all MFS Agents are created and verified in the system per regulation and as per […]

This post Creation and System Management Specialist at TIGO Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Marketing Officers at Reliance Insurance

About: Reliance Insurance Company (T) Limited was promoted in 1998 In the light of the opportunities offered by the privatization of the insurance industry.Local businessman of repute joined hands with Pan Africa Insurance Company Limited of Nairobi,Kenya of infuse the envisaged initial paid – up capital of T.Shs.600 million. APA Insurance Limited, acquired the shares […]

This post Marketing Officers at Reliance Insurance has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Record Management Officer at Reliance Insurance Ltd

About   Reliance Insurance Company (T) Limited was promoted in 1998 In the light of the opportunities offered by the privatization of the insurance industry.Local businessman of repute joined hands with Pan Africa Insurance Company Limited of Nairobi,Kenya of infuse the envisaged initial paid – up capital of T.Shs.600 million. APA Insurance Limited, acquired the […]

This post Record Management Officer at Reliance Insurance Ltd has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Assistant Accountants at Reliance Insurance

About   Reliance Insurance Company (T) Limited was promoted in 1998 In the light of the opportunities offered by the privatization of the insurance industry.Local businessman of repute joined hands with Pan Africa Insurance Company Limited of Nairobi,Kenya of infuse the envisaged initial paid – up capital of T.Shs.600 million. APA Insurance Limited, acquired the […]

This post Assistant Accountants at Reliance Insurance has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Executive Secretary at Reliance Insurance Ltd

About   Reliance Insurance Company (T) Limited was promoted in 1998 In the light of the opportunities offered by the privatization of the insurance industry.Local businessman of repute joined hands with Pan Africa Insurance Company Limited of Nairobi,Kenya of infuse the envisaged initial paid – up capital of T.Shs.600 million. APA Insurance Limited, acquired the […]

This post Executive Secretary at Reliance Insurance Ltd has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JULAI 21,2021



Share:

Tuesday, 20 July 2021

EWURA YATOA MAFUNZO KWA TAASISI YA MAENDELEO YA VIZIWI TANZANIA


Na Dotto Kwilasa,Dodoma.

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa mafunzo ya uelewa wa udhibiti wa masuala ya Nishati na Maji kwa Taasisi ya Maendeleo ya Viziwi Tanzania (TAMAVITA) huku ikiwa na matarajio kuwa semina hiyo itawasaidia kutimiza azma ya Serikali katika kuwasaidia watanzania kutambua haki na wajibu wao kwa jamii na kwa Serikali yao.

Mafunzo hayo yametolewa kwa Wanachama 60 ,ambapo 3o kati yao ni wadau wa moja kwa moja kwa Mamlaka hiyo kwa kuwa na taaluma ya mafundi umeme huku wakitegemewa kutoa huduma bora zaidi kwa jamii katika kukidhi mahitaji ya ajira binafsi.

Akizungumza leo Julai 20,2021 jijini Dodoma wakati akifungua semina hiyo iliyoandaliwa na EWURA kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka , Mkuu wa Wilaya ya Kondoa, Dkt. Khamis Mkanachi amesema anaamini semina hiyo itawasaidia kutimiza azma ya Serikali katika kuwasaidia watanzania kutambua haki na wajibu wao kwa jamii na kwa Serikali yao.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema , mojawapo ya majukumu ya EWURA ni pamoja na kujenga uelewa kwa watumia huduma ili wafahamu haki na wajibu wao.

Pamoja na hayo Dkt. Mkanachi ameitaka EWURA kuendelea kujenga uelewa kwa watumiaji wa huduma mbalimbali ili wafahamu haki na wajibu wao katika kuchochea maendeleo na kukuza uchumi.

“Ninafahamu kuwa ninyi ni sehemu muhimu yawatumia huduma za EWURA,inawezekana kuna mafundi umeme humu ndani ambao inabidi wawe na leseni ya EWURA vilevile inawezekana kuna wamiliki wa vituo vya mafuta ambao inabidi wawe na leseni za EWURA au tunaweza kuwa na wamiliki wa kampuni za kuzalisha na kusambaza umeme na sote tunatumia maji na umeme huduma ambazo zinadhibitiwa na EWURA,”amesema.

Amesema kwa niaba ya Serikali wanatoa shukrani za dhati kwa Menejimenti ya EWURA kwa kukubali ombi la kutoa mafunzo hayo kwani kwa kufanya hivyo wananchi wenye ulemavu wa kusikia watakuwa wanaelewa shughuli za EWURA na mafundi umeme wataweza kutimiza matakwa ya kisheria na kikanuni katika shughuli zao.

Kwa upande wake,Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo kwa Viziwi Tanzania (TAMAVITA) Bw.Kelvin Nyema,amesema kuwa chama chao kimefikia hatua ya kuomba kupatiwa mafunzo hayo ili wajengewe uwezo mafundi umeme na mafundi wa nyumba ambao ni viziwi.

“Miongoni mwa viziwi wapo mafundi wa umeme, mafundi ujenzi wa nyumba na tunajua tunahitaji leseni lakini hatujui nini cha kufanyeje, pia viziwi ni watumiaji wa maji na nishati na ndio maana tunahitaji mafunzo,”amesema.

Awali akiwasilisha mada,Meneja Mawasiliano na Uhusiano EWURA,Titus Kaguo ameeleza kuwa Mafunzo hayo yametolewa kutokana na uongozi wa TAMAVITA kuomba kupewa elimu na uelewa wa masuala ya udhibiti wa nishati na maji hali itakayolenga zaidi kuchochea maendeleo.

Kwa umuhimu huo Kaguo amezishauri Taasisi nyingine kuona umuhimu wa kutoa mafunzo kwa makundi maalumu ili kuleta hamasa kwa jamii kuwasaidiakatikakutekeleza majukumu ya uzalishaji na kujiiunua kiuchumi.

“Nazishauri Taasisi nyingine kutowaacha wenzetu hawa ambao wanaonekana kama ni watu wa pembeni waliosahaulika kwani nao wana uwezo wa kutumika kujenga uchumi wa nchi yetu,”amesisistiza Meneja huyo wa EWURA.

Pamoja na mambo mengine ameongeza kuwa hatua hiyo ya mafunzo imekuja kwa kuzingatia kuwa kundi hilo ia ni wadau muhimu kwa Taasisi hiyo ambapo kati ya Wanachama hao 60 ,3o kati yao ni wadau wa moja kwa moja kwani wana leseni za Ewura hivyo.

“Na kwa kuwa hapa tuna mafundi umeme 30 basi tunategemea huduma bora zaidi kutoka kwenu na kuongezeka kwa ajira binafsi,tumetimiza wajibu wajibu wetu kuwajenga na kuwaelimisha ili wawe mabalozi kwa wenzao,jamii imekuwa na tabia za kuwasahau wenzetu wa makundi maalum kwa kufanya hivi itasaidia makundimaalumu kuheshimika na kushirikishwa katika uchumi wa viwanda,”amesema
Share:

NAMNA KIWANGADOCTORS WALIVYONUSURU BIASHARA YANGU KWA MUDA MFUPI SANA

Share:

AUAWA BAADA YA KUMPIGA POLISI KWA CHUMA CHA KUPONDEA MAWE GEITA


Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe, akionesha chuma kilichotumika kumjeruhi Askari
**
Kijana anayekadiriwa kuwa na miaka 20-25 amefariki dunia kwa kushambuliwa na wananchi baada ya kumjeruhi kwenye taya na kidevu Askari wa Usalama Barabarani kwa kumpiga na chuma cha kupondea mawe (Moko), wakati akiwa kwenye eneo lake la kazi Mtaa wa Mwembeni, barabara ya Katoro Ushirombo.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Geita Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa tukio hilo la kuvamiwa na kujeruhiwa askari wa barabarani namba H1619 John Charles lililopelekea wananchi wenye hasira kali kuingilia kati na kumuua mhusika kwa kipigo.

Aidha, Kamanda Mwaibambe amewataka wananchi wenye migogoro binafsi na Askari kuacha kujichukulia hatua mkononi badala yake watoe taarifa kituo cha polisi kwa ajili ya kuchukuliwa hatua zinazostahiki.

CHANZO - EATV
Share:

RAIS ASSIMI ASHAMBULIWA KWA KISU MSIKITINI

Rais Assimi Goïta (aliyeva kanzu ya bluu) kabla ya shambulio

AFP imesambaza picha ya kanali Goita akipunga mkono baada ya tukio

***
Rais wa Mali Assimi Goïta ni 'salama' baada ya mshambuliaji aliyekuwa amejihami kwa kisu kumshambulia katika msikiti uliopo katika mji mkuu , Bamako, imesema ofisi yake.

Mwandishi wa habari wa AFP aliyekuwa katika msikiti wa Bamako-Grande Mosque ambako Kanali Goïta alikuwa amejiunga na waumini kwa ajili ya ibada ya Idd ul-Adha amesema kuwa alishambuliwa na wanaume wawili, lakini ni mmoja aliyekuwa amejihami kwa kisu.

Taarifa ya ofisi ya rais imesema kuwa mshambuliaji alikamatwa mara moja na rais aliondoshwa msikitini kwa gari mara moja hadi katika kambi za jeshi zilizopo nje ya jiji .


Waziri amelielezea shambulio hilo kama jaribio dhidi ya maisha ya rais.

Umati mkubwa ulikuwa umekusanyika katia msikiti kwa ajili ya sala, ya Idd ya kuchinja kafala.

Wengi waliisali kwenye viwanja vya msikitiImage caption: Wengi waliisali kwenye viwanja vya msikiti

Kondoo alitolewa kafara na Imam mwisho wa sala.

Shambulio linatia hofu kwa nchi inayokabiliwa na changamoto za kiusalama, ikiwa ni pamoja na uasi wa makundi ya jihad yanayofanya mashambulio ya mara kwa mara ya makundi yenye uhusiano naal-Qaeda na Islamic State

Kanali Goïta ni mtu mwenye utata – kwa kufanya mapinduzi mawili ya kijeshi chini ya mwaka mmoja .

Alijitangaza kama rais mwezi Mei baada ya kuiondoa mamlakani serikali iliyokuwa imewekwa baada ya kuongoza mapinduzi dhidi ya rais wa zamani Ibrahim Boubacar Keïta mwezi Agosti mwaka jana.

Aliahidi kuirejesha nchi katika utawala kamili wa kiraia mapema mwaka ujao.

CHANZO - BBC SWAHILI
Share:

Finland Yaipongeza Tanzania Kwa Maendeleo, Utawala Bora Na Uhuru Wa Habari


Na Mwandishi wetu, Dar
Nchi ya Finland imeipongeza Tanzania kwa hatua mpya za kimaendeleo katika nyanja za ushirikishwaji wa sekta binafsi, uhuru wa vyombo vya habari,utawala bora na haki za binadamu pamoja na mapambano dhidi ya UVIKO 19.

Balozi wa Finland hapa nchini Mhe. Riitta Swan ametoa pongezi hizo wakati alipokutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Balozi Swan amesema uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kukuza sekta binafsi, uhuru wa vyombo vya habari, kutoa kipaumbele kwa masuala ya utawala bora na haki za binadamu ikiwemo suala la kujiunga na mpango wa chanjo dhidi ya UVIKO 19 ni hatua inayopaswa kupongezwa.

“……….pamoja na masuala mengine suala la Tanzania kukubali chanjo dhidi ya ugonjwa wa UVIKO 19 ni maendeleo mazuri sana kwa Taifa hili,” amesema Balozi Swan

Balozi Swan pamoja na mambo mengine, amejadiliana na Balozi Mulamula masuala mbalimbali ya kuimarisha na kukuza ushirikiano baina ya Finland na Tanzania.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amesema Tanzania na Finland zimekuwa na ushirikiano wa muda mrefu tangu Tanzania ilipopata Uhuru ambapo Finland imekuwa ikisaidia kukuza na kuendeleza sekta za kimaendeleo hususan Elimu, Afya, Utalii, Mazingira pamoja na Maliasili.

“Katika jitihada za kuendeleza ushirikiano wetu na Finland,imeandaa mpango mkakati wa maendeleo katika nyanja mbalimbali kama vile masuala ya misitu, utawala bora, haki za binadamu na masuala ya kuendeleza wanawake ambapo nimepokea rasimu ya mpango huo leo na nitaufanyia kazi ili tuweze kuendeleza ushirikiano wetu kwa maslahi ya mataifa yetu,” Amesema Balozi Mulamula

Balozi huyo wa Finland amekutana na Balozi Mulamula kwa lengo la kuwasilisha mpango mkakati wa miaka minne wa Finland katika nyanja za mashirikiano na Mataifa mengine ikiwemo kukuza na kuendeleza diplomasia ya uchumi kupitia biashara na uwekezaji.


Share:

Waziri Mkenda Atua Bandari Ya Dar Es Salaam...Aendelea Na Mkakati Wa Kudhibiti Ongezeko La Bei Ya Mbolea


Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dar es Salaam
Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda amewasili nchini akitokea nchini Morocco ambapo pamoja na mambo mengine katika ziara yake hiyo aliitembelea kampuni ya uuzaji wa mbolea ya OCP ili kuendelea na mkakati wa serikali katika kuhakikisha kuwa mbolea inapatikana kwa wingi nchini.

Akiwa katika ziara ya kikazi ya siku moja katika bandari ya Dar es salaam tarehe 20 Julai 2021 Waziri Mkenda amesisitiza kuwa Serikali inaendelea na mkakati wa kuhakikisha inadhibiti ongezeko la bei ya mbolea.

Amesema kuwa bei ya mbolea kwenye soko la Dunia imepanda kwa kiasi kikubwa hivyo serikali inaendelea na juhudi za kuhakikisha kuwa bei ya mbolea nchini inaendelea kuwa katika ustahimilivu wa bei huku juhudi zikiendelea za kuhakikisha bei ya mbolea inashuka bei.

Amesema kuwa uingizaji wa mbolea umeongezeka kwa kiasi kikubwa hapa nchini. “Hivyo natoa rai kwa wafanyabiashara wa mbolea nchini wanaohifadhi mbolea wakidhani bei itapanda, hilo hapana itashuka hivyo ni bora kuiuza mbolea hiyo mapema” Amekaririwa Waziri Mkenda

Waziri Mkenda amesema kuwa serikali haina kodi kwenye mbolea ila sehemu pekee ya gharama ilikuwa ni ucheleweshaji wa kushusha mbolea pamoja na bei ya soko la Dunia. “Sijasema kwamba bei ya mbolea itashuka sana maana bei imepanda Duniani” Amekaririwa Waziri Mkenda

Waziri Prof. Mkenda ameongeza kuwa Wizara yake tayari imefanya mazungumzo na Uongozi wa Bandari ya Dar es salaam ili kuhakikisha kuwa mbolea inapowasili bandarini inapewa kipaumbele ili iweze kupakuliwa kwa haraka na kuwafikia wakulima kwa wakati, “Kwa hili naomba niipongeze Bandari ya Dar es salaam mmeendelea kusimamia kwa ufasaha swala la upakuaji wa mbolea kwenye meli zinazowasili” Amesema

Ameongeza kuwa ili kuhakikisha changamoto za wafanyabiashara zinapatiwa ufumbuzi kwa haraka tayari Serikali imeshatoa maelekezo ya Mamlaka ya Mbolea Tanzania (TFRA) kuanza kutoa vibali vya kuuza mbolea ambayo imeshaingia nchini (Export Permit) badala ya vibali hivyo kutolewa ofisi ya Waziri wa Kilimo kama ilivyokuwa awali.

Ameongeza kuwa ili kuongeza ufanisi zaidi wa utendaji vibali hivyo vitatolewa kwa njia ya mtandao (Online) badala yake Ofisi ya Waziri wa Kilimo itakuwa na jukumu la kupewa taarifa ya utekelezaji wa utoaji vibali uliofanywa na TFRA.

MWISHO


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger