
Tuesday, 15 January 2019
RAIS BONGO AREJEA NCHINI BAADA YA JARIBIO LA MAPINDUZI

BODI YA MIKOPO HESLB YATANGAZA NJIA MPYA KWA WANAODAIWA MIKOPO

WAZIRI LUKUVI ATOA HATI MILIKI ZA KIMILA KWA WANANCHI WA KIJIJI CHA MAPOGOLO
MPIRA WA KOMBE LA DUNIA WASHINDANISHWA NA YAI

NDEFU ZAIDI DUNIANI ‘AIRLANDER 10’ NDEGE YAPATA KIBALI CHA KUANZA MATENGENEZO

Sampuli ya awali ya Airlander iikiwa katika majaribio
Airlander 10 baada ya kuanguka Novemba 18, 2017 wakati wa safari ya majaribioMASHAHIDI 15 KUTOA USHAHIDI KESI YA UCHOCHEZI INAYOMKABILI ZITTO KABWE
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam inatarajia kuanza kusikiliza ushahidi wa mashahidi 15 katika kesi ya uchochezi na kusababisha chuki ndani ya jamii inayomkabili Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo).NDEGE YAANGUKA NA KUUA WATU 15
Watu 15 kati ya 16 wamekufa baada ya ndege ya mizigo kuanguka magharibi mwa mji mkuu wa Iran jana kufuatia haliDEREVA ALIYEPIGANA NA TRAFIKI WATATU AFIKISHWA MAHAKAMANI
Jeshi la Polisi mkoani Songwe limemfikisha mahakamani dereva Mawazo Jairos (29) kwa kosa la kupigana na askari watatu wa Kikosi cha Usalama Barabarani.BILIONI 18 KUKARABATI UWANJA WA NDEGE WA SONGWE
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe mkoani Mbeya, unatarajia kutumia Sh bilioni 18 kwa ajili ya ukarabati mkubwa.POLISI SONGWE: DEREVA HAKUPIGWA NA TRAFIC WATATU..WALIKUWA WANAMDHIBITI.
TETESI ZA SOKA ULAYA JAN 15,2019
Alvaro Morata alijitosa katika soka ya kimataifa mnamo 2014MBUNGE WA CHADEMA AMPIGIA NGOMA NDOGO YA URAIS TUNDU LISSU.
MWEKEZAJI KUTOKA KOREA KUSINI AMEAHIDI KUJENGA KITUO CHA AFYA KATIKA KIJIJI CHA KAZINGATI WILAYANI NGARA.
HABARI KUBWA KWENYE MAGAZETI YA TANZANIA LEO JANUARI 15,2019.
NACTE: March-Application Window 2019 Now Open
NACTE: March-Application Window 2019
The National Council for Technical Education (NACTE) is a corporate body established by the National Council for Technical Education Act, 1997 (Act No. 9 of 1997). The Act provides a legal framework for the Council to coordinate provision of technical education and training and establish an efficient national qualifications system that will ensure that products from technical institutions are of high quality and respond to changing needs as well as technological innovations in the world.
NACTE: March-Application Window 2019
The post NACTE: March-Application Window 2019 Now Open appeared first on Udahiliportal.com.
NACTE how to apply for diploma or certificate programs via NACTE or any Training Institution for 2018/19 acamic year
READ ALSO :NACTE : list of institutions allowed to admit new students for Health and Allied Sciences programmes
Carefully Read the NACTE admission guidebook for the Category/Profession you wish to apply.
DOWNLOAD: NACTE 2017/18 admission guidebooks Compiled Full PDF Download
Prepare your Application fee (Nonrefundable):
Prepare the following things Before initializing the application process
- Valid Phone Number, Valid and Working Email Address, for receiving your login password and other important updates
- Payment M-pesa Confirmation Code (For NOVAS applicants)
- Your form four /form six index number
Start your registration:
- If this is your first time click here to start your application.
- If you are already registered please click here
Qualifications Overview
IMPORTANT
PLEASE DONT MISS THIS
The post NACTE how to apply for diploma or certificate programs via NACTE or any Training Institution for 2018/19 acamic year appeared first on Udahiliportal.com.




Chelsea itaomba £100 kwa Eden Hazard kujiunga na Real Madrid,
