Friday 23 February 2024

NAIBU KATIBU MKUU WA AFYA DKT. GRACE MAGEMBE AKAGUA HUDUMA NA MIRADI YA AFYA SHINYANGA

...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe amefanya ziara mkoani Shinyanga ambapo ametembelea Kituo cha Afya Kambarage kujionea namna huduma za afya zinavyotolewa, pia amekagua huduma zinazotolewa katika Jengo Jipya la Wagonjwa wa Dharura na ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.

Katika ziara hiyo ya kukagua huduma na miradi ya afya aliyoifanya leo Ijumaa Februari 23,2024 Dkt. Magembe pia amekagua miradi ya ujenzi na utoaji huduma katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.

PICHA na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe (katikati aliyesimama) akiangalia kwenye mtandao huduma zinazotolewa katika Jengo Jipya la Wagonjwa wa Dharura Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe (katikati aliyesimama) akiangalia kwenye mtandao huduma zinazotolewa katika Jengo Jipya la Wagonjwa wa Dharura Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe akizungumza katika Jengo Jipya la Wagonjwa wa Dharura Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe akizungumza katika Jengo Jipya la Wagonjwa wa Dharura Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe akizungumza katika Jengo Jipya la Wagonjwa wa Dharura Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akizungumza wakati Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembea akitembelea Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe akizungumza katika Jengo Jipya la Wagonjwa wa Dharura Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe akizungumza katika Jengo Jipya la Wagonjwa wa Dharura Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe (katikati) akikagua ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe (kulia) akikagua ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe (kulia) akikagua ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.
Mganga Mkuu wa Manispaa ya Shinyanga Dkt. Robert Elisha akimwelezea Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe kuhusu ujenzi unaoendelea wa Jengo la Wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe (kulia) akisalimiana na Mganga Mkuu wa Manispaa ya Shinyanga Dkt. Robert Elisha baada ya kuwasili katika Kituo cha Afya Kambarage
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe (katikati) akisalimiana na wananchi waliofika kupata huduma za afya katika Kituo cha Afya Kambarage kilichopo Manispaa ya Shinyanga
Mmoja wa wananchi akimwelezea Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe kuhusu huduma za afya katika Kituo cha Afya Kambarage kilichopo Manispaa ya Shinyanga
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe akizungumza na wananchi katika Kituo cha Afya Kambarage kilichopo Manispaa ya Shinyanga
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe akizungumza na wananchi katika Kituo cha Afya Kambarage kilichopo Manispaa ya Shinyanga
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe akizungumza katika Kituo cha Afya Kambarage kilichopo Manispaa ya Shinyanga
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe (kulia katikati) akiwa katika Kituo cha Afya Kambarage kilichopo Manispaa ya Shinyanga
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe (kulia katikati) akiwa katika Kituo cha Afya Kambarage kilichopo Manispaa ya Shinyanga.

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger