Monday 14 November 2022

AJALI YA BASI, LORI YAUA NA KUJERUHI DODOMA

...

 


Watu Sita wamefariki dunia na wengine 22 wakijeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Arusha Express lenye usajili wa namba T 530 AGG kugongana uso kwa uso na lori Mchanga kampuni ya SINO-HYDRO lenye namba T 939 DZE.

Ajali hiyo imetokea leo Jumapili Novemba 13, 2022 mchana eneo la Veyula Kata ya Makutupora mkoani Dodoma.

Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amesema waliofariki wote ni wanaume huku Majeruhi 10 wakiwa ni Wanawake na 12 ni Wanaume.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger