Friday 18 November 2022

JOHN SIAGI MAGETA MWENYEKITI MPYA WA WAZAZI CCM MKOA WA SHINYANGA...MZEE SIMBA DAH!

...
John Siagi Mageta 

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga leo Ijumaa Novemba 18,2022 wamechagua John Siagi Mageta kuwa mwenyekiti wa Jumuiya hiyo ambapo amepata kura 332 akifuatiwa na mpinzani wake wa karibu Salim Abdalah Simba aliyekuwa anatetea kiti hicho ambaye amepata kura 160 na Halima Ismail Juma akipata kura 13. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Msimamizi wa Uchaguzi, Festo Kiswaga akizungumza wakati wa mkutano wa uchaguzi
John Siagi Mageta akiomba kura 
John Siagi Mageta akiomba kura 
Salim Abdalah Simba akiomba kura
John Siagi Mageta na Salim Abdalah Simba 
Halima Ismael Juma akiomba kura
Wagombea wakiomba kura kushoto ni Halima Juma Ismael,John Siagi Mageta na Salim Abdalah Simba.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger