Tuesday, 21 April 2015

HAYA HAPA MAJINA YA MAJAMBAZI WALIODAKWA DAR LEO --TAARIFA YA POLISI MUDA HUU,KUMBE NI WATUHUMIWA SUGU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


 
WATUHUMIWA SUGU WA KUPORA RAIA WA KIGENI NA AKINA MAMA KWA KUTUMIA GARI WANASWA NA POLISI DAR ES SALAAM
Share:

news:"ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO: BARCELONA VS PSG"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

MAJAMBAZI WAUWA WAWILI NA KUPORA PESA ZA KAMPUNI YA BONITE MOSHI

Mlinzi wa Kampuni ya Bonite, aliyetambulika kwa jina la Shamba baada ya kupigwa risasi na majambazi mjini Moshi.
Dereva wa Kampuni ya Bonite aliyetambulika kwa jina moja la Mselemu mara baada ya kushambuliwa kwa risasi na majambazi.
...wakiwa kwenye gari baada ya kushambuliwa kwa risasi na majambazi.
Mlinzi baada ya kuuawa na majambazi.
MAJAMBAZI yaliyokuwa na silaha yamevamia gari mali ya Kampuni ya Bonite na kuwamiminia risasi dereva wa gari hilo aliyetambulika kwa jina moja la Mselemu na mlinzi wa Kampuni hiyo aliyetambulika kwa jina la Shamba kisha kupora fedha na kutokomea kusikojulikana.
Tukio hilo limetokea jana mjini Moshi ambapo majambazi wanne waliokuwa kwenye pikipiki walivamia gari la Bonite lililokuwa likitoka kuchukua pesa za mauzo ya kampuni hiyo.
Taarifa zinadai kuwa dereva na mlinzi wa gari lililoshambuliwa walifariki palepale kutokana na kupigwa risasi nyingi sehemu mbalimbali za miili yao.
SOURCE:bongonewstz.com
Share:

KANYE WEST AZINDUA BIBLIA YAKE,AJIITA MUNGU !! BIBLIA HIYO IKO HAPA


Hujulikana sana kwa maringo yake,lakini kwa kweli Kanye West asingekufuru na kujitambulisha kama mungu katika biblia hiyo.
Kitabu hicho kitukufu kimebadilishwa na kuwa Biblia ya sasa kwa jina ''Yeezus'' na amini usiamini kila neno la Mungu katika kitabu hicho limeondolewa na badala yake msanii huyo wa muziki wa kufoka foka ameweka jina lake.
Kulingana na gazeti la The Independence nchini Uingereza,kitabu hicho kinasema kuwa katika kizazi hiki ,Kanye West ndio mkubwa na vile vile kiongozi wa kidini
Kitabu hicho kinaongezea kwamba ''katika utangulizi wetu tunamsherehekea Kanye West na vile alivyotufanyia katika maisha yetu''
Japokuwa Kanye hajatoa tamko lolote kuhusu wadhfa huo aliojipatia,amekuwa akijifananisha na Mungu hapo mbeleni.
''Mungu alinichagua mie,alinitengezea njia.Mimi ni chombo cha mungu'',alisema mwaka 2009.
''Lakini kinachoniudhi maishani mwangu ni kwamba sitawahi kujiona nikicheza muziki moja kwa moja''.,aliongezea.
Wasanii wengine waliofananishwa na Yeezy ni Marilyn Monroe na Michael Jackson.
Via>>BBC
Share:

Dangerous pest destroying major food crops.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Pawpaws heavily infested by mealybug and (R)
Share:

23 Tanzanians at safety camp seeking shelter from xenophobic attacks in SA.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Foreign Affairs and International
Share:

PSPF partners with Maxmalipo for electronic payment services to boost monthly collections.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

The Deputy Minister for Informational,
Share:

News:"2015 CNN Multichoice African Journalists Awards launched."

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

CNN International Executive Vice
Share:

AIRTEL LAUNCHES COST EFFECTIVE WI-FI SERVICE FOR STUDENTS-READ HERE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Airtel UNI Wi-Fi Marketing
Share:

NEWS:"SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE APRIL 21 2015"-KUBWA ZAIDI ZITTO AMPYA MASHARTI LOWASA KUJIUNGA NA ACT"-SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Monday, 20 April 2015

NEW VIDEO:"DOWNLOAD VIDEO |Ben Pol - Sophia "

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

https://www.youtube.com/watch?v=81i3dybXK8U
Share:

AUDIO"DOWNLOAD AYLER-SOPHIA REMIX YA 4"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

New AUDIO[RMX] | Ayler - Sophia Cover | Download

Share:

NEWS:"CHUO KIKUU BUGANDO CHATANGAZA NAFASI ZA KUJIUNGA NA MASOMO NGAZI YA DIPLOMA NA DIGRII 2015/2016"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                     Tokeo la picha la BUGANDO

ADVERTISEMENT OF INVITATION FOR ADMISSION DIPLOMA COURSES 2015-2016--

Share:

AUDIO:"JOHN MNYIKA NAYE AMSHAMBULIA ZITTO KABWE KWENYE MKUTANO HUKO MUSOMA,ADAI ZITTO NI ADUI NAMBA MOJA WA CHADEMA"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                            Tokeo la picha la MNYIKA
Nilitegemea kwamba wapinzani wataenda katika uchaguzi wakiwa kitu kimoja na imeanza kudhihirika
Share:

NEWS:"WAZIRI MEMBE ATOA TAMKO KUHUSU WATANZANIA WALIOPO SOUTH AFRICA,AAGIZA WARUDISHWE TANZANIA"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (pichani) ametoa tamko
Share:

NEW VIDEO " Afande Sele ft. Lusumo & Bush Dada – Soma Ule (Official Music Video)"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Msanii afande sele ambae kwa sasa ni  mwanachama wa chama cha ACT amezindua video mpya,maswayetu blog tumeifatilia na tumeipata,iangalie hapa
Screen Shot 2015-04-20 at 4.36.10 PM
Share:

READ:"RThe group of rights advocates inclusion of marginalised groups in politics."

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


TAMWA Executive Director Valerie Msoka.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger