Saturday, 3 May 2014

TIMETABLE FOR FIFA WORLD CUP BRAZIL 2014

Group stage Thursday 12 June Change to your time 12 Jun 2014 - 17:00 Local time Group A Arena de Sao Paulo Sao Paulo Brazil Croatia 17:00  WATCH MORE HERE  ...
Share:

"2014 FIFA WORLD CUP BRAZIL"

here are people out there who are more jaded by FIFA's yearly release cycle than they are by the schoolboy "tactics" Roy Hodgson employs as England manager. Year after year we're asked to part with our hard-earned cash in exchange for a game that, on the surface at least, changes little with each...
Share:

MEZA YA MAGAZETI LEO JUMAMOSI

...
Share:

WEUSI NDANI YA VIDEO YAO MPYA - ‘GERE’

Ni miongoni mwa single ambayo imepanda juu kwa haraka zaidi ndani ya wiki tatu zilizopita ambapo wakati audio ikiendelea kuchukua headlines, WEUSI wameidondosha video yake ambayo ilitazamwa kwa mara ya kwanza na waalikwa wachache kwenye party ya WEUSI April 30 2014. Video imefanywa...
Share:

ODAMA ATAJA SABABU KUZAA NJE YA NDOA

MKALI wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ amesema sababu kubwa iliyomfanya azae nje ya ndoa ni maandalizi mazuri aliyojipangia. Mkali wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’. Odama ambaye amejifungua hivi karibuni, alisema aliamua kuzaa kwanza kisha ndoa ifuate hivyo hajutii uamuzi...
Share:

NI ZAIDI YA LAANA, MJUKU AMBAKA NA KUMLAWITI BIBI YAKE HADI KUMUMIZA SEHEMU ZAKE ZA SIRI

UNYAMA uliyoje! Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Pius (28), mkazi wa Kijiji cha Nyingwa Kata ya Kibungo Juu, Tarafa ya Matombo wilayani Morogoro Vijijini, anasakwa kwa tuhuma za ubakaji na ulawiti wa bibi mmoja,(74). Bibi anayesadikiwa kibakwa na kulawitiwa na mjukuu wake aliyefahamika kwa...
Share:

LULU,SIO MABOSI WOTE WANATAKA TUKUTANE NAO KIMWILI (NGONO)

STAA wa filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewatetea mabosi wa wasanii akidai si wote wana tabia ya ‘kuduu’ na wafanyakazi wao. Staa wa filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akijibu swali aliloulizwa na paparazi wetu kuhusiana na mabosi wakware, Lulu alitiririka:“Imezoeleka ...
Share:

WEMA SEPETU, DIAMOND WAKIFANYA YAO CHUMBANI,CHEKI PICHA HAPA

MASUPASTAA ambao ni wachumba (wanasema wenyewe), Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakiwa katika pozi la kimahaba kitandani Naf beach hotel. Picha hizi Wema  amezitupia katika akaunti yake ya Instagram na kuandika maneno yafuatayo "Thank ...
Share:

Friday, 2 May 2014

ADMISSION FOR UNIVERSITIES ACADEMIS YEAR 2014/2015

Tanzania Commission for Universities (TCU) in collaboration with National Council for Technical Education (NACTE) hereby inform all prospective applicants who completed their studies from 1988 to 2013 that, they will start lodging their applications for admission into higher education institutions for the 2014/2015 .read more ...
Share:

DENTI MIAKA 12 AOLEWA

Stori: Denis Mtima na Mayasa Mariwata, Pwani YELEUWII! Kuishi kwingi ni kuona mengi, kijana aliyejitambulisha kwa jina la Andrew Vincent (23) ambaye amemaliza kidato cha nne mwaka jana, amejikuta katikati ya matatizo kufuatia kufunga pingu za maisha na mwanafunzi wa darasa la tano aliyefahamika...
Share:

AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA MOROGORO

Ajali mbaya imetokea usiku wa wa wakuamikia leo karibu na Morogoro ikihusisha magari sita kuna watu waliojeruhiwa. ...
Share:

Magazeti Leo IJUMAA

...
Share:

JK: Mishahara itapanda na itapunguzwa kodi

Rais Jakaya Kikwete akiangua kicheko wakati walimu (juu), walipokuwa wakipita kwa maandamano, huku wakiimba ‘Shemeji mshahara bado’ wakati wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) zilizofanyika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam jana. Walimu walimwita shemeji...
Share:

Hamad Rashid: Nitagombea urais 2015

Dodoma. Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed amesema anapanga kujitosa kwenye kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu mwakani. Akizungumza katika mahojiano maalumu hivi karibuni mjini Dodoma, Hamad Rashid alisema: “Kama Mwenyezi Mungu akinijalia uhai na uzima...
Share:

Jeshi la Syria lashambulia soko Aleppo

Wanaharakati nchini Syria wanasema kuwa jeshi la serikali limetekeleza shambulizi la hewani katika soko moja lilikoko katika sehemu inayothibitiwa na waasi Aleppo.  Read more... ...
Share:

AISHA BUI AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

STAA wa filamu za Kibongo, Aisha Bui amepata mtoto wa kike aliyejifungua kwa njia ya upasuaji lakini kumekuwa na usiri mkubwa katika jambo hilo. Staa wa filamu za Kibongo, Aisha Bui. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aisha alisema anamshukuru Mungu kwa kumjaalia mtoto wa kike aliyempa jina...
Share:

CATHY: MIAKA 13 YA NDOA NIACHIKE, MH!

MSANII mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa hawezi kuachika kwenye ndoa yake iliyodumu kwa miaka 13 na wanaosubiri aachwe, watasubiri sana. Msanii mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na paparazi wetu juzi Cathy alisema...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger