Saturday 27 February 2021

FURAHIA HUDUMA ZA KIBENKI UKIWA NA 'SIMBANKING' MZIGO ULIOBORESHWA

...
Benki ya CRDB imeboresha huduma yake ya SimBanking na kuipa jina la Benki ni SimBanking 'Mzigo Ulioboreshwa' . Maboresho haya makubwa yanampa uhuru mkubwa mteja kufanya miamala yote kupitia SimBanking na ndiyo maana sasa inaitwa Benki ni SimBanking.

Benki ni SimBanking inawawezesha wateja kufungua akaunti wenyewe bure popote walipo na kupata huduma za kibenki mbalimbali ili kuhakikisha Benki ya CRDB inakuwa kinara wa teknolojia katika utoaji wa huduma za kibenki.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger