Friday, 11 July 2014

MAJINA YA WAOMBAJI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHA MISITU OLMOTONYI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                        Parks & Reserves
Mkuu wa Chuo cha Misitu Olmotonyi, Arusha anayo furaha kuwataarifu wafuatao kuwa wamechaguliwa kujiunga na Chuo cha Misitu Olmotonyi, Arusha kwa udhamini wa binafsi, Wakala wa Huduma za Misitu na Mradi wa ECOPRC kwa mafunzo ya
Share:

DAKTARI FEKI ANASWA HOSPITALI YA RUFAA MORO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Askari Polisi wakimtoa nje daktari feki, Karume Habibu (22) kutoka kwenye ofisi ya Mganga Mkuu wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro ambako alihojiwa kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi kwa mahojiano zaidi.
Daktari feki akielekea kwenye gari.
Share:

SERIKALI YA TANZANIA YATANGAZA NAFASI ZA KAZI 1,324

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY




Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia Watanzania  wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za kazi 1,324 ambazo ni  kwa ajili ya waajiri mbalimbali Nchini.
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi amesema kuwa nafasi 1,334 zimeainishwa bayana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira ambayo ni www.ajira.go.tz  ili kuwawezesha wahitimu wote wenye sifa na uwezo kutuma maombi kwa ajili ya kujaza nafasi hizo ajira Serikalini.
"Nadhani ni vizuri zaidi kwa kila muhitimu anayetafuta kazi serikalini kufungua tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kuangalia nafasi za kazi zilizotangazwa na pale anapoiona kazi inayoendana na sifa alizonazo kutuma maombi yake ili kuweza kushindanishwa na wengine....maana ajira za Serikali hivi sasa ni za ushindani hivyo inampasa kila anayetaka kupata kazi serikalini kujiandaa vyema ili kujiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kuajiriwa katika Utumishi wa Umma" alisema Daudi.
Alifafanua kuwa kwenye tovuti hiyo kuna matangazo mawili tofauti ya kazi ambapo moja liko katika lugha ya Kingereza likiwa na jumla ya nafasi za kazi 447 na tangazo lingine lipo kwa lugha ya Kiswahili ambalo lina jumla ya nafasi za kazi 877.
Aidha, alizitataja baadhi ya nafasi hizo za kazi zilizoko katika tangazo la kazi kwa lugha ya Kiswahili kuwa ni Mhandisi kilimo (agro–engineers), Afisa kilimo (agro–officers) Mkufunzi kilimo (aquaculture), Afisa kilimo msaidizi (agricultural field officers), Daktari wa mifugo (veterinary officers), Daktari utafiti mifugo (veterinary research officer), Daktari mifugo mkufunzi (veterinary tutor), Mkufunzi mifugo (animal science), Afisa mifugo (live stock officer), Afisa utafiti mifugo (livestock research officer), Afisa Utumishi (human resources officer), Afisa ardhi msaidizi, Dereva (driver).
Share:

AJALI YA BASI: BASI LA AMANI LAPATA AJALI MAENEO YA SALANDA MKOANI TABORA, MTOTO MMOJA AFARIKI DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Basi la Amani Express likitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam limepata ajali usku wa kuamkia leo maeneo ya Salanda mkoani Tabora, ambapo mtoto wa miaka mitatu amepoteza maisha na abiria kadhaa wamepata majeraha. Mashuhuda wanahisi kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi. Pichani abiria wakitafuta vitu vyao 
Share:

MUDA WA NYONGEZA KWA WAOMBAJI MIKOPO AMBAO HAWAKUJAZA FOMU ZA MAOMBI YA MIKOPO KABLA YA JUNI WAONGEZWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawafahamisha waombaji wa mikopo kwa mara ya kwanza na Umma kwa ujumla kwamba muda wa maombi ya mikopo umeongezwa kwa mwezi mmoja kutoka Julai 1, 2014 hadi Julai 31, 2014.
Bodi ilianza rasmi kupokea maombi ya mikopo kwa njia ya mtandao kuanzia Aprili 23, 2014 ambapo tarehe ya mwisho wa kupokea maombi hayo ilikuwa Juni 30, 2014.
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetoa muda wa nyongeza kwa waombaji wa mikopo kukamilisha maombi ya mikopo katika kipindi cha siku 30, kupitia mtandao kwa anuani: http://olas.heslb.go.tz
Share:

NYOTA SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Nyota mpya wa Arsenal, Alexis Sanchez akiwa ndani ya 'uzi' mpya.
MSHAMBULIAJI mahiri wa Chile na Barcelona, Alexis Sanchez, amejiunga na Klabu ya Arsenal kwa pauni milioni 30 na mkataba wa miaka miaka minne.
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO IJUMAA TAREHE 11/7/2014 KUBWA,JANUARYA ASISITIZA NIA YAKE YA KUGOMBEA URAIS

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

WAZIRI MH.MAKALA AWA MBOGO BAADA YA KUAMBIWA KAKWEPA KODI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

NAIBU Waziri wa Maji, Mheshimiwa Amos Makalla amegeuka mbogo kufuatia madai ya kukwepa kodi kupitia gari analodaiwa kulimiliki aina ya Toyota Dyna lililokamatwa na maofisa
Share:

MASKINI MSANII SNADRA:AKUMBUKIA MACHUNGU YA KAOLE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

POMBE YAVURUGA FUTALI YA DIAMOND PLATINUM


Share:

SERIKALI YA TANZANIA YATANGAZA NAFASI ZA KAZI 1,100 NYINGINE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Na Frederick Katulanda, Mwananchi
Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi 1,134 katika sekta mbalimbali za ofisi za umma.
Share:

MBUNGE MH. SHIBUDA NOMA,AWACHANA LIVE WASUKUMA,AWATAKA KUACHANA NA DHANA YA "NDUHU TABHU" KWA KILA JAMBO,SIKILIZA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mlezi wa chama cha wakulima wa pamba nchini na msemaji wa wabunge wanaotoka katika mikoa inayolima zao la pamba nchini,mbunge wa Maswa Magharibi kupitia Chadema mheshimiwa John Shibuda amewapigia filimbi wasukuma kwa kuwataka kuamka na kueleza wazi wazi matatizo yanayowakabili badala ya kukaa kimya na kusema hakuna tatizo(Nduhu Tabhu” wakati kuna tatizo linawasumbua.
Share:

MH RAIS:KILA HALMASHAURI KUPATIWA SH MIL 500 KWA AJILI YA UJENZI WA NYUMBA ZA WALIMU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 
Rais Jakaya Kikwete amesema serikali imetenga kwa kila halmashauri ya wilaya nchini kupatiwa shilingi milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu ili kuwapunguzia adha na usumbufu walimu wanapopangiwa kwenda katika vituo vya kazi wanakosa mahali pa kuishi.
Share:

Thursday, 10 July 2014

FUMANIZI :JIBABA LADAKWA LAIVU LIKIMLA URODA MWANAFUZNI, TENA NDANI YA GARI LAKE KWEUPE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY



Hiki ndicho kilichomkuta jibaba hili Baada ya kunaswa akila Uroda na mwanafunzi
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO-ALHAMISI,KUBWA "JK AONGELEA KAULI YA JANUARY MAKAMBA KUGOMBEA URAIS 2015"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

AOZA MGUU BAADA YA KUPATA AJALI-ANAOMBA MSAADA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
AMA kweli ng’ombe wa maskini hazai, kijana Peter  Sitiwati (26), mkazi wa Sinza ya Kwaremmy jijini Dar amejikuta akikatisha ndoto za utafutaji maisha kufuatia kuoza mguu baada ya ajali mbaya ya gari.
Akizungumza na mwandishi wetu jijini Dar juzikati kwa sauti ya kukata tamaa, Peter alisema alipata ajali ya gari mwaka 2013 maeneo ya Sinza-Mori, Dar na kuumia vibaya mguu wa kulia.

kijana Peter  Sitiwati akiwa na maumivu makali yaliyosababishwa na kuoza kwa mguu.
’’Baada ya kugongwa na gari niliangukia mtaroni nikachomwa na kijiti kwenye mguu wa kulia.
Share:

ROSE NDAUKA:ASEMA KUWA SASA NI KAZI TU,NI BAADA YA KUMALIZA BIFU NA JACK CHUZI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka  amefunguka kuwa kwa sasa yeye na msanii mwenzake, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’  ambaye aliwahi kukwaruzana naye wameshamaliza na kujikita katika kazi zaidi.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger