Friday, 23 September 2016

Rais Magufuli ateua viongozi wa juu wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL)

Share:

HIZI HAPA KURASA ZA NDANI ZA MAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPTEMBER 23 2016

1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPTEMBER TAREHE 23.9.2016




Share:

Thursday, 22 September 2016

Bodi ya vyombo vya habari vya CCM - gazeti la Uhuru publishers yajiuzulu

upload_2016-9-22_15-22-53.png
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI 337 WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU ARUSHA UNIVERSITY 2016/2017

Share:

UDOM:APPLICANTS SELECTED FOR ADMISSION INTO PhD DEGREE PROGRAMMES

 Logo

APPLICANTS SELECTED FOR ADMISSION INTO PhD DEGREE PROGRAMMES

The University of Dodoma (UDOM) wishes to announce the names of candidates selected for admission into various PhD programmes for the academic year 2016/17.
Admission letters for successful candidates are available in UDOM Graduate studies offices at the main administration building, Office No. 124, Third Floor.
For enquiries please visit UDOM Graduate studies offices at the main administration building, Office No. 131,Third Floor or send email through udomgsce@yahoo.com

List of Successful PhD Applicants 2016-2017 BATCH II
Share:

MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA SELECTION YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017



Image result for TCU.GO
Habari yako,

Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa
Share:

Majina ya waliofariki katika ajali iliyohusisha basi la Super Shem na Hiace jijini Mwanza


WATU 13 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la Super Shem lenye namba za usajili T 874 CWE lililokuwa likitokea Mbeya kuelekea Mwanza na Hiace yenye namba T 368 CWQ iliyokuwa ikitoka Jijini Mwanza kuelekea Wilaya ya Kwimba.

Katika ajali hiyo mfanyabaishara ndogo ndogo maarufu machinga, Peter Tobari, aliokoa maisha ya abiria zaidi ya 30 na kumsaidia dereva wa basi la Super Shem ambaye alikuwa amekandamizwa miguu na basi hilo baada ya kugongana na Hiace.

Ajali hiyo imetokea siku mbili baada ya ile ya basi la Kampuni ya New force iliyotokea mkoani Njombe  ikihusisha basi lenye namba T 429 DEU lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Songea mkoani Ruvuma, ambapo watu 12 walifariki dunia na wengine 28 kujeruhiwa vibaya. Katika ajali ya Mwanza, gari dogo aina ya Hiace liligongana uso kwa uso na basi la Super Shem na kusababisha vifo hivyo na wengine 10 kujeruhi.

Ajali hiyo imetokea umbali wa mita 200 kutoka kituo kidogo cha mabasi cha Hungumalwa njia panda ya Shelui na Mwamashimba katika Kijiji cha Mwamaya wilayani Kwimba mkoani Mwanza. Ilielezwa katika tukio hilo, dereva wa Hiace aliingia barabara kuu ya Mwanza-Shinyanga bila kuchukua hadhari na hivyo kukutana na basi hilo.

Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi alisema baada ya ajali hiyo watu 10 walikufa papo hapo na wengine 11 kujeruhiwa, ambapo mmoja alifariki dunia akiwa njiani akipelekwa Hospitali ya Wilaya ya Kwimba na wawili walifariki dunia wakati wakipelekwa Hospitali ya Wilaya ya Misungwi kwa matibabu zaidi.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Kwimba, Dk. Bethod Nchemba, akizungumzia ajali hiyo alisema walipokea  majeruhi 10  wakiwemo wanaume na wanawake watano ambapo mmmoja alikuwa na hali mbaya  na alifariki akiwa mapokezi wakati akiendelea kupewa huduma.

Aliwataja waliofariki dunia kuwa ni Monica Shija, Christina Costantine, Theresia Majenga wote wakiwa wakazi wa Kijiji cha Gulumwa wilayani Kwimba, Lwinzi Kope mkazi wa Kijiji cha Chaselwe, Mabula Magi wa Rukwa, Isaya Deogratius mkazi wa Mbande, Moses Kamel wa Kijiji cha Bupamwadomu, George Ndila mkazi wa Sangu, Kondakta wa hiace aliyefahamika kwa jina moja la Poni pamoja na mtu mmoja mwanaume, mama mmoja na mtoto ambao hawajafahamika wote wakiwa ni abira wa Hiace.

Alisema  majeruhi watatu wanaendelea vizuri na matibabu katika hospitali hiyo na miili tisa kati ya 11 imeshatambuliwa isipokuwa mwili wa mama mmoja na mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 5 na majeruhi sita wamelazimika kuhamishiwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando kwa matibabu zaidi.
Share:

Wednesday, 21 September 2016

New AUDIO | Saida Kaloli - TETEMEKO LA ARDHI | Download

Share:

NACTE:TANGAZO NAFASI ZA KAZI,OMBA FASTA KAMA UNA SIFA

NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION
(NACTE)

 ADVERTISEMENT OF JOB VACANCY FOR THE POST OF EXECUTIVE SECRETARY OF THE COUNCIL


1.0     ORGANIZATION PROFILE

The National Council for Technical Education (NACTE)
Share:

MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA SELECTION YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017



Image result for TCU.GO
Habari yako,

Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa
Share:

MPYA:AJALI NYINGINE YA LORI-FUSO NA GARI NDOGO YATOKEA HUKO NYORORO-IRINGA ,IMEUA WATU WANNE



Watu wanne wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Fuso kugongana uso
Share:

LATE APPLICANTS SELECTED FOR ADMISSION INTO GRADUATE DEGREE PROGRAMMES – ACADEMIC YEAR 2016/17

Logo


The University of Dodoma (UDOM) wishes to announce the names of candidates selected for admission into various graduate programmes for the academic year 2016/17 which starts on October, 2016.
Share:

MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA SELECTION YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017



Image result for TCU.GO
Habari yako,

Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa
Share:

Aliyemuua Trafiki Afikishwa Mahakamani

Share:


Mkazi wa Mbezi Africana Dar es Salaam, Amani Elikana (32), amefikishwa   katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni akituhumiwa kumuua Askari wa Usalama Barabarani, Sajenti Mensali wa Kituo cha Polisi Mabatini – Kijitonyama.

Akisoma hati ya mashtaka jana mbele ya Hakimu, Caroline Kiliwa, Wakili wa Serikali, Amani Mghamba alidai  mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Julai 22 mwaka huu eneo la Kijitonyama.

“Mtuhumiwa inadaiwa kwamba siku hiyo kwa makusudi  ulimuua askari mwenye namba D. 8254 Sajenti Mensali kinyume cha sheria ya Jamhuri ya Muungano,” alidai Mghamba.

Hakimu Kiliwa alisema mtuhumiwa hapaswi kujibu kitu chochote kwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo hivyo shtaka hilo liliahirishwa  hadi Oktoba 4 mwaka huu litakapotajwa tena.
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOOMBA KUPITIA DIPLOMA (NACTE) ,WALIOCHAGULIWA DIGRII CHUO KIKUU MUM 2016/2017

Image result for MUM.AC.TZ
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger