Monday, 31 October 2022

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE NOVEMBA 1,2022

...
Share:

SERIKALI KUFANYA MABORESHO MAKUBWA KATIKA MIFUMO YA UNUNUZI.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Hamad Hassan Chande (Mb) akiwataka wataalamu wa maboresho makubwa ya Mfumo wa Ununuzi Serikalini, kuhakikisha wanamaliza kazi kwa wakati, alipofanya ziara ya kukagua mfumo huo, mkoani Iringa. Mkurugenzi wa Mifumo na Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti wa...
Share:

NIMEMRUDISHA MPENZI WANGU ALIYECHEPUKA NA BOSSI WAKE!

...
Share:

RAIS SAMIA ATANGAZA MATOKEO YA SENSA..IDADI YA WATANZANIA NI 61, 741,120

Idadi ya Watanzania ni 61,741,120 Idadi ya Watanzania ni 61,741,120 Hayo yamebainishwa na Rais Samia Suluhu Hassan, muda mfupi uliopita wakati akitangaza matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 iliyofanyika kuanzia Agosti 23 mwaka huu. Amesema watu 59,851,357 wapo Tanzanzia Bara na...
Share:

Picha : MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA SHEREHE ZA UFUNGUZI WA MKUTANO WA BUNGE LA AFRIKA 'PAP'

Rais wa Bunge la Afrika (Pan - African Parliament – PAP) Mhe. Chief Fortune Charumbira akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Kwanza cha Kawaida cha Bunge la Sita la Afrika leo Jumatatu Oktoba 31,2022 katika Makao Makuu ya Bunge la Afrika, Midrand Afrika Kusini. Mkutano huo pia umehudhuriwa na...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger