INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Monduli. Waziri Mkuu wa zamani
na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa ametangaza kuanza kwa
hatua za kuyarejesha kwenye Mamlaka za Serikali za Vijiji mashamba 21 ya
wawekezaji yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 10,000, ambayo
hayajaendelezwa.








