Monday, 1 February 2016

Diamond ashinda tuzo mbili Uganda

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Hii ni orodha kamili ya washindi Best Audio Producer Dr Fizol Best Video Producer Savy Films – Sasha Vybz Best Songwriter Moses Radio Best Hip Hop Song Kigozi (Iko Hivi) by Navio Best RnB Song Linda by Rema and Chris Evans Best Ragga Dancehall Song Friendly Match by Ziza Bafana & Zanie Brown Best Reggae Song Go Mama by Bebe Cool Best Religious Song Saum Kareem by...
Share:

Zari ahofia kuishi Bongo!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mwandani wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady. Stori: MUSA MATEJA, WIKIENDA Dar es Salaam: Ubuyu! Tumbuatumbua ya majipu ya Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ inadaiwa kumtisha mwandani wa Mwanamuziki Nasibu...
Share:

Serikali Yakataa Maombi Yote Ya Shule Binafsi Kupandisha Ada Mwaka Huu

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kamishna wa Elimu nchini amekataa maombi yote ya shule za msingi na sekondari zisizo za Serikali kupandisha ada katika mwaka huu wa masomo na ameagiza shule zilizopandisha ada kinyume cha tamko la Serikali kusitisha ada hizo mpya. Kutokana na uamuzi huo, Wizara...
Share:

Mkoa wa Dar es Salaam Kuwa na Wilaya 5

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Rais Dk. John Magufuli ameidhinisha kuwepo kwa wilaya tano katika jiji la Dar es Salaam, badala ya tatu zilizokuwepo awali, ili kuleta maendeleo ya haraka hususan katika elimu.  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki, alisema juzi kuwa, waliwasilisha ombi...
Share:

Jaji Mkuu: Maharti ya Dhamana Mahakama za Mwanzo Kupunguzwa

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Jaji mkuu wa Tanzania Mh. Mohamed Othman Chande amesema idara ya mahakama ipo katika mchakato wa kuangalia upya masharti ya dhamana yanayotolewa katika mahakama za mwanzo baada ya kubainika kuwa ni magumu hali inayochangia mlrundikano wa mahabusu katika magereza...
Share:

Askofu Mpya KKKT Aonya Utumbuaji MAJIPU.......Amtahadharisha Rais Kutumbua Majipu kwa Haki, Asema Bunge Halipaswi Kulindwa na Jeshi

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY (Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo (kulia) na Askofu Mkuu wa KKKT Mstaafu Alex Malasusa baada ya ibada ya kumuingiza kazini Askofu Shoo iliyofanyika kwenye Kanisa Kuu...
Share:

Mahakama Yashusha Rungu kwa Majangili,Yawapiga Kifungo cha Miaka 20 na Faini ya Milioni 270

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida, imewahukumu mtu na kaka yake, kutumikia kifungu cha miaka 20 kila mmoja na kulipa fidia ya sh. milioni 270, baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kukutwa na meno ya tembo, silaha na risasi kinyume cha sheria. Washitakiwa ...
Share:

Jini Mauti-20

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Nilisema huku nikilia mno. Hawakuniambia kitu chochote kile zaidi ya kuondoka. Katika kipindi chote hicho sikuwa nikijua kwamba bibi yangu aliniwekea jini mauti mwilini mwangu na kwamba kwa kila mwanaume ambaye ningefanya naye mapenzi ilikuwa ni lazima afariki dunia. Endelea…. Siku iliyofuata, nilikwenda shuleni kama kawaida, nilipofika, nikaanza...
Share:

Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-39

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ILIPOISHIA IJUMAA: “Basi wewe nenda.” Mlinzi akatoka. Mimi niliogopa kurudi chumbani, nikaenda kukaa sebuleni. Niliogopa kurudi chumbani kwa sababu nilijua mke wangu alikuwa akinisubiri anishambulie kwa maneno na ugomvi wake ungekuwa mkubwa. Pale sebuleni nilifungua TV, nikawa ninatizama taarifa mbalimbali za nje. Usingizi ulikuwa umeniruka.SASA ENDELEA… Wakati nimekaa...
Share:

Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-16

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA: “Mimi sijui,” alijibu baba Pilima. Alishaanza kuwa na wasiwasi sasa. Akashika simu na kuandika namba ya rafiki yake Juma wa Mbezi-Beach ili amuulize kisa cha kutoa namba yake kwamba anawajua wateja wa mbao wakati anajua yeye si mfanyabiashara. JIACHIE MWENYEWE SASA… Baba Pilima mwenyewe alitaka kumzuia, lakini moyoni akasema aache tu, ...
Share:

True Memories Of My life – 46

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Wiki iliyopita niliishia nilipokuwa nasema kuwa bunduki sizilaumu kwa uhalifu unaoendelea nchini, maana hazina uwezo wa kujifyatua, bali nalaumu mikono ya vijana wetu inayozigusa bunduki hizo na kufyatua! ninachoiomba serikali ya awamu ya tano ni kufanya kile kila kinachowezekana kutengeneza mazingira ya vijana kufanikiwa, tuendelee kubana matumizi, ufisadi lakini...
Share:

Namna ya kudumisha uhusiano wa mbali (Distance Relationship)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Karibu tena mpenzi msomaji wa XXLove kwa ajili ya mada nyingine murua inayozungumzia ‘Namna ya Kuweza Kudumisha Uhusiano wa Mbali wa Kimapenzi (Distance Relationship)’ kwa wapenzi wanaoishi mbalimbali. Ni sehemu ndogo sana ya wapenzi wanaoishi mbalimbali ambao hudumu...
Share:

Tofauti ya kuwa na virusi vya Ukimwi na kuwa na Ukimwi

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Wasomaji wengi wa safu hii wamekuwa wakiniuliza nini tofauti kati ya kuwa na virusi vya Ukimwi na mtu kuwa na Ukimwi.Ukweli ni kwamba kuna tofauti kati ya mtu mwenye virusi vya Ukimwi na yule ambaye ana Ukimwi, jambo ambalo wengi hawalijui. Mtu anapokuwa ameambukizwa...
Share:

The angel of darkness – 43

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Magaidi walioshambulia katika kituo kikubwa cha biashara cha Kikuyu Mall jijini Nairobi, Kenya wanasababisha vifo vya watu wengi, wakiwemo Joseph Ndaki, Meneja wa Benki Kuu ya Tanzania, Tawi la Dar es Salaam na mkewe, Asia Mustafa. Baada ya Watanzania hao kufa, wanawaacha yatima watoto wao mapacha, Arianna na Brianna ambao kila mmoja anapitia maisha ya tofauti kabisa...
Share:

Nelly Muosha Magari wa Posta-24

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale fundi Yassin alipomfahamisha Doreen kwamba kwa siku ile walimaliza kazi ndipo mtoto huyo wa kishua aliwapa pole akaingia ndani alikochukua bahasha ya khaki na kumkabidhi fundi huyo. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na chombezo hili lisiloisha utamu… Kwa vile alijua ulikuwa ‘mpunga’ wa maana, fundi Yassin alitabasamu na...
Share:

Wabogojo atoboa kwa kucheza kwenye maji China

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Athuman Ford ‘Wabogojo. Na Gabriel Ng’osha Nani amekwambia Mbongo hawezi kutengeneza fedha nchini China? Sasa sikia hii, Athuman Ford ‘Wabogojo’ au Wabo kwa Macau ni Mbongo mwenye kipaji cha kutumia mwili wake kwa kuukunja atakavyo. Aling’ara kwa mara ya kwanza katika...
Share:

magazeti ya leo jumatatu february tarehe 1/2/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger