Thursday 1 December 2022

UTT YATOA ELIMU KWA WAJUMBE WA TFC SINGIDA

...


Afisa Mwandamizi Idara ya Masoko na Mawasiliano wa UTT AMAS Grace Ngailo akizungumza alipokuwa akitoa mada kwa wajumbe wa semina ya siku moja ya viongozi wa vyama vya ushirika nchini kabla ya kufanyika kwa mkutano skuu wa Shirikisho la Vyama vya ushirika Tanzania (TFC) Mkoani Singida.
Katibu Mtendaji wa Shirikisho la vyama vya ushirika Tanzania (TFC) Alex Domitius (aliyekaa) akimsakiliza Afisa Mwandamizi Idara ya Masoko na Mawasiliano wa UTT AMAS Grace Ngailo alipokuwa akiwasilisha mada kwa washiriki wa semina hiyo Mkoani Singida.

(PICHA NA; HUGHES DUGILO)
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger