Friday 26 February 2021

Tanzia : KATIBU MKUU WA KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI ARTHUR SHOO AFARIKI DUNIA

...


Katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yenye makao yake makuu mjini Moshi, Arthur Shoo enzi za uhai wake
***
Katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yenye makao yake makuu mjini Moshi, Arthur Shoo amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC alikokuwa akipatiwa matibabu.

Mkuu wa Dayosisi hiyo ambaye ndiye mkuu wa Kanisa hilo Tanzania, Askofu Fredrick Shoo amesema kuwa mtendaji wake huyo mkuu alifariki dunia jana usiku akiendelea na matibabu hospitali ya KCMC na kueleza kuwa alikuwa amelazwa katika hospitali hiyo inayomilikiwa na Shirika la Msamaria Mwema (GSF) tangu Jumatatu ya wiki hii.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger