Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru) mjini Dodoma imemkamata mratibu wa mradi wa Belgian Fund for Food Security (BFFS) Wilaya ya Bahi, Emmanuel Mziwanda (62) kwa tuhuma za kuisababisha Serikali hasara ya Sh15 milioni.
Mkuu wa taasisi hiyo mjini humo, Sosthenes Kibwengo akizungumza...
Na Ismail Ngayonga,MAELEZO
KILIMO ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania, hii ni kutokana na ukweli kuwa sekta hii huzalisha nusu ya uchumi wa nchi, robo tatu ya mazao yote yanayouzwa nje ya nchi na ni tegemezi la chakula na kutoa ajira ya karibu asilimia 80 ya Watanzania.
Hata hivyo kwa kipindi...
Na Salvatory Ntandu - Malunde 1 blog
Zaidi ya mbwa na paka 890 wamepewa chanjo dhidi ya kuzuia kichaa cha mbwa wilayani kahama mkoani Shinyanga katika zoezi maalumu la chanjo hiyo inayotolewa bure na shirika la kuhudumia wanyama Tanazania (TAPO).
Akizungumza katika Maadhidhimisho ya siku ya kichaa...
Painter The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the positions below. Position Title: Painter Vacancy Number: DaresSalaam-2019-038 A copy of the complete position description listing all duties, responsibilities and qualifications required is available at: https://ift.tt/2p6reJy We Also Recommend you to Read: Top Scholarships 2019-2020 Career...
Mason The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the positions below. Position Title: Mason Vacancy Number: DaresSalaam-2019-037 A copy of the complete position description listing all duties, responsibilities and qualifications required is available at: https://ift.tt/2p6reJy HOW TO APPLY: Applicants MUST follow instructions in the notice on the website:...
Faith-Based Community Outreach Coordinator Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to address public health priorities of the people of Tanzania and the world at large. These priorities include: communicable diseases such as HIV/AIDS, Tuberculosis and Malaria; Reproductive, Maternal, New-born and Child...
Finance and Administrative Officer Tabora, Tanzani PROGRAM SUMMARY: The ARISE program is a high-quality, results-oriented program to prevent and help eliminate child labor through improved awareness of the hazards of child labor, greater livelihoods opportunities for vulnerable households, and improved access to education for children and youth. The position has an anticipated start date of...
Na Munir Shemweta, MAFIA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameagiza kupatiwa majina ya watumishi saba wa sekta ya ardhi awaliopangiwa kuhamia halmashauri ya wilaya ya Mafia mkoani Pwani lakini wameshindwa kuripoti katika kituo chao kipya cha kazi.
Dkt Mabula...
Na Faustine Gimu
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi) SELEMANI JAFO amewataka wakuu wa shule za msingi kutojihusisha na suala la udanganyifu wa mitihani kwa kuwa linaporomosha elimu ya Tanzania.
Waziri Jafo ametoa agizo hilo jana...
Na Felix Mwagara, MOHA-Katavi
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ameliagiza Jeshi la Polisi Mkoani Katavi, kuwahamisha askari wote wa Kituo cha Polisi Majimoto kutokana na tuhuma mbalimbali zinazowakabili askari hao.
Waziri Lugola alitoa agizo hilo jana kwenye mkutano wa hadhara uliohudhuriwa...
Mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha
Na Salvatory Ntandu - Malunde 1 blog
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetoa onyo kwa wamiliki wa baa na kumbi za starehe za usiku ambazo zipo katikati ya makazi ya watu ambazo zinapiga muziki kwa sauti ya juu sambamba na kuzifungia kwa kukiuka sheria...
Na Adelina Ernest - Malunde 1 blog
Waziri wa mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola ametoa siku saba kwa Polisi Mkoa wa Katavi kuwahamisha askari wote wa kituo cha Polisi Majimoto kwa madai kushindwa kushugulikia kutatua kero za wananchi pamoja na kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Lugola alitoa...
Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba (TMDA) inaendesha mafunzo maalum ya siku tano kwa wakaguzi wa dawa wa Halmashauri za Mkoa wa Pwani yanayoendana na kuzingatia maadili, uweledi pamoja na uelewa wa kanuni na sheria ikiwemo suala la usimamizi wa dawa zenye asili ya kulevya ili kuhakikisha...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameongeza siku 7 zingine kwa watuhumiwa wa makosa ya Uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha, kuendelea kuwasilisha maombi ya kuomba radhi kwa Mkurugenzi wa mashtaka (DPP),ili waweze kusamehewa na kuachiwa huru.
Maamuzi hayo ameyatoa...