
Viwanja Vikubwa Vinauzwa: Mapinga na Bunju
Mapinga, mpani na Bunju, vipo viwanja vya bei zifuatazo:
Mita 20/20 ni tsh 5 mil,
Mita 20/30 ni tsh 7 mil,
Mita 20/40 ni tsh 10 mil,
Robo eka ni tsh 12 mil,
Nusu eka ni tsh 22 mil,
Eka moja ni tsh 42 mil
Kwa Bunju, viwanja vipo mtaa wa Fanaka (Bunju A)...