Saturday, 9 January 2021

'VIOLA DAY CARE CENTER' SHINYANGA NI KITUO BORA KABISA CHA KULELEA WATOTO...MLETE MWANAO NAFASI ZIPO

Share:

JITIBU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA FULL POWER.. UUME MDOGO ZAT 50 NDIYO SULUHISHO



Zati 50


Full Power



Sababu za upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume:

⇒Ngiri,


⇒Henia


⇒Kisukari


⇒Tumbo kujaa gesi

⇒Kutopata choo vizuri


⇒Utumiaji madawa kwa muda mrefu


⇒Unywaji wa pombe kupita kiasi


⇒Msongo wa mawazo 

⇮⇒Haya yote hupelekea mwili kutokuzalisha homoni ya gesrtogine au kuwa chache na kushindwa kupata mzunguko mzuri wa damu na vichocheo vingine kama madini ya zinki ambayo hukufanya kuwa na msisimko  na kufanya kuwa na muda  mrefu na nguvu za kutosha.

ZAT 50

⇨ Inarutubisha maumbile ya uume  na kunenepesha urefu nchi 6,unene sentimita 4

⇨Dawa hii ni ya kutibu kabisa tatizo hilo.


FULL POWER

⇨Ni dawa ya vidonge ya miti shamba inaongeza nguvu za kiume na kutibu kabisa tatizo hilo.

⇨Inaongeza hamu ya tendo la ndoa
⇨Inakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya Dakika 30 na kurudia tendo zaidi ya mara nne na zaidi.

Pia tunatibu Magonjwa mengine Kama

Matatizo ya pumu,Bawasiri, vidonga vya tumbo,Kisukari,Magonjwa sugu ya zinaaa,Kaswende,U.T.I , kiuno,miguu kuwaka moto, Fangasi sehemu za Siri, kupunguza unene wa mwili,tumbo kuunguruma,kujaa gesi, matatizo ya uzazi kwa wanawake, kurutubisha mbegu za uzazi kwa akina baba, matatizo ya meno tunatibu bila kungoa

Kliniki yetu inapatikana Zanzibar, Dar es salaam na Shinyanga.

Wasiliana nasi kwa simu namba 071770 22 27
Share:

KARIBU GVEN WEAR UPATE MUONEKANO WA PEKEE .....HUDUMA ZA KIPEKEE


Karibu Gven Wear.Tunapatikana karibu na NMB Bank Manonga Mjini Shinyanga, wasiliana nasi 0767926671
'Your look is our priority'

Share:

Tanzania,china Kuendelea Kushirikiana Kiuchumi

 Na Immaculate Makilika- MAELEZO, Chato
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na China katika masuala ya uchumi kwa sababu uhusiano  na urafiki wa nchi hizi mbili ni wa  muda mrefu.

Hayo yamesemwa jana (Januari 8, 2020), Chato mkoani Geita, wakati Rais Magufuli akiwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi katika hafla ya utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) wa kipande cha tano kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga, mradi utakaogharimu shilingi trilioni 3.0677.

Rais Magufuli alisema “Natoa wito kwa kampuni ya CCECC inayojenga kipande hiki cha Mwanza hadi Isaka kijengwe kwa haraka zaidi, lakini niombe Serikali ya China katika kipande kilichobaki cha Isaka hadi Makutopora kama wataweza kutukopesha na sisi tutafurahi sana ili  kiweze kujengwa kwa sababu kitasaidia sana katika kuleta  maendeleo ya nchi yetu na baadae tutaendelea kujenga Tabora, Kigoma na maeneo  mengine.”

Vilevile, Rais Magufuli alisema “Nimemuhakikishia Waziri Wang Yi kuwa kufanya biashara na Tanzania kuna faida kwani kupitia nchi yetu watakuwa na uwezo kufanya biashara na nchi zilizopo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki na Jumuiya ya Maendeleo ya nchi zilizo Kusini mwa Afrika kwa sababu Tanzania  ni mwanachama wa Jumuiya hizo”

Alibainisha kuwa China ni nchi tajiri duniani na  Tanzania kuna mazao mengi ambayo yanaweza kuuzwa nchini humo hivyo kuwataka watanzania kutumia fursa huyo kwa kuuza mazao na bidhaa nchini China.

Katika hatua nyingine, Rais Magufuli alisema kuwa amepokea ujumbe kutoka China, lakini pia  ametuma ujumbe kwa  Rais wa China, Xi Jinping kumuomba aisaidie Tanzania katika ujenzi wa miradi ya kufua umeme wa maji mkoani Njombe, Lumakali na Luhuji pamoja na ujenzi wa kilometa 148 za barabara kwa kiwango cha lami Zanzibar.

Fauku ya hayo, Rais Magufuli ametaja baadhi ya  masuala waliyozungumza na Waziri Wang kuwa ni kuomba Tanzania isamehewe madeni iliyokopa  ikiwemo la dola za Marekani milioni 15.7 za ujenzi wa reli ya TAZARA, deni la dola za Marekani milioni 137 la nyumba za askari ambapo Serikali imeshalipa tayari dola za Marekani 164 pamoja na deni la kiwanda cha Urafiki la dola za Marekani milioni 15.

Kwa upande wake, Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi alisema kuwa uwepo wa Rais Magufuli katika tukio hilo la utiaji saini wa mkataba huo unaonesha umuhimu mkubwa ambao Rais anaupa ushirikiano na urafiki uliopo kati ya nchi hizi mbili na kuzitataka kampuni za kichina kufanyakazi kwa ubora.

“Natumia fursa hii kuyaagiza makampuni ya China yanayotekeleza miradi hapa nchini Tanzania kutekeleza miradi hiyo kwa kuzingatia kwanza maslahi ya Tanzania.” Alisema Waziri Wang

Naye, Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa alisema kuwa zilijitokeza kampuni zaidi ya 18 za kimataifa kwa ajili ya kujenga reli ya kisasa kipande cha Mwanza – Isaka, baada ya kufanya mchakato kampuni za CCECC zilishinda zabuni, gharama ya mradi ni shilingi trilioni 3.0677.

Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya CCECC, Mhandisi Jiang Yigao alisema kampuni yake imekuwa ikifanyakazi nchini Tanzania kwa zaidi ya  miaka 50 na katika kipindi cha miaka 10 iliyopita imetekeleza miradi mbalimbali ikiwemo daraja la Busisi- Kigongo, Ubungo interchange na ujenzi wa reli ya TAZARA.

“Kama tulivyofanya ujenzi wa TAZARA tutafanya hivyo hivyo kwa kujenga reli hii ya kisasa tukitumia raslimali zilizopo na kujenga mradi huu kwa wakati na kwa viwango vya kimataifa.” Alisema Mhandisi Yigao

Mwisho


Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JANUARI 9,2021





















Share:

WHATSAPP NA FACEBOOK ZAWALAZIMISHA WATUMIAJI KUTUMA MAELEZO YAO BINAFSI


WhatsApp inawalazimisha watumiaji wake kukubali iwasilishe maelezo yao binafsi kwa Facebook ikiwa wanataka kuendelea kutumia huduma hiyo.

Kampuni hilo inawaonya watumiaji kupitia taarifa zinazotolewa kwenye simu zao zinazosema "unahitajika kuruhusu agizo hili ili kuendelea kutumia WhatsApp" - au wafute akaunti zao.

Lakini Facebook, ambayo inamiliki WhatsApp, imesema watumiaji wa mtandao huo waliopo Ulaya na Uingereza hawataathiriwa na muongozo huo na watahitajika kukubali masharti mapya.

Hatua hiyo imeungwa mkono na baadhi ya watu wakisema ni ushindi kwa wasimamizi wa faragha wa EU.

Muda wa mwisho wakukubali mabadiliko hayo mapya katika maeneo hayo ni Februari 8, na baada ya hapo "utahitajika kukubali agizo hilo ili kuendelea kutumia WhatsApp", kampuni hiyo ilisema katika taarifa zinazowasilishwa kwa watumiaji.

Sehemu ya sera ya faragha ya kimataifa ya awali ambayo ilikuwa inawasihi watumiaji kukubali maelezo yao kuwasilishwa kwa Facebook kwa hiari katika siku 30 za kwanza imeondolewa baada ya mabadiliko haya mapya kuanza kutekelezwa.

Badala ya katika maagizo ya hivi punde, watumiaji wanaelekezwa sehemu ya kutafuta msaada mtandaoni "ikiwa wangelipendelea kufuta akaunti zao".

Hatua hiyo imewafanya baadhi ya watu mitandaoni - akiwemo mwanzilishi wa Tesla na SpaceX Elon Musk- kutoa with kwawatumiaji wa mtandao huo kujiunga na huduma zingine za ujumbe wa faragha kama Signal na Telegram.

Kutojumuishwa kwa Ulaya

Awali kulikuwa na mkanganiyiko kuhusu jinsi ya hatua hiyo itawaathiri watumiaji wa Ulaya na Uingereza.

Muktasari wa ''maelezo muhimu'' ya mabadiliko hayo mapya yatajumuishwa na Facebook kimataifa - lakini hatua hiyo haijajumuishwa katika huduma sawa na hiyo kwa watumiaji wa mtandao huo yaliyopo Ulaya.

Baadaye Alhamisi, Facebook ilitoa taarifa ikisema kwamba mabadiliko hayo hayahusu" eneo la Ulaya" - ambayo inajumuisha EU, EEA na Uingereza baada ya -Brexit.

"Ili kuondoa shaka, katika mpango huu mpya WhatsApp haiwasilishi data ya watumiaji wake wa maeneo ya Ulaya kwa Facebook kwa lengo la Facebook kutumia data hiyo kujiimarisha au kwa ajili ya biashara" msemaji alisema.

Hata hivyo, toleo jipya la sera ya faragha kwa watumiaji wa Ulaya inasema wazi kuwa data inaweza kutumiwa na kampuni zingine za Facebook kuonesha matangazo ya kibinafsi na ofa, kutoa maoni kuhusu maudhui na ''kusaidia'' katika kukamilisha mauzo miongoni mwa sababu zingine.

Facebook inasema haitumii maelezo ya WhatsApp kwa sababu kama hizo za Ulaya, kwa sababu ya mazungumzo iliyofanya na mashirika ya kulinda usalama wa maelezo binafsi.

Wengine walisifia hatua hiyo kuchangia ufanisi wa kimaendeleo kutokana na masharti makali yaliyobuniwa kuhusu faragha ya mtu binafsi katika miaka ya hivi karibuni.

Facebook inajipatia haki ya kufikia data zetu zote za WhatsApp isipokuwa…. Kwa wale wanaoishi EU.

"Ndio maana ulinzi wa data ni muhimu."

Ni maelezo gani yanayokusanywa?
Maelezo ya aina ya data inayokusanywa na WhatsApp - na ambayo sasa inawasilishwa kwa Facebook na ambayo haijumuishi watumiaji wa Ulaya - hufichwa katika hati rasmi zinazounda sheria na sera ya faragha.

Katika ujumbe wa maswali na majibu WhatsApp ilisema inashirikisha habari ya watumiaji wake na kampuni zingine za Facebook, ikiwa ni pamoja na:

•Nambari ya simu na maelezo mengine yanayotolewa wakati wa usajili (kama vile jina)

•Maelezo kuhusu simu yako, ikiwemo aina ya simu na kampuni ya simu

•Anuani ambayo inaonesha mahali pa unganisho lako la mtandao

•malipo yoyote na shughuli za kifedha zilizofanywa kupitia WhatsApp

Lakini pia ilisema kuwa huenda ikashirika data inayojumuishwa katika sera yake ya faragha - ambayo inaweza kujumuisha anwani, taarifa mpya za mtumiaji (status updates), wakati watu wanatumia WhatsApp na kwa muda gani, na nambari za kipekee za kutambua simu za watumiaji.

Facebook haijajibu ombi la kutaka ifafanue kwa nini iliamua kufanya ghafla mabadiliko hayo.

 CHANZO - BBC SWAHILI
Share:

YANGA YAICHAPA NAMUNGO FC BAO 1-0 MICHUANO YA MAPINDUZI CUP


Baada ya kutoka sare katika mechi ya kwanza Yanga imefanikiwa kutoka na pointi tatu muhimu dhidi ya Namungo katika michuano ya Mapinduzi Cup yanayoendelea Visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Namungo bao 1-0.

Bao la pekee la Yanga liliwekwa kimyani na Kiungo wao Zawadi Mauya mnamo dakika ya 24 ya mchezo.

Yanga ilifanya mabidiliko kadhaa ya wachezaji na kuwapumzisha wachezaji ambao walianza katika mchezo wa kwanza wa mashindano hayo.

Via Fullshangwe blog

Share:

Friday, 8 January 2021

Trafik akamatwa kwa kuomba rushwa ya ngono akamailieshe uchunguzi


Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kilimanjaro inamshikilia Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Peter Albert Moshi kwa tuhuma za kuomba Rushwa ya Ngono.

Askari huyo alikuwa akichunguza ajali ya pikipiki ambayo ilimgonga mtoto na kusababisha kuvunjika mkono. Aliomba Rushwa Ngono kwa mama wa mtoto ili aweze kukamilisha Taarifa za Uchunguzi.

Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro, Frida Wikesi amesema, askari huyo amekamatwa Januari 6 akiwa nyumba ya kulala wageni maeneo ya Soweto Mjini Moshi.

Uchunguzi wa TAKUKURU umebaini kuwa, Peter alimsumbua mama wa mtoto kwa muda mrefu na hivyo kusababisha shauri kuchelewa hali iliyopelekea mama huyo kupeleka malalamiko na wakaweka mtego wa kumkamata.


Share:

TAMISEMI KUSHIRIKIANA NA SHIRIKA LA AGRI THAMANI


Mhe Neema Lugangira (Mb) akiwasilisha Mada kwa Washiriki wa  Bukoba DC wakati wa utoaji wa elimu ya lishe bora wa shirika hilo kwa Viongozi wa makundi mbalimbali kama sehemu ya kuhakikisha malengo ya Lishe yaliyowekwa kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 yanatekelezwa.
Mwita Waibe, Mratibu wa Lishe OR TAMISEMI akisisitiza umuhimu wa Ajenda ya Lishe kwa Washiriki, Bukoba DC
Madiwani na Viongozi wa UWT wakifuatilia kwa karibu Mafunzo ya Lishe Bora


Mhe Neema Lugangira (Mb) akimpokea Mhe Murshid Ngeze, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Vijijini alipowasilini kwenye Mkutano. Mwenyekiti aliambatana na Afisa Lishe Wilaya aliyevaa shati yenye mistari

 

NA MWANDISHI WETU,BUKOBA

 

MRATIBU wa Lishe kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Dodoma Mwita Waibe amesema watahakikisha wanashirikiana na Shirika la Agri Thamani ambalo limekuwa likitoa elimu ya umuhimu wa lishe bora na athari zake endapo hazitatiliwa mkazo ili kuweza kuibadilisha jamii husika.

 

Mwita aliyasema hayo wakati wa utoaji wa elimu ya lishe bora wa shirika hilo kwa Viongozi wa makundi mbalimbali kama sehemu ya kuhakikisha malengo ya Lishe yaliyowekwa kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 yanatekelezwa. 

 

 Alisema Ofisi ya Rais TAMISEMI imekuwa ikishirikiana kwa karibu na Agri Thamani kuhakikisha elimu hiyo inawafikia wananchi huku akiwapongeza sana Agri Thamani kwa kazi kubwa ambayo wamekuwa wakiifanya kuhakikisha elimu ya Lishe Bora inafika ngazi ya jamii ambapo ndio haswa kazi kubwa ilipo. 

 

Elimu hiyo ambayo imekuwa chachu kubwa imeweza kuwafikia madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Mjini wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ambao wamenufaika na semina hiyo hususan katika vipengele vya mikataba ya lishe iliyosainiwa kuanzia ngazi ya mkoa hadi kijiji,

 

“Lakini pia bajeti za lishe na sasa malengo ambayo CCM imejiwekea kwenye Ilani ya Uchaguzi ambayo kimsingi wanajukumu la moja kwa moja kuhakikisha utekelezaji wake unakuwa na mafanikio makubwa kwa jamiii husika”Alisema

 

AWALI Afisa Lishe wa Wilaya ya Bukoba Vijijini Desdery Karugaba,  amewashukuru Agri Thamani kwa kuandaa Semina hiyo ambayo sasa inakwenda kuongeza kasi  ya jitihada za kutokomeza udumavu na utapiamlo kwa ujumla wilayani hapo. 

 

“Kwa kweli niseme kwamba semina hii itakuwa chachu kubwa ya kuweza kuongeza jitihada za kutokomeza udumavu na utapiamlo kwa ujumla kwa wilayani hapo”Alisema

 

Naye kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Murshid Ngeze alisema kwamba wao kama Halmashauri wanaelekeza ajenda ya Lishe Bora iwe ya Vitendo na kuahidi matokeo yataonekana maana ni lazima kama Halmashauri wawe mstari wa mbele kuikoa rasilimali watu. 

 

Hata hivyo Mhe Mbunge Neema Lugangira ambaye pia ni Mkurugenzi wa Agri Thamani amesema kwa kuanzia semina hizi zimeshafanyika Dodoma na hivi sasa zinaendelea mkoani Kagera na zitafanyika Tanga na Kigoma.

 

"Dhamira yangu binafsi ni kuiona Ajenda ya Lishe inakuwa ajenda ya kila Mtanzania na kila mtu kwa nafasi yake anakuwa sehemu ya kuchangia kutokomeza udumavu kuanzia ngazi ya jamii inayotuzunguka", Mhe Neema Lugangira alimalizia


Share:

RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE YA CHINA WANG YI CHATO GEITA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mjumbe wa Baraza la Taifa na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mjumbe wa Baraza la Taifa na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi kabla ya kuanza mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita leo tarehe 08 Januari 2021. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia utiaji Saini wa mkataba wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyangakm 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC kupitia Mkurugenzi wake Mkuu Masanja Kungu Kadogosa na Ubia wa Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC kupitia Mtendaji Mkuu wa CCECC Zhang Junle katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita leo tarehe 08 Januari 2021. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia utiaji Saini wa mkataba wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyangakm 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC kupitia Mkurugenzi wake Mkuu Masanja Kungu Kadogosa na Ubia wa Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC kupitia Mtendaji Mkuu wa CCECC Zhang Junle katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita leo tarehe 08 Januari 2021. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mjumbe wa Baraza la Taifa na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi wakati akizungumza mara baada ya utiaji saini wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga km 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC na Ubia wa Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita leo tarehe 08 Januari 2021. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada ya kushuhudia utiaji saini wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga km 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC na Ubia wa Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita leo tarehe 08 Januari 2021. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada ya kushuhudia utiaji saini wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga km 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC na Ubia wa Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita leo tarehe 08 Januari 2021. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi mara baada ya kuzungumza na wageni mbalimbali katika hafla fupi ya utiaji saini wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga km 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC na Ubia wa Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi mara baada ya kuzungumza na wageni mbalimbali katika hafla fupi ya utiaji saini wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga km 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC na Ubia wa Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi, Balozi wa China Wang Ke pamoja na Ujumbe wa kutoka China, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi pamoja na Ujumbe wa Tanzania mara baada ya hafla fupi ya utiaji saini wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga km 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC na Ubia wa Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC. 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi wakati wakielekea kupata chakula cha mchana katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita leo tarehe 08 Januari 2021. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akinunua bidhaa mbalimbali za wajasiriamaliwadogowadogowamachinga na kuwapa zawadi Waandishi wa Habari waliokuwepo katika ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi, Chato mkoani Geita. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo kuhusu zawadi ya Kinyago cha mti wa Mpingo kwaMjumbe wa Baraza la Taifa na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi ili akiwasilishe kwa Rais wa China Xi Jinping mara baada ya Waziri huyo kumaliza ziara yake hapa nchini. 
***
Pamoja na ushirikiano uliopo kwenye sekta nyingine ikiwemo sekta ya miundombinu, uhusianobaina ya Tanzania na China umezidi kuimarika zaidi katika sekta ya TEHAMA. Kupitia kampuni ya Huawei, China imekuwa ikishirikiana na Tanzania katika kufanikishamiradi mbalimbali inayolenga kuboresha sekta ya TEHAMA sambamba na kukuza na kuibua vipaji vya sekta hiyo muhimu hapa nchini.

Matunda ya ushirikiano huo yalijidhihirisha hivi karibuni ambapo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alikabidhi tuzo kwa washindi washindano la TEHAMA duniani lililoandaliwa na kampuni ya Huawei ambapo wanafunzikutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walishika nafasi ya pili Ulimwenguni.

Share:

FULL POWER, ZATI 50 NI KIBOKO YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA UUME MDOGO



Sababu za upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume:


⇒Ngiri,

⇒Henia

⇒Kisukari

⇒Tumbo kujaa gesi

⇒Kutopata choo vizuri

⇒Utumiaji madawa kwa muda mrefu

⇒Unywaji wa pombe kupita kiasi

⇒Msongo wa mawazo 



⇮⇒Haya yote hupelekea mwili kutokuzalisha homoni ya gesrtogine au kuwa chache na kushindwa kupata mzunguko mzuri wa damu na vichocheo vingine kama madini ya zinki ambayo hukufanya kuwa na msisimko  na kufanya kuwa na muda  mrefu na nguvu za kutosha.



FULL POWER



⇨Ni dawa ya vidonge ya miti shamba inaongeza nguvu za kiume na kutibu kabisa tatizo hilo.



⇨Inaongeza hamu ya tendo la ndoa

⇨Inakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya Dakika 30 na kurudia tendo zaidi ya mara nne na zaidi.

Zati 50


⇨ Inarutubisha maumbile ya uume  na kunenepesha urefu nchi 6,unene sentimita 4


⇨Dawa hii ni ya kutibu kabisa tatizo hilo.



Pia tunatibu Magonjwa mengine Kama



Matatizo ya pumu,Bawasiri, vidonga vya tumbo,Kisukari,Magonjwa sugu ya zinaa,Kaswende,U.T.I , kiuno,miguu kuwaka moto, Fangasi sehemu za Siri, kupunguza unene wa mwili,tumbo kuunguruma,kujaa gesi, matatizo ya uzazi kwa wanawake, kurutubisha mbegu za uzazi kwa akina baba, matatizo ya meno tunatibu bila kungoa

Kliniki yetu inapatikana Zanzibar, Dar es salaam na Shinyanga.

Wasiliana nasi kwa simu namba 071770 22 27
Share:

LIVE​: Rais Magufuli Akishuhudia Utiliaji Saini Wa Ujenzi Wa Reli Ya Kisasa SGR Mwanza-isaka


LIVE​: Rais Magufuli Akishuhudia Utiliaji Saini Wa Ujenzi Wa Reli Ya Kisasa SGR   Mwanza-isaka


Share:

Naibu Waziri Bashe Aagiza Takukuru Kuanza Uchunguzi Wa Upotevu Wa Milioni 150 Za AMCOS Ya Chabuma


Naibu Waziri Kilimo Hussein Bashe  ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Chamwino kuanza mara moja uchunguzi dhidi ya Viongozi wa Chama cha Ushirika wa Wakulima wa Zabibu (CHABUMA AMCOS) katika wilaya hiyo; Waliochukua fedha kiasi cha shilingi milioni 150 ambazo zimetumika kinyume cha utaratibu.

Naibu Waziri Bashe amefika katika kijiji cha Buigili na kufanya mazungumzo na Wawakilishi wa Wakulima waliokusanyika katika shamba lao la zabubu katika kijiji cha Mwegamile kata ya Buigili halmashauri ya wilaya ya Chamwino ambapo amemwagiza Mwakilishi wa Kamanda wa TAKUKURU Chamwino kuchukua hatua stahiki baada ya kuelezwa kilio hicho na Wakulima hao.

“Mhe. Mkuu wa wilaya; Naomba uchukue hatua na kwakuwa Mwakilishi wa Kamanda wa TAKUKURU Chamwino yupo hapa. Hawa Viongozi wachunguzwe na hatua stahiki zichukuliwe. Tuziapate fedha za Wakulima wetu kiasi cha shilingi milioni 150.” Amekaririwa Naibu Waziri Bashe.

Wakulima hao wamemwambia Waziri Bashe kuwa CHABUMA AMCOS ilipokea fedha hizo kutoka kwa Kampuni ya ARCO Vintage mwaka 2020 kwa lengo la kuboresha miundombinu ya sehemu ya shamba hilo ili Kampuni hiyo iendelee kununua shehena ya zabibu kutoka katika shamba la Wakulima hao lakini kinyume na utaratibu Viongozi hao walitumia fedha hizo kwa mambo mengine.

CHABUMA AMCOS ni Ushirika wa Wakulima zaidi ya 961 ambapo imeelezwa kuwa kuanzia mwaka 2010 kwa hiari yao walianzisha shamba la zabibu lenye ukubwa wa hekari 296 ambapo walipata mkopo wa bilioni 1.5 kwa ajili ya kujenga miundombinu ya umwagiliaji pamoja na uwekezaji mwengine ambapo ulichangia shamba hilo kufikia uzalishaji wa juu wa zao la zabibu mwaka 2013 kiasi cha tani 600.

Tangu mwaka 2017 uzalishaji wa zabibu katika shamba hilo uliendelea kushuka na kusababisha Wakulima kutelekeza mashamba yao na kusababisha uzalishaji kusimama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo adhabu ya riba kutoka Benki ya CRDB kuendelea kuongezeka, kupungua kwa mapato kwa Wakulima pamoja na kukosekana kwa uongozi thabiti pamoja na usimamizi duni.

Katika kukabiliana na hali hiyo Naibu Waziri Bashe ametoa maelekezo kadhaa ili kurejesha hali ya uzalishaji katika shamba hilo.

Naibu Waziri Bashe amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Umwagiliaji kupeleka Wahandisi kuanzia kesho tarehe 8 Januari, 2021 ili washirikiane na Wahandisi wa halmashauri ya Chamwino kufanya tathmini ya gharama ya miundombinu ya umwagiliaji na kuiwasilisha mara moja kwake.

Agizo lingine ni Timu hiyo ya Wahandisi kufanya tathimini kama Mradi huo huo unaweza kutumia nishati ya jua (Solar system) katika kuendesha mashine za kuvuta maji yanayotumika katika kilimo cha umwagiaji katika shamba hilo.

Waziri Bashe ameagiza kila Mkulima ahakikishe anasafisha kipande cha shamba lake ndani ya shamba hilo; Kazi hiyo inatakiwa kukamila ndani ya siku thelathini kuanzia leo (Tarehe 7 Januari, 2021).

Taasisi ya Utafiti wa Mazao ya Kilimo (TARI) imeagizwa kufanya tathmini ya idadi kamili ya miche ambayo itahitaji kwa ajili ya kupandwa baada ya sehemu kubwa ya miche mingi kufa na wakati huohuo TARI inatakiwa kuanzisha kitalu cha miche ya zabibu ambapo miche hiyo itatolewa bure kwa Wakulima wenye uhitaji wa miche hiyo.

Mhe. Bashe amemtaka Mkuu wa wilaya kufanya mawasiliano na Meneja wa Shirika la Ugavi wa Nishati ya Umeme (TANESCO) wilaya ya Chamwino kurejesha huduma umeme katika shamba hilo kwa kuweka ‘transformer’ kama ilivyokuwa awali.

Agizo lingine ni Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika kuanda mafunzo ya namna ya kuendesha Ushirika imara na endelevu kwa Wakulima wa CHABUMA AMCOS ndani ya siku thelasini kuanzia(Tarehe 7 Januari, 2021).


Share:

Deputy Project Manager at Good Neighbors

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Overview Good Neighbors is an international humanitarian development NGO founded in Korea in 1991. It was granted General Consultative Status from the United Nations Economic and Social Council (UN ECOSOC). The aim is to make the world a place without hunger, where people live together in harmony. In Tanzania it was officially established on 2005 and […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Maternal & Child Health Specialist at UNICEF

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Job no: 535967 Contract type: Temporary Appointment Level: NO-4 Location: Tanzania, Uni. Re Categories: NO-4 UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged in order children to save their lives, to defend their right and to help them fulfill their potential. Across 190 countries and territories, we work for every child, everywhere, every […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Fecal Sludge Management Technical Specialist at Tetra Tech International

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Tetra Tech International Development Services (https://ift.tt/1JGwAiR) headquartered in Arlington, VA is currently accepting expressions of interest from qualified candidates for a potential Fecal Sludge Management Technical Specialist position on an anticipated U.S. Agency for International Development (USAID)-funded project in Tanzania. The Activity is anticipated to be a five-year contract to expand the provision and governance […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Youth Officer at Restless Development

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Youth Officer – Tanzania Details Salary: Paid 14,251,668 Location: Tanzania Recommended: About the Programme. The 2021 Generation Equality Forum (GEF) will be a global advocacy gathering in Mexico City and Paris, launching ambitious new commitments on gender equality to galvanize the Beijing+25 Process. Young feminists are at the frontline of shaping gender rights and equality today. With this in […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger