Wednesday 7 December 2022

Picha : TCRA YAKUTANA NA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO KANDA YA ZIWA

...

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa leo Jumatano Desemba 7,2022. 

Akizungumza katika Mkutano huo, Mhandisi Mihayo amesema TCRA imekuwa ikifanya mapitio ya kanuni zinazosimamia sekta ya mawasiliano mara kwa mara na hivi sasa mapitio ya Kanuni yanaendelea ambapo ada za leseni zimeshuka kwa kiasi kikubwa na kwamba TCRA inaendelea kuelekeza wamiliki wa vyombo vya habari wazingatie sheria, kanuni na miongozo iliyopo
huku akisisitiza kuwa suala la Taaluma kwa waandishi wa habari ni la kisera.

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa leo Jumatano Desemba 7,2022 katika ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu Jijini Mwanza. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa leo Jumatano Desemba 7,2022 katika ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu Jijini Mwanza
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa leo Jumatano Desemba 7,2022 katika ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu Jijini Mwanza
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa leo Jumatano Desemba 7,2022 katika ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu Jijini Mwanza
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa leo Jumatano Desemba 7,2022 katika ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu Jijini Mwanza
Mtaalamu wa TEHAMA kutoka TCRA, Ibrahim Ibrahim akitoa elimu kuhusu Mfumo wa Tanzanite kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa leo Jumatano Desemba 7,2022 katika ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu Jijini Mwanza
Mtaalamu wa TEHAMA kutoka TCRA, Ibrahim Ibrahim akitoa elimu kuhusu Mfumo wa Tanzanite kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa leo Jumatano Desemba 7,2022 katika ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu Jijini Mwanza
Mhandisi mwandamizi wa TCRA Kadaya Baluhye  akizungumza kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa



Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger