Monday 20 March 2023

BARRICK YAAHIDI DOLA MILIONI 30 ZA MAENDELEO YA SHULE KWA UBIA NA TANZANIA

...

 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Dola za Marekani (USD) 30,000,000.00 kutoka kwa Mtendaji Mkuu ambaye pia ni Rais wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation Mark Briston kwa ajili ya shughuli mbalimbali za Elimu, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Machi, 2023. Fedha hizo zitatumika katika ujenzi wa Mabweni 273 pamoja na Madarasa zaidi ya 1094 kwa Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Sita katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mtendaji Mkuu ambaye pia ni Rais wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation Mark Briston, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu ambaye pia ni Rais wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation Mark Briston mara baada ya mazungumzo Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Machi, 2023.


Dodoma, Tanzania, Machi 20, 2023 – Kampuni ya Dhahabu ya Barrick (NYSE:GOLD) (TSX:ABX) - Katika mkutano wa leo kati ya rais na afisa mtendaji mkuu wa Barrick, Mark Bristow na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kampuni hiyo ilithibitisha ahadi yake ya Dola Milioni 30 (takriban shilingi bilioni 70.5 za fedha za Tanzania) kwa ajili ya upanuzi wa miundombinu ya elimu nchini Tanzania kwa ushirikiano na Serikali.



Programu ya Barick-Twiga ya Kusongesha Mbele Mustakabali wa Elimu, iitwayo “Barrick-Twiga Future Forward Education Program” inalenga kujenga madarasa 1,090, majengo ya maliwato na vyoo 1,640 na mabweni 270 katika shule 161 nchini kote ili kusaidia kuwapatia malazi wanafunzi takribani 49,000 kati ya wanafunzi wapatao 190,000 wanaotarajiwa kuanza masomo yao ya sekondari ya juu (A-level) Julai mwaka huu. Dola milioni 10 za kwanza zitalipwa mwezi Aprili na albaki itatolewa kadiri programu hiyo itakavyokuwa inaendelea.


“Tunaamini kuwa elimu ni muhimu kwa maendeleo ya nchi. Migodi yote miwili ya dhahabu ya Bulyanhulu na North Mara inaendelea kusaidia sekta ya elimu kwa kujenga vyumba vya madarasa na kuboresha miundombinu ya elimu katika maeneo yanayoizunguka migodi hiyo, jambo ambalo limefanikisha baadhi ya shule hizo kuwa miongoni mwa shule zinazoongoza mara kwa mara katika mikoa hii,”
alisema Bristow.



North Mara tayari imetumia dola milioni 1.9 (shilingi bilioni 4.5) katika shule 87 za msingi na sekondari wilayani Tarime, shule 14 kati ya hizo zikiwa zile zilizofanya vizuri zaidi wilayani humo. Bulyanhulu imetumia dola milioni 1.8 (shilingi bilioni 4.2) katika miradi 80 ya elimu katika eneo linalouzunguka mgodi huo na hivi sasa inajenga Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi katika Kijiji cha Bunango. Uwekezaji wa Barrick katika eneo linalouzunguka mgodi huo umewezesha wasichana wa Kitanzania 7,557 kupata elimu mwaka 2022.


“Licha ya msaada wa kampuni wa kustawisha elimu, mwaka jana, North Mara ilitambuliwa rasmi kama mlipakodi mkubwa zaidi nchini Tanzania na Bulyanhulu ilitunukiwa Tuzo ya Mwajiri Bora anayezingatia matakwa ya sheria, ambayo ilitolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii. North Mara na Bulyanhulu pia zilipata tuzo za mshindi wa kwanza na wa pili, mtawalia, kwa uuzaji wa madini nje ya nchi na kwa kuingiza fedha za kigeni nchini. Kampuni zote mbili zimetoka mbali sana na tunatarajia kuendelea na safari hiyo kupitia ubia wetu wa Twiga na serikali.”



Bristow alisema tangu Barrick ilipoichukua migodi hiyo mwaka 2019, imeingiza dola bilioni 2.4 katika uchumi wa Tanzania. Kupitia kamati zake za maendeleo ya jamii, migodi hiyo imewekeza zaidi ya dola milioni 10 katika miradi ya kuboresha huduma za afya, elimu, upatikanaji wa maji ya bomba na miundombinu ya barabara.

 

Kwa maelezo zaidi kutoka Barrick

Meneja wa nchi wa Mawasiliano na uhusiano

wa Kampuni

Georgia Mutagahywa

+255 754 711 215

Baruapepe: georgia.mutagahywa@barrick.com

Mahusiano ya Kampuni na wawekezaji na vyombo vya habari

Kathy du Plessis

+44 20 7557 7738

+27 83 266 5847

Baruapepe: barrick@dpapr.com

Tovuti: www.barrick.com



Cautionary Statement on Forward-Looking Information

 

Certain information contained or incorporated by reference in this press release, including any information as to our strategy, projects, plans, or future financial or operating performance, constitutes “forward-looking statements”. All statements, other than statements of historical fact, are forward-looking statements. The words “pledge”, “create”, “continue”, “opportunity”, “helping”, “objective”, “projects”, “currently”, “continue”, “towards”, “would”, “will”, and similar expressions identify forward-looking statements. In particular, this press release contains forward-looking statements including, without limitation, with respect to: the potential for Barrick’s partnership with the Government of Tanzania to deliver long-term value to the Tanzanian economy and create benefits for local stakeholders; Barrick’s sustainability initiatives in Tanzania including planned investments by Barrick in Tanzania including to develop education, healthcare, potable water and road infrastructure; and Barrick’s contributions to the local economy including its tax contributions, education funding, local hiring and procurement programs and spending.

 

Forward-looking statements are necessarily based upon a number of estimates and assumptions including material estimates and assumptions related to the factors set forth below that, while considered reasonable by the Company as at the date of this press release in light of management’s experience and perception of current conditions and expected developments, are inherently subject to significant business, economic, and competitive uncertainties and contingencies. Known and unknown factors could cause actual results to differ materially from those projected in the forward-looking statements, and undue reliance should not be placed on such statements and information. Such factors include, but are not limited to: fluctuations in the spot and forward price of gold, copper, or certain other commodities (such as silver, diesel fuel, natural gas, and electricity); the speculative nature of mineral exploration and development; changes in mineral production performance, exploitation, and exploration successes; risks associated with projects in the early stages of evaluation, and for which additional engineering and other analysis is required; risks related to disruption of supply routes which may cause delays in construction and mining activities, including disruptions in the supply of key mining inputs due to the invasion of Ukraine by Russia; timing of receipt of, or failure to comply with, necessary permits and approvals; failure to comply with environmental and health and safety laws and regulations; increased costs and physical and transition risks related to climate change, including extreme weather events, resource shortages and increased regulations relating to greenhouse gas emission levels; uncertainty whether some or all of the targeted investments and projects will meet the Company’s capital allocation objectives and internal hurdle rate; changes in national and local government legislation, taxation, controls or regulations and/ or changes in the administration of laws, policies and practices, expropriation or nationalization of property and political or economic developments in Tanzania and other jurisdictions in which the Company or its affiliates do or may carry on business in the future; our ability to convert resources into reserves; increased costs, delays, suspensions and technical challenges associated with the construction of capital projects; the impact of inflation, including global inflationary pressures driven by supply chain disruptions caused by the ongoing Covid-19 pandemic and global energy cost increases following the invasion of Ukraine by Russia; risks associated with working with partners in jointly controlled assets; damage to the Company’s reputation due to the actual or perceived occurrence of any number of events, including negative publicity with respect to the Company’s handling of environmental matters or dealings with community groups, whether true or not; risks associated with new diseases, epidemics and pandemics, including the effects and potential effects of the global Covid-19 pandemic; litigation and legal and administrative proceedings; employee relations including loss of key employees; and availability and increased costs associated with mining inputs and labor. Barrick also cautions that its guidance may be impacted by the ongoing business and social disruption caused by the spread of Covid-19. In addition, there are risks and hazards associated with the business of mineral exploration, development and mining, including environmental hazards, industrial accidents, unusual or unexpected formations, pressures, cave-ins, flooding and gold bullion, copper cathode or gold or copper concentrate losses (and the risk of inadequate insurance, or inability to obtain insurance, to cover these risks).

 

Many of these uncertainties and contingencies can affect our actual results and could cause actual results to differ materially from those expressed or implied in any forward-looking statements made by, or on behalf of, us. Readers are cautioned that forward-looking statements are not guarantees of future performance. All of the forward-looking statements made in this press release are qualified by these cautionary statements. Specific reference is made to the most recent Form 40-F/Annual Information Form on file with the SEC and Canadian provincial securities regulatory authorities for a more detailed discussion of some of the factors underlying forward-looking statements and the risks that may affect Barrick’s ability to achieve the expectations set forth in the forward-looking statements contained in this press release.

 

Barrick disclaims any intention or obligation to update or revise any forward-looking statements whether as a result of new information, future events or otherwise, except as required by applicable law.




Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger